GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Itarejesha mchakato wa katiba mpya bungeni ambao ulio taarishwa na tume ya Warioba .
Kuidhinisha mfumo wa Serikali tatu na kutekelezwa baada ya uchaguzi.
Kuahidi kusimamia demokrasia kuanzia hivi sasa na sio baada ya uchaguzi.
Kuachiwa huru wale wote waliokamatwa kwa kesi za kisiasa wakiwemo viongozi wa Uamsho.
Demand hizi zianze mwaka huu kabla ya Oktoba uchaguzi mkuu.
Mimi na familia yangu nitakuwa tayari kuipigia CCM na kuhamasisha .
Je, wewe ?
Kuidhinisha mfumo wa Serikali tatu na kutekelezwa baada ya uchaguzi.
Kuahidi kusimamia demokrasia kuanzia hivi sasa na sio baada ya uchaguzi.
Kuachiwa huru wale wote waliokamatwa kwa kesi za kisiasa wakiwemo viongozi wa Uamsho.
Demand hizi zianze mwaka huu kabla ya Oktoba uchaguzi mkuu.
Mimi na familia yangu nitakuwa tayari kuipigia CCM na kuhamasisha .
Je, wewe ?