Angalia utakatishaji wa fedha unaokuja

Angalia utakatishaji wa fedha unaokuja

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
51,855
Reaction score
101,119
CHAUMMA hawana wanachama wa kuwachangia.

Watachota fedha toka hazina kupitia ubabe wa CCM, then wajifanye wamechangiwa....time will tell!

Jiulize, Chaumma ilipata wapi hela za kuzunguka na helcopter? Nonsense! wanadhani watu wajinga!
 
Leo yule jamaa anayekaimu ukatibu mkuu wa CHAUMMA alikuwa anajiumauma tu alipoulizwa kuhusu kwa nini wanachama wao/viongozi waliohama CHADEMA wamekuwa wakikiandama CHADEMA na kuiacha CCM?Je,mkinzani wa CHAUMMA ni CHADEMA zaidi/kuliko CCM?Akawa anajibu kama anataka kurusha ngumi.Suckers!
 
Leo yule jamaa anayekaimu ukatibu mkuu wa CHAUMMA alikuwa anajiumauma tu alipoulizwa kuhusu kwa nini wanachama wao/viongozi waliohama CHADEMA wamekuwa wakikiandama CHADEMA na kuiacha CCM?Je,mkinzani wa CHAUMMA ni CHADEMA zaidi/kuliko CCM?Akawa anajibu kama anataka kurusha ngumi.Suckers!
Hahaha 😆!! Kumbe n ww umeona.
Kazi ni kipimo cha utu
 
CHAUMMA hawana wanachama wa kuwachangia.

Watachota fedha toka hazina kupitia ubabe wa CCM, then wajifanye wamechangiwa....time will tell!

Jiulize, Chaumma ilipata wapi hela za kuzunguka na helcopter? Nonsense! wanadhani watu wajinga!
acha upotoshaji gentleman,
chama kilichosheheni wafuasi na mashabiki wa kuporomosha matusi ndio hubabaika kukusanya fedha kwasababu wafuasi na mashabiki hao ni hazina ya kutukana na kuporomosha matusi tu, na si vinginevyo.

vyama vya siasa vyenye wanachama hai na kindakindaki hawewezi kuchukua zaidi ya siku mbili kuchangia One billion :1Head:
 
Wamekuja kufanya mchezo wa kutaka kufanya distraction na kupunguza uchangiaji wa watu kwa CHADEMA ila watahaibika .

CHAUMMA pesa zao zinatoka CCM kila mwenye akili analifahamu na hata michango watakayosema wamechangiwa tunajua itakua imetoka wapi.
 
Nahisi huu ni mtego, wakiwa na hela nyingi account yao itachunguzwa na wao watalalamika mwisho wa siku na ya chadema nayo itafungwa kwa ajili ya uchunguzi, ni mawazo yangu tu
Mwenye uwezo wa kufikiria, tuwe tunakiri kuwa ana uwezo wa kufikiria...

"We jamaa, nina wasiwasi na wewe...na wasiwasi ndo akili"
 
Hii minyumbu ni mijitu iliyojaa wivu sana mamamamae zao. Nyie mna yenu na wao Wana yao, hangaikeni na yenu; ya chaumma waachieni chauma kama wao wanavyoyaacha ya chadema kwa wanachadema.

Mtatokwa mikulo kwa wivu na chuki
 
Nahisi huu ni mtego, wakiwa na hela nyingi account yao itachunguzwa na wao watalalamika mwisho wa siku na ya chadema nayo itafungwa kwa ajili ya uchunguzi, ni mawazo yangu tu
Nina mawzo yaka yako. In fact nilikuwa nataka kupost exactly ulichopost. Ndicho kitakachotokea. Vyovyote itakavyokuwa Baraza la wananchi litakaa na maamuzi mazito ya wananchi yatatolewa
 
Nahisi huu ni mtego, wakiwa na hela nyingi account yao itachunguzwa na wao watalalamika mwisho wa siku na ya chadema nayo itafungwa kwa ajili ya uchunguzi, ni mawazo yangu tu
Ni kama ile mbinu ya awali iliyofaili. Salim Mwalimu alituhumiwa kula hela za chama. Harakaharaka akakaa pembeni eti kupisha uchunguzi. Baada ya muda mfupi Heche akatuhumiwa kula hela za cdm, ccm wakawa wanapush ajenda akae pembeni kama kufuata alichofanya Salim Mwalimuz cdm wakagoma kuuvaa huo mtego wa kipuuzi.


Sasa wameona marathon ya cdm imeshika kasi, na wao wametumwa ili kujifanya wanachangisha ili walete sintofahamu kuwapotezea watu imani na michango kwa cdm. Nina hakika na mbinu hii itabuma mapema sana maana Chauma hawana watu.
 
acha upotoshaji gentleman,
chama kilichosheheni wafuasi na mashabiki wa kuporomosha matusi ndio hubabaika kukusanya fedha kwasababu wafuasi na mashabiki hao ni hazina ya kutukana na kuporomosha matusi tu, na si vinginevyo.

vyama vya siasa vyenye wanachama hai na kindakindaki hawewezi kuchukua zaidi ya siku mbili kuchangia One billion :1Head:
Ohhh mkata viuno kwenye ubora sanaaa hipitwi na KILA bandiko linalohusu chadema hukufukuzwa chadema Dada njoo utubu tutakusamehe mwana mpotevu
 
acha upotoshaji gentleman,
chama kilichosheheni wafuasi na mashabiki wa kuporomosha matusi ndio hubabaika kukusanya fedha kwasababu wafuasi na mashabiki hao ni hazina ya kutukana na kuporomosha matusi tu, na si vinginevyo.

vyama vya siasa vyenye wanachama hai na kindakindaki hawewezi kuchukua zaidi ya siku mbili kuchangia One billion :1Head:
Ohhh mkata viuno kwenye ubora sanaaa hipitwi na KILA bandiko linalohusu chadema hukufukuzwa chadema Dada njoo utubu tutakusamehe mwana mpotevu
 
acha upotoshaji gentleman,
chama kilichosheheni wafuasi na mashabiki wa kuporomosha matusi ndio hubabaika kukusanya fedha kwasababu wafuasi na mashabiki hao ni hazina ya kutukana na kuporomosha matusi tu, na si vinginevyo.

vyama vya siasa vyenye wanachama hai na kindakindaki hawewezi kuchukua zaidi ya siku mbili kuchangia One billion :1Head:
Ohhh mkata viuno kwenye ubora sanaaa hupitwi na KILA bandiko linalohusu chadema hukufukuzwa chadema Dada njoo utubu tutakusamehe mwana mpotevu
 
Back
Top Bottom