GTs,
Baada ya safari ya Urusi, hakika niliyoyashuhudia huko, basi Dkt Samia aendelee kubakia kwenye kiti cha Urais mpaka 2040.
Cha muhimu tuanze mchakato wa kubadili katiba ya chama na ya nchi...
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM Taifa, Ally Salum Hapi akiwa Shinyanga Juni 4, 2026 amesema; "Chama chenye sera nzuri, ni chama cha Mapinduzi.
Wamepewa fursa ya kusema, waitumie fursa...
Kumekuwa na malalamiko yanayoashiria uwezekano wa matumizi mabaya ya fedha, ambapo baadhi ya viongozi wanadaiwa kunufaika zaidi na mapato ya hospitali huku watumishi wanaochangia kwa kiasi kikubwa...
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema kuwa kukosoa ni haki ya msingi katika jamii ya kidemokrasia, lakini ukosoaji huo unapaswa...
Kauli ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, alipokuwa akizungumza katika mahojiano kwenye kipindi cha Dakika 45 kinachorushwa na kituo cha televisheni cha ITV, Juni 8, 2026...
Hivi karibuni niliandika kwamba ile bidii ya Raisi Samia kuchukua mikopo ya nje kila siku ilikuwa ni mkakati maalumu uliowekwa ili fedha nyingi ziende Zanzibar kama mgawo wao wa hiyo mikopo. Fedha...
Rais wa Singapore, Tharman Shanmugaratnam, akizungumza leo Juni 9, 2026, katika Ikulu ya Dar es Salaam mara baada mazungumzo na Rais Samiaamesema wamekubaliana kuendelea kuimarisha ushirikiano wa...
Viongozi wa Tanzania waliopo na waliopita wamepachika au wamepachikiwa majina yao kwenye mali na miradi ya nchi, hili jambo halina maana wala tija yoyote ile.
Kwa mfano, si sawa kwa stendi ya...
Rais wa Jamhuri ya Singapore, Mheshimiwa Tharman Shanmugaratnam, anatarajiwa kuwasili Tanzania jioni ya leo kwa ajili ya kuanza Ziara ya Kiserikali kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
Amekuja kufanya nini hapa? Au naye anaua kama kawa! kwake huko.
Russia , China naweza nikamuelewa. Huko murder case inatumia less than 30 minutes na ananyongwa mtu!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameeleza waliyojadili na Rais wa Jamhuri ya Singapore, Mheshimiwa Tharman Shanmugaratnam mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es...
Wakuu , natanguliza salamu , na baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja yangu .
Kila mtu amesikia kwamba kivuko cha magari cha TAZARA ( siyo flyover kama wengi wanavyotuaminisha )...
Wanabodi,
Wakati tukijiandaa rasmi kuingia kwenye serikali 3, tutake tusitake, lazima tutarudi nyuma kuungazia muungano wetu, na kabla hatujaingia katika serikali tatu, lazima kwanza tuwe na...
======
WANANCHI WAPINGA KUJIUZULU KWA MWENYEKITI ENGOSOWASHI.
Wananchi wa Mtaa wa Engosowash, Kata ya Moshono jijini Arusha, wameonyesha kutoridhishwa na uamuzi wa mwenyekiti wao kujiuzulu...
Ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Russia imefungua ukurasa mpya wa ushirikiano kati ya nchi hizo mbili, huku nchi hizo zikikubaliana kushirikiana katika maeneo tisa ya kimkakati yenye...
Tunakushukuru Mama Samia kwa kukataa Jina lako kuwekwa kwenye Daraja, huu ni mwanzo mzuri sana, na kwa kweli nimeamini kwamba kumbe ni kweli huwa unasoma JF, Maana uko uzi wangu kabambe humu...
Hii ni kwa Sababu Ile kesi Yake ya UONGO imesababisha hasara ya mabilioni ya hela kwa Chadema baada ya Mali nyingi kuharibika kutokana na katazo la kuzitumia baada ya. hukumu ya kipuuzi ya Jaji...
Kwa Tuhuma za kukihujumu CHAMA kwa kushirikiana na Watu wa nje ya CHADEMA (CCM)
Amekirudisha CHAMA nyuma sana kwa hujuma zake za kizushi
Labda kwa wasiomjua Said ni hivi, huyu ni Mtu Duni...
Sijawahi kuelewa hii inayosifiwa sana na kuitwa 5000 years of continous civilization ya wachina au siju persians, swali langu ni kwamba how come chinese hawajawahi kuunda gari, tv, simu, umeme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.