britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 17,969
- 45,797
Nakuombeni sana mlio karibu na Heche!!!!
Britanicca
Britanicca
Tumekupata mkuu.Nakuombeni sana mlio karibu na heche!!!!
Britanicca
💯Nakuombeni sana mlio karibu na heche!!!!
Britanicca
Taarifa zimewafikiaNakuombeni sana mlio karibu na heche!!!!
Britanicca
Ile 97.6 ya kura milioni 32 ilitokana na AI. Tukija kwenye uhalisia, hata 10% ya kura zote wasingepata.Lakini CCM si ilishinda kwa 98%
Obviously inaungwa mkono kwa asilimia over 90%
CCM hiyohiyo ina majeshi,
CCM hiyohiyo ina Green Guard
CCM hiyohiyo ina vikundi vya Shehe akina Mwaipopo.
Sasa hofu inatoka wapi?
Mara sijui kulala guest mpaka Nida
Mara mikutano imepigwa marufuku.
Mara nasikia tarehe 7, hakutakuwa na huduma za mabasi, daladala wala pkpk
YOTE HAYA YANAKUJAJE KWA 2%
Wangelikuwa na tahadhali wasingelikataza mikutano. Hawa ni Manyani wauajiHakuna wa kumdhuru kwasasa kwani wataharakisha vikwazo vigumu kutoka kwa Trump na EU na pia safari yao ya ICC itarahisishwa.
Kila aliye kwenye mamlaka ya kidola wanafanya mambo kwa tahadhari mno tofauti na miezi miwili iliyopita.
HakikaSio alindwe, hakuna mwenye jeuri ya kumlinda dhidi ya dola..
Akae kimachale machale, aishi kijasusi jasusi..
Unadhani watu dhalimu wanashindwa kumpiga bomu yeye na hiko kikundi chake cha ulinzi, watu ni waroho wa madaraka kupitiliza.
Watu waliopiga kura kwa nchi nzima hawafiki milioni 3Ile 97.6 ya kura milioni 32 ilitokana na AI. Tukija kwenye uhalisia, hata 10% ya kura zote wasingepata.
Nani alikudanganya kuwa dola ndiyo yenye nguvu? Hakuna wa kuzuia wananchi kama wataamua kwa umoja wao. Duniani kote hakuna sehemu ambayo dola ilishinda wananchi. Ni suala la muda tu. Yes, wanaweza kuua wachache lakini mwisho ni kushindwa. Hii Tanzania unayoiona sasa hivi hata kama utaogopa kusimamia haki lakini kuna siku litakufika la kukufika.Sio alindwe, hakuna mwenye jeuri ya kumlinda dhidi ya dola..
Akae kimachale machale, aishi kijasusi jasusi..
Unadhani watu dhalimu wanashindwa kumpiga bomu yeye na hiko kikundi chake cha ulinzi, watu ni waroho wa madaraka kupitiliza.
Huenda kuna ukweli mkuuUnapenda sana sifa na uzushi wako hapa na Milamli yako ya kijinga jinga tu
We unapigwa MITIUnapenda sana sifa na uzushi wako hapa na Milamli yako ya kijinga jinga tu
Ili wanalilomba achana nalo puuuzi kabisa ilo kazi uchawa tuuuuWe unapigwa MITI