Heche akutana na Wazee wa Mkoa wa Mara leo

Heche akutana na Wazee wa Mkoa wa Mara leo

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
25,468
Reaction score
46,273
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, leo Julai 17, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Wazee wa Mkoa wa Mara katika Ukumbi wa Zablon Sports Arena mjini Tarime.

Katika mkutano huo, wazee hao walimkabidhi Heche zawadi ya mbuzi mmoja pamoja na mikungu ya ndizi kama ishara ya heshima, upendo na kuthamini uongozi wake.

Heche aliwashukuru wazee hao kwa mapokezi na zawadi hiyo, huku mkutano huo ukilenga kujadili masuala mbalimbali yanayohusu chama hicho.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, leo Julai 17, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Wazee wa Mkoa wa Mara katika Ukumbi wa Zablon Sports Arena mjini Tarime.

Katika mkutano huo, wazee hao walimkabidhi Heche zawadi ya mbuzi mmoja pamoja na mikungu ya ndizi kama ishara ya heshima, upendo na kuthamini uongozi wake.

Heche aliwashukuru wazee hao kwa mapokezi na zawadi hiyo, huku mkutano huo ukilenga kujadili masuala mbalimbali yanayohusu chama hicho.
picha please
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, leo Julai 17, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Wazee wa Mkoa wa Mara katika Ukumbi wa Zablon Sports Arena mjini Tarime.

Katika mkutano huo, wazee hao walimkabidhi Heche zawadi ya mbuzi mmoja pamoja na mikungu ya ndizi kama ishara ya heshima, upendo na kuthamini uongozi wake.

Heche aliwashukuru wazee hao kwa mapokezi na zawadi hiyo, huku mkutano huo ukilenga kujadili masuala mbalimbali yanayohusu chama hicho.
Picha la kutisha.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, leo Julai 17, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Wazee wa Mkoa wa Mara katika Ukumbi wa Zablon Sports Arena mjini Tarime.

Katika mkutano huo, wazee hao walimkabidhi Heche zawadi ya mbuzi mmoja pamoja na mikungu ya ndizi kama ishara ya heshima, upendo na kuthamini uongozi wake.

Heche aliwashukuru wazee hao kwa mapokezi na zawadi hiyo, huku mkutano huo ukilenga kujadili masuala mbalimbali yanayohusu chama hicho.
Gentleman,
hajawaeleza wazee hao kuhusu ufisadi wake ndani ya chadema?🐒
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, leo Julai 17, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Wazee wa Mkoa wa Mara katika Ukumbi wa Zablon Sports Arena mjini Tarime.

Katika mkutano huo, wazee hao walimkabidhi Heche zawadi ya mbuzi mmoja pamoja na mikungu ya ndizi kama ishara ya heshima, upendo na kuthamini uongozi wake.

Heche aliwashukuru wazee hao kwa mapokezi na zawadi hiyo, huku mkutano huo ukilenga kujadili masuala mbalimbali yanayohusu chama hicho.
Safi sana kamanda Heche. Tuko pamoja makamu wa mwenyekiti wetu
 
Kuna sehemu nilisoma kwamba kuna wazee wa Mara wanamuonya Heche, nikabaki kushangaa.
 
HECHE Itakuwa Upepo umeanza kukata kakimbilia nyumbani kucharge Battery 💩💩
 
Baada ya Abdul kushindwa kazi hatimae heche amewapumulia vizuri hadi milio mnatoa na huo ndio uanaume.
kwahiyo kufisidi pesa za chadema kwa manufaa ya heche binafsi ndio uanaume right?🤣

na ndicho alikua akiwaeleza hao wazee?🤣
 
Yaani hata akachinje mbuzi wa kafara atatema bungo tu, tena muda si mrefu, yaani ale hela za tone tone halafu aende kuturoga akili wanachadema ili tusimfatilie!!
Wewe Malaya wa kisiasa unayeishi Kwa kujikomba Kwa Makonda ,Tone tone unaijua ?Ulichangia hata 100
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, leo Julai 17, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Wazee wa Mkoa wa Mara katika Ukumbi wa Zablon Sports Arena mjini Tarime.

Katika mkutano huo, wazee hao walimkabidhi Heche zawadi ya mbuzi mmoja pamoja na mikungu ya ndizi kama ishara ya heshima, upendo na kuthamini uongozi wake.

Heche aliwashukuru wazee hao kwa mapokezi na zawadi hiyo, huku mkutano huo ukilenga kujadili masuala mbalimbali yanayohusu chama hicho.
Huyo ni mkenya hao wazee hawajitambui
 
Back
Top Bottom