Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,926
Vyama vya upinzani chondechonde msije mkakubali kuingia kwenye uchaguzi 2020 bila tume huru.
Hulka na tabia ya jiwe na serikali yake mmeshaiona hawana aibu heshima staha Wala huruma kwenu Wala hawaifwati katiba.
Kama jiwe ameweza kuchezea uchaguzi wa serikali za mitaa bila kufanywa lolote Wala kutokea chochote msitegemee atakuwa mstaarabu octoba 2020.
Mkae mkijua kabisa Kama wakati wa JK kwa demokrasia ile tulishinda na bado tukahujumiwa vipi Sasa wakati wa dikteta jiwe?
Anzeni Sasa nawashauri mwezi huu wa kwanza usiishe kabla hamjaiambia dunia kuhusu ulazima wa kuwepo tume huru ya uchaguzi.
Bahati nzuri dunia nzima inamchukia jiwe na inamfahamu hulka yake sapoti itakuwa kubwa Sana na mwangwi wake utasikika Sana kuliko wakati wowote katika historia ya taifa letu.
Upinzani kumbukeni mnashindana na mtu asie na chembechembe ya ustaarabu hata kidogo Hilo mlijue.
JK alikuwa muungwana huyu ni kinyume chake ni mtu asie wa kawaida hivyo haitaji treatment ya kawaida.
Mkiingia kwenye UCHAGUZI bila kushinikiza tume huru mjue mmebariki suicide (mauwaji) maana ni sawa na kwenda kupigana na Askari mwenye smg wewe ukiwa na njiti ya chelewa Kama fimbo Kama silaha yako ya utetezi dhidi ya smg.
Upinzani kumbukeni watu wamechoka haya maisha wanasubiri mtu wa kumfunga paka kengele watoto wa mjini wanasema mtu wa kulianzisha au kukinukisha (kwa kufuata Sheria za nchi) mtapata sapoti kubwa mno.
Mpinzani wenu ambae ni CCM hakubaliki popote na jamii yoyote ya watanzania ila anatumia dola na propaganda kuwadanganya watu anakubalika kumbe sivyo.
Upinzani narudia Tena na Tena na Tena msije mkaingia kwenye ballot box mkitegemea favor itakuwa imekula kwenu.
Bashiru mmemsikia amesema wazi msitegemee tume huru Maana tume haipigi kura huu ni ujumbe tosha kwenu.
Polepole kawaambia wanaandaa mpango wa kutawala miaka 70 ijayo huo ni ujumbe kwenu upinzani akili kumkichwa.
Jiulizeni kwanini wanaanza kuweka mzinga/kuchonga mzinga wa mwewe (tiss) Zanzibar? Hio inapaswa kuwa alarm kwenu upinzani.
Kuna yanayofanyika gizani na hadharani kuandaa hujuma dhidi ya mazingira yoyote yatakayojiinua kuwabeba msije sema hatukuwaambia.
Kusoma hamuwezi hata picha hamuioni?
Narudia Tena upinzani mwezi huu wa January usiishe bila kutoa tamko Kali la kudai kisheria na kikatiba mabadiliko ya katiba.
Madai yenu mya file UNO/EUROPEAN UNION/ BALOZI ZOTE NK kwajili ya rejea na ufwatiliaji.
Narudia Tena mnapambana na mtu asie muungwana mkiwa soft atawaumiza mkiwa stiff atawaumiza.
Usiku mwema!!!!!
Hulka na tabia ya jiwe na serikali yake mmeshaiona hawana aibu heshima staha Wala huruma kwenu Wala hawaifwati katiba.
Kama jiwe ameweza kuchezea uchaguzi wa serikali za mitaa bila kufanywa lolote Wala kutokea chochote msitegemee atakuwa mstaarabu octoba 2020.
Mkae mkijua kabisa Kama wakati wa JK kwa demokrasia ile tulishinda na bado tukahujumiwa vipi Sasa wakati wa dikteta jiwe?
Anzeni Sasa nawashauri mwezi huu wa kwanza usiishe kabla hamjaiambia dunia kuhusu ulazima wa kuwepo tume huru ya uchaguzi.
Bahati nzuri dunia nzima inamchukia jiwe na inamfahamu hulka yake sapoti itakuwa kubwa Sana na mwangwi wake utasikika Sana kuliko wakati wowote katika historia ya taifa letu.
Upinzani kumbukeni mnashindana na mtu asie na chembechembe ya ustaarabu hata kidogo Hilo mlijue.
JK alikuwa muungwana huyu ni kinyume chake ni mtu asie wa kawaida hivyo haitaji treatment ya kawaida.
Mkiingia kwenye UCHAGUZI bila kushinikiza tume huru mjue mmebariki suicide (mauwaji) maana ni sawa na kwenda kupigana na Askari mwenye smg wewe ukiwa na njiti ya chelewa Kama fimbo Kama silaha yako ya utetezi dhidi ya smg.
Upinzani kumbukeni watu wamechoka haya maisha wanasubiri mtu wa kumfunga paka kengele watoto wa mjini wanasema mtu wa kulianzisha au kukinukisha (kwa kufuata Sheria za nchi) mtapata sapoti kubwa mno.
Mpinzani wenu ambae ni CCM hakubaliki popote na jamii yoyote ya watanzania ila anatumia dola na propaganda kuwadanganya watu anakubalika kumbe sivyo.
Upinzani narudia Tena na Tena na Tena msije mkaingia kwenye ballot box mkitegemea favor itakuwa imekula kwenu.
Bashiru mmemsikia amesema wazi msitegemee tume huru Maana tume haipigi kura huu ni ujumbe tosha kwenu.
Polepole kawaambia wanaandaa mpango wa kutawala miaka 70 ijayo huo ni ujumbe kwenu upinzani akili kumkichwa.
Jiulizeni kwanini wanaanza kuweka mzinga/kuchonga mzinga wa mwewe (tiss) Zanzibar? Hio inapaswa kuwa alarm kwenu upinzani.
Kuna yanayofanyika gizani na hadharani kuandaa hujuma dhidi ya mazingira yoyote yatakayojiinua kuwabeba msije sema hatukuwaambia.
Kusoma hamuwezi hata picha hamuioni?
Narudia Tena upinzani mwezi huu wa January usiishe bila kutoa tamko Kali la kudai kisheria na kikatiba mabadiliko ya katiba.
Madai yenu mya file UNO/EUROPEAN UNION/ BALOZI ZOTE NK kwajili ya rejea na ufwatiliaji.
Narudia Tena mnapambana na mtu asie muungwana mkiwa soft atawaumiza mkiwa stiff atawaumiza.
Usiku mwema!!!!!