Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nawasikiliza sana wanasiasa wanavyo hadaa Wadanganyika kwamba wajiandae sana na Afcon na hata Mahoteli hayatatosha na wlmashabiku wengine watalala majumhani mwa watu. Hizi ni propaganda. Hizi ni...
1 Reactions
3 Replies
105 Views
Kama taifa tunapitia matukio magumu. Hayajawahi tokea huko nyuma. Kabla ya Okt29 hakuna aliyeamini kama yangeweza tokea machafuko ya vile, mimi ni mmoja wapo. Kuna wadau nakumbuka niliwakatalia...
6 Reactions
90 Replies
1K Views
Mahakama Kuu Masijala ya Kigoma, muda huu, imeruhusu waombaji kwenye shauri la Kuomba Mahakama kuzuia kuundwa kwa Tume ya Uchunguzi wa Kijinai juu ya Matukio ya Uchaguzi Mkuu, kufungua shauri...
3 Reactions
7 Replies
493 Views
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Ally Hapi, amemkosoa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, akidai kuwa kipindi chake cha ubunge hakikuacha mafanikio yanayoonekana kwa wananchi wa...
1 Reactions
11 Replies
268 Views
Wakati Mwingine huwa tunachoka kabisa kuandika habari za Upande mmoja, Chadema haina Mpinzani Tanganyika Ni sawa na mtangaza mpira atangaze mechi ya upande mmoja (one way traffic) hawezi...
17 Reactions
29 Replies
535 Views
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, alipokuwa akizungumza katika mahojiano kwenye kipindi cha Dakika 45 kinachorushwa na kituo cha televisheni cha ITV, Juni 8, 2026 amesema...
0 Reactions
16 Replies
213 Views
Mliwafukuza wabunge wao kimefika wapi, kubalini yaishe. =============== Leo Mabalozi wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya wamekutana na Mhe. Amb. M.T. Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania...
10 Reactions
45 Replies
1K Views
Kuna maambo yanachekesha kabisa nasikia kuna mtu anatapa tapa kwamba ataenda ICC kushtaki, ni kwa kosa lipi alilofanya Magufuli? Nasikia mwingine huko zanzibar ameanza kuzurura nje eti subirini...
16 Reactions
85 Replies
13K Views
Kwa mfuatiliaji mzuri sana wa mambo ya siasa na Taifa ili tuna watu watatu ambao ni wa kuangalia kwa makini, 1.Makongoro Nyerere, Mzanaki 2. Muzamir kalokola - Mhaya 3. John Magufuli-...
17 Reactions
93 Replies
19K Views
Mkuu wa Mkoa wa Njombe RC Anthony Mtaka akiongea kuhusu Watumishi wa Umma kuhusu nidhamu na mshahara amesema kuwa watumishi wa Umma wanajisahau kuanza ujenzi mapema wanakuja kujenga wakati ambao...
7 Reactions
44 Replies
725 Views
My Take Wale wa Samia ameuza Mali zao za Urithi mnaitwa kuja kumwaga povu jingine. Kwa taarifa yenu sio tuu shehena ya mzigo imeongezeka Bali muda wa kusubiria meli umetoka siku 14 Hadi siku 3...
8 Reactions
171 Replies
6K Views
Mwenyekiti wa BAWACHA Mkoa wa Rukwa, Aida Khenani, amewataka wananchi kutowalaumu askari wa chini kwa vifo vilivyotokea Kyela Oktoba 29, bali kuhoji mamlaka iliyotoa amri ya matumizi ya nguvu...
2 Reactions
4 Replies
183 Views
Huyu Jamaa alipokuwa anasifiasifia Tanzania wala sikumwelewa, hadi alitunukiwa ubalozi wa utalii, Nina hakika hata waliomtunukia ubalozi hawakumjua, huyu alitumwa kufanya Kazi Maalum na ameifanya...
34 Reactions
48 Replies
2K Views
Ni ombwe la uongozi na ukata wa pesa tu au kuna jingine? Kwa mfano, Uropokaji umekidumaza mno kisiasa chama hicho cha siasa nchini, Lakini pia kufanya siasa za kutegemea zaidi artificial...
1 Reactions
34 Replies
313 Views
Hivi haya mambo makubwa anayoyafanya Rais Dkt Samia hawa wanaharakati hawayaoni? Si walikuwa wanapiga kelele enzi za Hayati Magufuli wakisema nchi imefungwa na fursa za kimataifa zimezuiwa? Sasa...
2 Reactions
11 Replies
127 Views
Ndugu zangu wapinzani na hata wana harakati, siyo dhambi mkiyaenzi japo mazuri ya viongozi waliotangulia mbele za haki. Mfano hayati Rais Magufuli, siyo dhambi akienziwa kwa kupambana kwake...
1 Reactions
4 Replies
94 Views
  • Redirect
Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Halima Mdee, ambaye alifukuzwa uanachama wa chama hicho mwaka 2020 pamoja na wabunge wengine 18 wa Viti Maalum, amerejea rasmi ndani ya chama...
5 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
GTs, Baada ya safari ya Urusi, hakika niliyoyashuhudia huko, basi Dkt Samia aendelee kubakia kwenye kiti cha Urais mpaka 2040. Cha muhimu tuanze mchakato wa kubadili katiba ya chama na ya nchi...
0 Reactions
Replies
Views
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM Taifa, Ally Salum Hapi akiwa Shinyanga Juni 4, 2026 amesema; "Chama chenye sera nzuri, ni chama cha Mapinduzi. Wamepewa fursa ya kusema, waitumie fursa...
7 Reactions
34 Replies
604 Views
Back
Top Bottom