Aliyeleta upinzani ndani ya TANU akaenguliwa na vikao kama Lowassa, akigombea na mwalimu Nyerere,atinga white house

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Mzee Leopord Rwizandekwe mkazi wa kijiji cha Katendaguro Tarafa ya Kiziba Wilaya ya Missenyi Mkoani Kagera ambaye mwaka 1965 alitaka kumng'oa mwalimu Nyerere kabla ya jina lake kuenguliwa na vikao vya Chama ,

Mzee Rwizandekwe baada ya kukutana na Nyerere nchini uingereza mwaka 1964 alimwambia kwamba anataka akagombee urais wa Tanganyika, Mwalimu Nyerere alishtuka Sana akauliza kwanini unataka kugombea nafasi niliyonayo?

Rwizandekwe akaeleza mambo kadhaa wa kadha atakayofanya akipewa urais,
Ikiwemo kuanzisha vijiji vya ujamaa,
Kutafta mbinu nzuri ya demokrasia ikiwemo kuweka pembeni vyama vya upinzani ili Kwanza nchi iwe iwe imara,

Kuanzisha mashirika ya ujamaa na vijiji, na kujiunga Zaid na wakomunist kuliko mabepari wanyonyaji, alimueleza hayo walipokutana Uingereza mwaka 1961 wakati huo akisomea sheria.Mzee Rwizandekwe aliwahi kuwa hakimu wa Mahakama ya Rufani ya Buhaya ambapo mtandao huu umemnasa katika moja ya mitaa ya Mji wa Bukoba akitafuta duka zinapouzwa Katiba za Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
http://white-house-logs.insidegov.com/l/81959525/Leopold-Rwizandekwe
 
Id
 

Attachments

  • ndeko 2.jpg
    ndeko 2.jpg
    35.4 KB · Views: 60
Kick tu hiyo alikuwa wapi kutueleza haya hadi leo ushahidi haupo ndo anatuletea porojo zake! Eti mwaka 61 alimwambia mwl. J.K. kwamba yeye akiwa Rais ataweka pembeni mambo ya vyama vingi (njia ya muongo ni fupi) alishasahau kama kabla ya TANU mwl.J.K. alizunguka nchi nzima kupiga kampeni ya kuviunganisha vyama vya siasa na kuunda chama kimoja TANU. Akatafute kiki ingine sio hii. Eti mwl. alikopi kwake suala la kujiunga na wakomunisti (huyu mzee atakuwa na matatizo) siasa ya ujamaa na kujitegemea ilikuwa kwenye kinywa cha mwalimu kabla hata ya 09 DES 1961 eti yeye anaongelea 61 kumeishakucha kabisa!. Wana jf hebu tupeane cake zenye uhakika.
 
Kick tu hiyo alikuwa wapi kutueleza haya hadi leo ushahidi haupo ndo anatuletea porojo zake! Eti mwaka 61 alimwambia mwl. J.K. kwamba yeye akiwa Rais ataweka pembeni mambo ya vyama vingi (njia ya muongo ni fupi) alishasahau kama kabla ya TANU mwl.J.K. alizunguka nchi nzima kupiga kampeni ya kuviunganisha vyama vya siasa na kuunda chama kimoja TANU. Akatafute kiki ingine sio hii. Eti mwl. alikopi kwake suala la kujiunga na wakomunisti (huyu mzee atakuwa na matatizo) siasa ya ujamaa na kujitegemea ilikuwa kwenye kinywa cha mwalimu kabla hata ya 09 DES 1961 eti yeye anaongelea 61 kumeishakucha kabisa!. Wana jf hebu tupeane cake zenye uhakika.
Mbona unaeleza Kwa hasira
 
Mzee Leopord Rwizandekwe mkazi wa kijiji cha Katendaguro Tarafa ya Kiziba Wilaya ya Missenyi Mkoani Kagera ambaye mwaka 1965 alitaka kumng'oa mwalimu Nyerere kabla ya jina lake kuenguliwa na vikao vya Chama ,

Mzee Rwizandekwe baada ya kukutana na Nyerere nchini uingereza mwaka 1964 alimwambia kwamba anataka akagombee urais wa Tanganyika, Mwalimu Nyerere alishtuka Sana akauliza kwanini unataka kugombea nafasi niliyonayo?

