Leo (Nov 8. 2021) umetokea ubishi mahakamani kwamba akina Kibatala wamekataa document ya kumkamata mshitakiwa (seizure).
Hoja ni kwamba sheria kwenyw document hiyo haipo hapo nchini.
Kosa hilo kisheria linaitwa "wrong citation of the law".
Mawakili wa Serikali wamejenga hoja kwamba hili kosa ni dogo, siyo fatal, yaani mahakama inaweza kulifumbia macho.
Kina Kibatala wanasema ni kosa kubwa, yaani hakuna sheria hiyo waliyotumia.
Jaji kaomba siku nzima kuchambua hoja zote.
Je, ni nini kiko sahihihi?
Je, msimamo wa sheria zetu ukoje kwa kosa hili la wrong citation?
Msimamo uko wazi kwamba wrong citation ni kosa lisilovumilika. Mahakama haina mamlaka na kesi yako kama umefanya kosa la wrong citation.
Msimamo huu Majaji wote Tanzania wameusimamia.
Msimamo huu ni wa Mahakama ya Rufani kwenye kesi zake nyingi. Moja ya kesi hizo ni ile ya "Chama Cha Walimu Tanzania v. The Attorney General, Civil Application No. 151 of 2008, (Unreported) ".
Katika kesi hii Court of Appeal olitamka wazi kwamba wrong citation ni kosa lisilosameheka.
Hivyo Mahakama Kuu haina uwezo wa kukiuka maagizi ya Mahakama ya Rufani kama Mawakili wa Serikali wanavyojaribu kuishawishi.
Jaji wa kesi ya Mbowe hana mamlaka ya kwenda kinyume na Mahakama ya Rufani.
Jailing.
Hoja ni kwamba sheria kwenyw document hiyo haipo hapo nchini.
Kosa hilo kisheria linaitwa "wrong citation of the law".
Mawakili wa Serikali wamejenga hoja kwamba hili kosa ni dogo, siyo fatal, yaani mahakama inaweza kulifumbia macho.
Kina Kibatala wanasema ni kosa kubwa, yaani hakuna sheria hiyo waliyotumia.
Jaji kaomba siku nzima kuchambua hoja zote.
Je, ni nini kiko sahihihi?
Je, msimamo wa sheria zetu ukoje kwa kosa hili la wrong citation?
Msimamo uko wazi kwamba wrong citation ni kosa lisilovumilika. Mahakama haina mamlaka na kesi yako kama umefanya kosa la wrong citation.
Msimamo huu Majaji wote Tanzania wameusimamia.
Msimamo huu ni wa Mahakama ya Rufani kwenye kesi zake nyingi. Moja ya kesi hizo ni ile ya "Chama Cha Walimu Tanzania v. The Attorney General, Civil Application No. 151 of 2008, (Unreported) ".
Katika kesi hii Court of Appeal olitamka wazi kwamba wrong citation ni kosa lisilosameheka.
Hivyo Mahakama Kuu haina uwezo wa kukiuka maagizi ya Mahakama ya Rufani kama Mawakili wa Serikali wanavyojaribu kuishawishi.
Jaji wa kesi ya Mbowe hana mamlaka ya kwenda kinyume na Mahakama ya Rufani.
Jailing.