Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wasanii wengi jau sana, unakuta anapata platform ya kutumbuiza shughuli ya kitaifa ambayo wakati mwingine Rais Samia hayupo, ila akianza kuimba mwanzo mwisho ni mama mama mama mama mama, hadi...
1 Reactions
3 Replies
112 Views
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, akijibu swali la Mwandishi leo Juni 10, 2026 kuhusu taarifa ambazo chama hicho zimeeleza kuwa kufuatia kusikilizwa kwa kesi...
3 Reactions
9 Replies
233 Views
Serikali imesema Bajeti Kuu ya mwaka wa fedha 2026/27 ni ya kipekee kwa kuwa ndiyo bajeti ya kwanza itakayotumika kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, Mpango wa Nne wa Maendeleo wa Taifa wa...
1 Reactions
0 Replies
214 Views
Ni nini kumetokea, hata wachangiaji kuacha kutoa pesa zao kuichangia chadema? Je, achangiaji wameshtukia wizi au utapeli wa pesa zao mchana kweupe? au kuna mapumziko ya kuomba kuchangiwa pesa...
3 Reactions
43 Replies
395 Views
Ndugu zangu Watanzania, Mlinzi Maarufu Wa Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli Baada ya Kutoka Urussi katika Ziara ya Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa...
2 Reactions
23 Replies
613 Views
Kila nikimulika pale CCM sioni mtu mwenye ukomavu wa uvumilivu na mateso yaani wote kama watoto wakishua hawawezi kurupukushani.
0 Reactions
2 Replies
68 Views
  • Redirect
Kuelekea kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, Katibu Mkuu wa chama hicho John Mnyika ametoa wito kwa jeshi la Polisi kuupuzia taarifa za uongo wanazodai za...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Hvi hizi dharahu zimejitokeza baada ya kuona Raisi anaikumbatia sana Zanzibari. Vyombo kama TISS kazi yao nini je wapo kwa maslahi ya Raisi au Taifa, HIvi kuna wapemba wangapi huku bara. Sababu...
2 Reactions
Replies
Views
Nimejikuta nawakumbuka watu waliopotea kisa kusema ukweli na kukemea maovu kama kina Polepole. Nauhakika wengi kama sio wote wameshauawa na hatutawaona tena.'Mungu awapokee katika ufalme wale...
15 Reactions
88 Replies
1K Views
Kamwe hakuna chama kinachoweza kukamata dola ya Tanzania bila kuwekeza vyema kwa wafuasi wengi wa Tanzania bara na Tanzania visiwani. Dr Wilbrod Slaa na Marehemu Edward lowassa walitambua hili na...
1 Reactions
21 Replies
224 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, John Heche, akizungumza katika Mahojiano na Bongo FM leo Juni 10, 2026, amejibu kauli ya Mwenezi wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi...
3 Reactions
5 Replies
227 Views
Hamjambo! Huwezi kataa nature. Zipo jamii zenye watu warefu, wapo wafupi, wapo mchanganyiko yaani warefu, wakawaida na wafupi. Zipo jamii zenye watu wenye ngozi nyeupe, nyeusi na njano na...
4 Reactions
45 Replies
616 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, John Heche akifanya Mahojiano na Bongo FM leo Juni 10, 2026, amesema haungi mkono tabia ya watu kuhama Vyama "Watanzania wana haki...
8 Reactions
26 Replies
277 Views
  • Redirect
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, ametoa wito mzito na wa dharura akiwataka Watanganyika kuamka na kuanza kuhoji kwa kina mifumo, haki, na maslahi ya nchi yao...
2 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
KWAKUWA NI HALALI KWA WAZANZIBARI KULINDA HAKI ZA WAZANZIBARI HAIWEZI KUWA HARAMU KWA WATANGANYIKA KULINDA HAKI ZA WATANGANYIKA. Kwa yanayoendelea kujitokeza katika Baraza la Wawakilishi...
2 Reactions
Replies
Views
Watu wengi hujiuliza kwa nini Marekani na Uingereza zimeendelea kuwa miongoni mwa nchi zenye ushawishi mkubwa duniani kwa mamia ya miaka. Wengine hudhani ni kwa sababu ya utajiri wa maliasili...
1 Reactions
0 Replies
76 Views
Huwa tunashuhudia mipango ya kutenda uovu au vurugu kwenye nchi ikiandaliwa kupitia hamasa ya wanaharakati uchwara. Halafu hawa TEC wanakuwa kimya, wala hawawezi kukemea Sasa swali ni je? Wao...
1 Reactions
15 Replies
272 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, John Heche akizungumza katika Mahojiano na Bongo FM leo Juni 10, 2026. "Hii nchi haina amani bwana. Nchi ambayo ina amani polisi...
0 Reactions
0 Replies
118 Views
  • Featured
Said Issa Mohammed, aliyefukuzwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa madai ya kukiuka katiba, kanuni na miongozo ya chama, amesema uamuzi huo ni kinyume na katiba ya chama...
8 Reactions
74 Replies
1K Views
LAZIMA tupinge ubaguzi huu lakini tukiwa tumeshikilia kete kuu ya 29 October Kitendo Cha viongozi kunyamazia kauli ya kwanza ya Ubaguzi WA wazi kuhusu ajira ni ishara kwamba hiyo kete ilitupwa...
0 Reactions
0 Replies
55 Views
Back
Top Bottom