Rwizandekwe akaeleza mambo kadhaa wa kadha atakayofanya akipewa urais,
Ikiwemo kuanzisha vijiji vya ujamaa,
Kutafta mbinu nzuri ya demokrasia ikiwemo kuweka pembeni vyama vya upinzani ili Kwanza nchi iwe iwe imara,

Kuanzisha mashirika ya ujamaa na vijiji, na kujiunga Zaid na wakomunist kuliko mabepari wanyonyaji, alimueleza hayo walipokutana Uingereza mwaka 1961 wakati huo akisomea sheria.Mzee Rwizandekwe aliwahi kuwa hakimu wa Mahakama ya Rufani ya Buhaya ambapo mtandao huu umemnasa katika moja ya mitaa ya Mji wa Bukoba akitafuta duka zinapouzwa Katiba za Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
http://white-house-logs.insidegov.com/l/81959525/Leopold-Rwizandekwe
Haya watoto waje wale uongo wako huu.

Huu ni uongo mweupe.
 
Kick tu hiyo alikuwa wapi kutueleza haya hadi leo ushahidi haupo ndo anatuletea porojo zake! Eti mwaka 61 alimwambia mwl. J.K. kwamba yeye akiwa Rais ataweka pembeni mambo ya vyama vingi (njia ya muongo ni fupi) alishasahau kama kabla ya TANU mwl.J.K. alizunguka nchi nzima kupiga kampeni ya kuviunganisha vyama vya siasa na kuunda chama kimoja TANU. Akatafute kiki ingine sio hii. Eti mwl. alikopi kwake suala la kujiunga na wakomunisti (huyu mzee atakuwa na matatizo) siasa ya ujamaa na kujitegemea ilikuwa kwenye kinywa cha mwalimu kabla hata ya 09 DES 1961 eti yeye anaongelea 61 kumeishakucha kabisa!. Wana jf hebu tupeane cake zenye uhakika.
Huenda ukawa unamfahamu zaidi huyo mzee hebu tuambie wewe sasa ilikuaje
 
Kick tu hiyo alikuwa wapi kutueleza haya hadi leo ushahidi haupo ndo anatuletea porojo zake! Eti mwaka 61 alimwambia mwl. J.K. kwamba yeye akiwa Rais ataweka pembeni mambo ya vyama vingi (njia ya muongo ni fupi) alishasahau kama kabla ya TANU mwl.J.K. alizunguka nchi nzima kupiga kampeni ya kuviunganisha vyama vya siasa na kuunda chama kimoja TANU. Akatafute kiki ingine sio hii. Eti mwl. alikopi kwake suala la kujiunga na wakomunisti (huyu mzee atakuwa na matatizo) siasa ya ujamaa na kujitegemea ilikuwa kwenye kinywa cha mwalimu kabla hata ya 09 DES 1961 eti yeye anaongelea 61 kumeishakucha kabisa!. Wana jf hebu tupeane cake zenye uhakika.
Nilimsomaga kitambo kwenye gazeti la rai.Baadaye Nyerere alimpa shavu kusimamia Sheria za jadiyaani,customery law
 
Britanicca leo umeleta uongo mtupu.
Kawadanganye watoto.

Nyerere ni master wa ujamaa Africa nzima.

Huo ni mfumo wa maisha yake.

Unaleta porojo hapa.

Nenda kwa huyo mzee uone kama hata chembe ya maisha ya ujamaa anayo.

Nyerere ni level zingine. Hata wazungu wanajua.
Kasema yeye
 
Back
Top Bottom