Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nadhani tujiulize swali Mama akiendaga Zanzibar ujue kuna kamkeka kananukia, Je kupanda na kushuka kwa dolla na shilling kutokuwa stable kunaweza kukamfanya SAMIA akamuondoa waziri wa Fedha...
10 Reactions
45 Replies
2K Views
Naona Viongozi toka Kanda ya PWANI inayoongozwa na Boniface Jacob ( Boni Yai ) wameamua kusimama kinyume na msimamo wa Mwenyekiti wao huyo. Mtakumbuka Mwenyekiti huyu wa Kanda alitoa kalipio...
3 Reactions
68 Replies
3K Views
Toka lini watu waliokuwa hawawezi hata kutangaza habari za chama miaka zaidi ya 20 nyuma Leo wanaratibu press ya Mbowe?? Hapa ndio naamini 100% mbowe ni tapeli na sio mpinzani kabisa Poleni...
39 Reactions
97 Replies
4K Views
Wakuu, Hivi kuna ulazima gani wa Tulia kwenda na media kila sehemu anapoenda kutoa misaada? Kwenye hii video anasema anaita vyombo vya habari kila anapotoa misaada ili awape motisha mwingine...
1 Reactions
6 Replies
471 Views
Prof Kitila Mkumbo: Sasa Kila Kitu Kiko wazi wote mmejionea na kusikia Zitto Kabwe: Mnara wa Babeli Mlale unono 😄
8 Reactions
20 Replies
1K Views
Wakuu, Yaani Mbowe ni kama anampigia kampeni Rais Samia, maana vyote anamsifia yeye tu. Kwani hajui hayo yalifanya kwa uonevu na Rais Samia ku act right ni jukumu lake? ==== Mbowe amesema...
3 Reactions
39 Replies
2K Views
Nimesikiliza hotuba yote ya Ndugu Mwenyekiti F A. Mbowe. Pamoja na mambo mengi ya kushangaza katika hotuba ile ikiwemo kuonekana Mwenyekiti amekamia kukomoana, lakini binafsi nimeshtushwa sana na...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, Hamis Taletale akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Rais TAMISEMI amesema Jimbo hilo lina Vituo vya Afya katika Kata za Mkuyuni...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Mbunge Morogoro Kusini Mashariki, Hamis Taletale amesema kukaa kwake kimya Bungeni haimaanishi hana uwezo bali hakuna cha kuhoji jimboni Kwake. Babu Tale amesema Rais Samia anaupiga mwingi...
2 Reactions
8 Replies
751 Views
Mbunge wa Morogoro kusini mashariki Khamis Taletale aka Babu Tale amemshukuru Rais Magufuli kwa namna alivyombeba kutoka chini na kumpandisha akiwa kijana mdogo kabisa kule bungeni. Babu Tale...
4 Reactions
109 Replies
12K Views
@freemanmbowetz anaashiria maridhiano yalikwama Kwa sababu ya negative energy kutoka Chadem “team Lissu” Kwa sehemu kubwa ya hotuba ya @freemanmbowetz , @SuluhuSamia is just a pure soul. Anasema...
0 Reactions
1 Replies
336 Views
Boniface Mwabukusi @Mwabuk2Boniface · 1h Walio dhihaki TLS kuhusu Samia Legal Aid? Vipi leo wamesema lolote kuhusu TBC LIVE Coverage?hawawezi kusema 🤣🤣🤣 Hivi huyu jamaa anapambana na Mbowe...
1 Reactions
9 Replies
963 Views
Katika hotuba yake ya Jana, Mwenyekiti wa CHADEMA alitumia muda kutetea maridhiano na kuonesha ya kwamba Kuna mafanikio tumepata baada ya kufanya maridhiano. Kwa mfano anadai tumeweza kujenga...
4 Reactions
15 Replies
628 Views
Nadhani Gerson Msigwa aanze kupima utendaji wa sektretariat za habari kwa kuangalia social media engagement. Na wakifanya hivyo, Makao Makuu ya Idara ya Habari (Maelezo) iwe inapewa taarifa...
1 Reactions
3 Replies
311 Views
Habari za chini chini ni kuwa wajumbe wengi wanakubaliana kwamba hakuna mwingine atakayeweza kupeperusha bendera ya kuwania Urais zaidi ya mwamba. Hii inatokana na ukomavu wa kisiasa anaozidi...
0 Reactions
5 Replies
365 Views
MAHOJIANO YA LISSU NA VOICE OF AMERICA (VOA) VOA: Nini kimetokea na uongozi wa sasa? Lissu: Umekuwa madarakani kwa miaka 20 na muafaka tunatakiwa kufanya mabadiliko ya lazima ili tuweze kupeleka...
34 Reactions
221 Replies
8K Views
Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa amedai DP World kwa miezi mitano tangu ianze kazi imekusanya Bilioni 325. Hii ni sawa na Bilioni 65 kwa wastani wa kila mwezi mmoja. Natuzingatie hii ni miezi...
28 Reactions
92 Replies
4K Views
Wanabodi, Hakuna ubishi kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema kiko kwenye mgogoro mkubwa!. Ushindi wa Zitto kwenye pingamizi, ni nusu shari tuu, shari kamili ni ushindi wake kwenye...
19 Reactions
158 Replies
29K Views
Ni habari ambazo zimepatikana na Dr. Slaa amezitoa usiku wa kuamkia leo katika Clubhouse. Kuwa amezinyaka hizo taarifa. Ijumaa ya tarehe 20 Mbowe alikuwa tayari atumie busara aachie nafasi...
15 Reactions
60 Replies
4K Views
Huwenda nimechelewa kufahamu hili kwasababu ya umri wangu na uzoefu wangu, nimegundua Tanzania hakuna upinzani wa kweli. Vijana wanapoteza maisha yao, wanaumizwa hata kupotezwa, yote ni kwasababu...
6 Reactions
28 Replies
1K Views
Back
Top Bottom