Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Baraza la Vijana wa chama cha demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mkoa wa Arusha BAVICHA, limeibuka na kuitaka serikali kuunda tume huru ya uchaguzi kabla ya uchaguzi Mkuu wa Taifa utakaofanyika...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Kama kweli unahitaji kuendelea kutetea kiti chako, Watanzania wanayohaki ya kufafanuliwa juu ya ahadi zako za mwaka 2015, 1. Mheshimiwa uliuahidi umma wa Watanzania kuwa katika utawala wako...
13 Reactions
30 Replies
3K Views
Kumekuwa na kasumba ya viongozi wa CCM kujitapa kuwa Octoba 2020 wabunge wa Upinzani watang'olewa katika majimbo yao kwa gharama yoyote. Hiyo gharama yoyote ni ipi? Wizi, rushwa, kutangaza CCM...
14 Reactions
36 Replies
4K Views
Itarejesha mchakato wa katiba mpya bungeni ambao ulio taarishwa na tume ya Warioba . Kuidhinisha mfumo wa Serikali tatu na kutekelezwa baada ya uchaguzi. Kuahidi kusimamia demokrasia kuanzia...
7 Reactions
39 Replies
4K Views
Ni mawazo na kutafakari tu! kuna muda unaweza ukapata majibu hata mtaani au maeneo yoyote kila mtu ni mkimya. Sio kimya wa mambo mengine ni ule ukimya ambao leo uwezi kujifanya kimbelembele...
2 Reactions
39 Replies
3K Views
Heshima na taadhima kwenu wakuu. Nimekaa naangalia runinga hapa kwenye kituo cha Star Tvkipindi kinaitwa Agenda 2020. Anahojiwa Waitara hapa naona kichefuchefu: 1. Anaonekana amelewa chakari...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Tumeingia Ule mwaka wa kuamua hatma ya Kata, jimbo na nchi yetu. Sisi Wana Kigoma mjini tumeamua kuachana na mazoea na siasa zetu za kuoneana huruma. Kwakuzingatia matakwa ya kikatiba na kanuni...
5 Reactions
39 Replies
5K Views
Naona sasa CCM iliyo ndani ya kaburi inakaribia kufukiwa rasmi na Hawa wajuaji wasiojua Siasa japo wengine wao ni wasomi wa sayansi ya Siasa! Kijidaftali chenye majina ya wateule wa ubunge na...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Mnajua fika kuwa kilichofanyika katika uchaguzi was serikali za mitaa kitarudiwa hivyo hivyo au na kuzidi. Mmejipangaje kukabikiana na hilo? Nimemsikia Katibu was Baraza la wazee Chadema akisema...
1 Reactions
6 Replies
838 Views
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amesema anawasubiri wazee wampe ridhaa kugombea Ubunge Arusha Mjini Hata hivyo ameeleza kuwa kwa sasa hana Mpango wa kugombea Ubunge, tofauti na ambavyo...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Kimahesabu, CCM ndio washindi wa Uchaguzi Mkuu wa 2020 kabla hata ya mwenda kwenye Box la Kupigia kura. Ushindi huu wa CCM ambao umetokana na utekelezaji kabambe wa miradi mbali mbali chini ya...
5 Reactions
42 Replies
5K Views
Vyama vya upinzani chondechonde msije mkakubali kuingia kwenye uchaguzi 2020 bila tume huru. Hulka na tabia ya jiwe na serikali yake mmeshaiona hawana aibu heshima staha Wala huruma kwenu Wala...
12 Reactions
77 Replies
6K Views
Kwakweli sielewi hiki kipengele kinachozuia matokeo ya urais kupingwa mahakamani kina Nia njema ipi. Yani katika mazingira ya Tanzania ya Sasa yenye uvunjifu wa sheria zote pamoja na haki za...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mara tu baada ya kuapishwa kuwa Rais wa nchi hii, Rais Magufuli alivipiga marufuku vyama vya upinzani nchini kutofanya mikutano ya kisiasa hadi mwaka 2020, kwa madai kuwa uchaguzi umekwisha, kwa...
19 Reactions
83 Replies
9K Views
Tume huru ya Uchaguzi NEC imesema matokeo ya Uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi october mwaka huu yatatangazwa kutokea jijini Dodoma. Source: Habari Leo Maendeleo hayana vyama!
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Kama ni kweli, Rais Magufuli hatakubali Tume huru ya uchaguzi iundwe kabla ya uchaguzi mkuu!
16 Reactions
177 Replies
21K Views
POLITICSTANZANIATOP STORY Tanzania elections: Life has got worse under Magufuli. We need change. BY ZITTO KABWEJANUARY 8, 2020 SHARE: Opposition leader Zitto Kabwe says the past four years of...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu, nilikuwa naomba kufahamishwa ni kiasi gani cha fedha kinahitajika hili mtu aweze kuipata fomu ya kugombea ubunge?
4 Reactions
43 Replies
16K Views
Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020. Je, serikali ina majibu ya kuwaeleza Watanzania ambao mpaka leo vijiji vyao havijapatiwa umeme nini sababu inayochelewesha ili hali kila siku...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Leo ni 01/01/2020 hongera kwa kuona mwaka mpya. Mwaka 2020 ni mwaka wa uchaguzi mkuu. Kwa hali ilivyo kama mihimili yote imeshikiliwa na ule mhimili ulijikita chini zaidi kuna haja gani ya kupiga...
8 Reactions
114 Replies
8K Views
Back
Top Bottom