Utekaji/kupotea watu ni mradi wa CCM?

Utekaji/kupotea watu ni mradi wa CCM?

Huko Mbeya, kitu cha ajabu kimetokea. Uongozi wa kata/kitongoji imetumia mbinu ya kutangaza kuwaambia wananchi kuwa kuna maiti zimeokotwa ili kukusanya watu. Huu ni ushenzi kwa lugha yoyote na ndio kufilisika kwa CCM.
CCM kosa kabisa sera , vision hamasisha vatu Huko Mbeya?
Natumia message of DEATH kusanya watu ?
Senji kabisa!
 
Huko Mbeya, kitu cha ajabu kimetokea. Uongozi wa kata/kitongoji imetumia mbinu ya kutangaza kuwaambia wananchi kuwa kuna maiti zimeokotwa ili kukusanya watu. Huu ni ushenzi kwa lugha yoyote na ndio kufilisika kwa CCM.
Screenshot_20260404-111943~2.png
 
Hii ndiyo CCM halisi sasa...
Ya ghiriba na ulaghai..

Nimekuwa nikisema hapa JF ...CCM tabia ya kuengua wagombea ambao Wananchi wanawataka na kuwapachika wanaowata wao kwa ghiriba ili kulinda maslahi ya CCM..ni suala la muda tu..Nchi inaenda kulipuka..

Sehemu nyingi tu Wananchi Wana migomo baridi dhidi ya Viongozi wao wa kupigiwa kura..

Wenyeviti wa Mitaa,Madiwani na Wabunge ni wengi mno wasiopewa ushirikiano na Wananchi katika maeneo yao.
Maisha yamekuwa ni ya Paka na Panya.
 
Back
Top Bottom