Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Naona kuna ukakasi kutumia neno ‘Mahakama ya Tanzania’—ni sahihi kuitaje vipi kwa mtindo rasmi wa kisheria?” MAHAKAMA ni moja kati ya KICHAKA cha Ma CCM kutekelza maovu yao yaani wanakitumia kama...
3 Reactions
12 Replies
141 Views
The FY 2026/27 budget is essentially Tanzania trying to push its economy into a more “production and infrastructure first” phase, rather than consumption and aid dependency. At the core, the...
0 Reactions
0 Replies
131 Views
Nimewaza sana matumizi ya Google Team, Zoom na Apps nyingine nisizo zifahamu zinazo tumika kuendesha vikao mbalimbali, na hata hutumika katika matumizi Serikalini. Je? Tuna uhakika na usalama wa...
0 Reactions
0 Replies
57 Views
Ni vema mkamhukumu mnavyoona/ mnavyopenda kuliko haya mateso mnayompa. Ajue moja, ananyongwa au anafungwa au anaachiwa. Mwamwindi wa Iringa, aliamua moja akalitimiza, akamuua Kleruu na Mwalimu...
10 Reactions
39 Replies
528 Views
Kuna baadhi ya Wazanzibar wameonja nyama za watu, hawataki kuacha kuzila, kama alivyosema Nyerere Wapo baadhi yao wasio na uwezo mzuri wa akili wameanza chokochoko na kelele kwamba Watanzania...
8 Reactions
30 Replies
441 Views
Wewe na Mbatia mlifanya Kazi moja, Sasa kabla hatujafunguka zaidi SHUT UP, Vinginevyo utakimbia Nchi, wewe ni miongoni mwa Wahujumu wakuu wa Maalim Seif Ukiendelea kuropoka tutaanika kila kitu
7 Reactions
9 Replies
244 Views
Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anafanya ziara Rasmi ya kikazi jijini Washington, D.C., nchini Marekani. Katika ziara yake hiyo...
3 Reactions
33 Replies
1K Views
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar, akiwasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2026/27 bungeni leo, ametangaza kiama kwa wacheza kamari nchini baada ya kupendekeza tozo...
3 Reactions
19 Replies
442 Views
Ninatamani niwarudishe wote wanaomshambulia Mheshimiwa Saada Mkuya kidato cha pili ili wakasome upya Civics kuhusu mambo ya muungano. Inakera kuona watu wanaoheshimika kwenye jamii kushindwa kujua...
7 Reactions
30 Replies
412 Views
Hizi kauli RASMI zitokazo vinywani mwa Mawaziri wa CCM ndani ya Baraza la mapinduzi Zanzibar jee zinayofauti gani na matendo wafanyayo Wajinga kadhaa kule Afrika kusini dhidi ya wageni? Yaani...
1 Reactions
6 Replies
130 Views
Nimeona huyo Sauda Mkuya aliyewahi kuwa waziri wa Fedha wa serikali ya muungano kuwa watanganyika wasitibiwe huko ZNZ. Ni sawa kabisa, hivi kuna mtanganyika anayeenda kutibiwa Zanzibar, yaani...
1 Reactions
1 Replies
95 Views
Hivi karibuni Wazanzibari wamekuwa wakionyesha ubaguzi wa hali ya juu sana. je maandamano yajayo mali zao zitakuwa salama? Je huko mbele Wazanzibari watakuwa na amani kukaa na Watanganyika kama...
9 Reactions
25 Replies
466 Views
Kukiwa na vuguvugu la maandamano tar 7 July, 2026 Na kesi ya Lissu kuahirishwa parefu Hadi tar 6 July, 2026 Zingatia hizo tarehe..why tar 6? Je unaweza kusema waja kule wanawaza Nini? Au...
8 Reactions
36 Replies
1K Views
Akiwa nchini Urusi kwa ziada ya kikazi, rais Samia alijikuta katika mtanange ambapo mji wa St Peterburg ulishambuliwa na drone za Ukraine. Kwa kiongozi wa nchi, hii inaleta picha gani? Mbali na...
16 Reactions
55 Replies
1K Views
Waziri Mkuu Mstaafu, Kassim Majaliwa, alikuwa miongoni mwa viongozi waliohudhuria kikao cha Bunge kusikiliza uwasilishaji wa Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2026/2027.
1 Reactions
5 Replies
184 Views
Serikali imependekeza vyanzo vya ziada vya mapato kupitia Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2026/2027 ili kugharamia Mfuko wa Bima ya Afya kwa Wote. Hatua hii itahusisha marekebisho ya sheria...
5 Reactions
15 Replies
348 Views
https://www.youtube.com/watch?v=aZJigFrAukU Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu (Honoris Causa) na Chuo Kikuu cha...
3 Reactions
31 Replies
550 Views
Jamat, Naibu Mkuu wa Ujumbe wa Kidiplomasia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, alitambulishwa bungeni baada ya kukamilika kwa uwasilishaji wa Bajeti Kuu ya Serikali 2026/2027, ambapo wabunge walipiga...
2 Reactions
5 Replies
181 Views
Nimekuwa nikikwepa sana hili jina na kuita CHADEMA Manyumbu ila kama watarudia kosa lile la 2015 talitambua rasmi Hakuna mtu aliyekuwa na USHAWISHI ndani ya CCM kama Lowassa na hata sasa hakuna...
5 Reactions
20 Replies
291 Views
Wafuasi wa Chadema wakiongozwa na Mbowe na Lisu wametukana, kupinga na kubagaza sana mradi huu tangu kuanzishwa kwake kwa hiyo kuwaona wakiuongelea au kupanda kwenye treni hii ni kama tusi kwa...
17 Reactions
162 Replies
6K Views
Back
Top Bottom