Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakati wanafanya mabadiliko ya katiba na kuweka ukomo wa miaka 10 kwa vipindi vya mihula miwili vya Urais ni wazi walisahau kuweka ukomo wa vipindi vya ubunge, sasa tuna wabunge wengi waliokaa...
1 Reactions
1 Replies
247 Views
Wakili Msomi na Rais wa TLS Boniface Mwakubusi ameuliza kupitia mtandao wa X kama wale walioidhihaki TLS kuhusu Samia Legal Aid kama wamesema lolote kuhusu jambo fulani kupewa LIVE Coverage na TBC.
2 Reactions
3 Replies
468 Views
Hizi taasisi mbili za CCM na TLS ndio pekee Chaguzi za Viongozi wake hazinaga figisu Ni taasisi zinazoheshimu demokrasia ya kuchagua na kuchaguliwa Ahsanteni sana 😄
1 Reactions
2 Replies
176 Views
Mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe hajawahi kuuza Mali yake yoyote Kwa ajili ya Chadema Anayebisha aweke Hapa Mkataba wa Mauziano Nimekaa pale mwagito 🐼
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na maswali ya waandishi wa habari aliyoyajibu leo ni masterclass ya siasa za upinzani katika nchi yetu. Kuongoza upinzani sio oya oya kama...
7 Reactions
18 Replies
1K Views
Wajumbe najua wengi mpo humu na mnasoma haya na mnaziona harakati na vikao vya siri na vya wazi mnavyo endelea navyo huko mafichoni, sasa kama mtajichanganya shauri yenu na heshima ya chama chenu...
4 Reactions
28 Replies
587 Views
Mara nyingi Wanasiasa huangalia Mwisho Kwa kuanzia Mwanzo na hapo ndipo huwa wanakosea sana Manabii huungalia Mwanzo kuanzia Mwisho Kwa mfano CCM inaona Mbowe ni mwepesi ukiangalia Siasa za...
1 Reactions
4 Replies
271 Views
Mbowe leo amemshangaza karibia kila mtu mwenye uwezo wa kutafakari. Mbowe ametumia muda mrefu sana kusifia mafanikio yaliyotokana na mwafaka uliofanywa kati yake na Rais Samia. Hakuthubutu...
4 Reactions
8 Replies
441 Views
Ukikabidhiwa Mamlaka kamili kama Mwenyekiti wa CHADEMA rudisha Ile misingi ya kudai Haki. Sio kuomba Haki kama alivyofanya mtangulizi wako. NB: Mwenyekiti aliyepo kila mara analia Lia kama Kada...
5 Reactions
12 Replies
641 Views
Kwa vile CCM huwa wanaiba agenda za CDM basi ningeshauri na hili la kuondoa ukomo wa madaraka walipeleke bungeni. Kwa vile Wabunge wanawakilisha wananchi kisha waamue kama ukomo uendelee au...
0 Reactions
0 Replies
239 Views
Dalili ziko wasi kwamba TLS sasa imemshinda Mwabukusi. Kuna mpasuko mkubwa na viongozi wenzake wameanza kumkimbia. Ukimuona Mwabukusi anavyowananga wengine, unaweza kudhani anaweza hata...
4 Reactions
39 Replies
2K Views
KWAHERI KWA HERI NDUGU LISSU Lissu, mwana wa siasa mashuhuri kweli, Aliyejaa uthubutu, mwepesi wa maneno, Kwa haki ulisimama, sauti ya wanyonge, Leo tunakuaga, moyo mzito na huzuni. CHADEMA...
4 Reactions
15 Replies
796 Views
Habari zenu wana JF wenzangu, bila kupoteza muda ngoja niende kwenye mada husika ili kuwarahisishia wasomaji wasiopenda kusoma maandishi mengi. Ni hivi... baada ya mama mwenye nyumba kufanikiwa...
14 Reactions
149 Replies
8K Views
Ndugu wana bodi. Kupitia vyanzo vyangu makini vya kimtandao nimepokea taarifa kuwa kamati kuu ya CHADEMA imefanya uamuzi kwa kupiga kura. Uamuzi wa kupendekeza nani awe mpeperusha bendera mkuu wa...
14 Reactions
364 Replies
36K Views
Kuna viashiria vingi vya chama chenye nguvu na wafuasi wengi. Mojawapo ya viashiria hivyo ni wingi wa watu wanaojitokeza wakati chama hicho kikifanya michakato yake ya ndani kama vile uchaguzi...
1 Reactions
1 Replies
499 Views
Kwa yanayotokea CDM hakika zitto anaijua SIASA na demokrasia sintoshangaa kama siku moja kitengo kitaamua kumpa nchi maana ameonyesha ni mwana demokrasia sana Note: Ni mstaafu wa Chama chake Cha...
4 Reactions
14 Replies
650 Views
CHADEMA na CCM niliwaambia ni chama kimoja. Hata huyu mnayemuita Lissu ni tajiri mkubwa tu Ila yeye alichofanikiwa ni Ku-play low key na kuendana na watu wanaoitwa wanyonge, hii mbinu pia alikuwa...
0 Reactions
0 Replies
261 Views
Katika muendelezo wa kutupa makombora, vijembe, hasira na kuonyesha namna CHADEMA ilivyojaa ubabaishaji na uhuni uhuni pamoja na kukosa viongozi wenye kuheshimika na kutoa muongozo. Mchungaji...
3 Reactions
75 Replies
3K Views
Nimemsikiliza Mbowe kauli zake ktk hotuba aliyo itoa nafikiri sio yeye aliye iandika ametumika kama spika.Navyo mfahamu huko nyuma kariba yake jana nimewaza tofauti kabisa na nilivyo muheshimu...
1 Reactions
1 Replies
317 Views
*MBOWE ATOBOA MTUMBWI, UTANGULIZI Hatimaye ile habari iliyosubiriwa kwa kiu kubwa, imefikia tamati leo kwa Mwenyekiti Mbowe kutanganza kugombea Uenyekiti Chadema Taifa. Hii ni baada ya Lissu...
1 Reactions
4 Replies
377 Views
Back
Top Bottom