Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ndugu zangu , nawasalim tena , kila mmoja kwa imani yake wanajf popote mlipo. Ndugu zangu, mada hapo juu yajieleza. Binafsi sikukuu kwangu ni jambo muhim sana, ila nimejikuta nimekua zezeta...
11 Reactions
37 Replies
1K Views
Uchaguzi ndani ya vyama vyote kugombea uenyekiti ni mgumu kuliko urais sababu unatakiwa kuwa na network kubwa ndani ya chama kuku support upite uongozi wa chama Lakini ugombea uraisi waweza okota...
1 Reactions
5 Replies
316 Views
Vyama vya siasa asilimia kubwa vimekuwa na uongo mwingi sana, je, serikali haioni umuhimu wa kuwa na mgombea huru, ambaye hana chama cha siasa. Nimepitia CV ya mtu anajiita Tundu Lissu nimeona...
5 Reactions
12 Replies
495 Views
Nape amefutahishwa na ukiri wa Mwenyekiti wa Chadema Mh mbowe kuwa Maridhiano yameleta Faida kubwa sana Kwa Wananchi Nape amemquote Mbowe " mtu ambaye baba yake alifungwa Jela maisha Leo...
3 Reactions
8 Replies
628 Views
Moja ya mambo ambayo huwa ni ngumu kwa mwanadamu, " ni kujua muda na nyakati sahihi kwenye kutofanya au kufanya aina Fulani ya mambo. Nyakati au muda Fulani uamua kifanyike kipi na kipi...
5 Reactions
6 Replies
407 Views
Mwisho wa mwaka huo unaelekea ukingoni. Leo tutaangalia baadhi ya wanasiasa waliojitahidi kuzingatia miiko ya siasa kwa kutanguliza maslahi ya raia (wananchi) mbele bila kuzingatia maslahi yao...
4 Reactions
28 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Kitongoji cha Kitowo Kijiji cha Mengwe Juu wilayani Rombo mh Augusta Lyakurwa kupitia Chadema amekihama chama hicho na kutimiza CCM Lyakurwa amesema Upweke ndio umemfanya ahame...
2 Reactions
27 Replies
894 Views
Ezekia Wenje amekiri mwenyewe kwamba kuna video recording ya mjadala wa tuhuma dhidi yake na wenzake kupokea pesa za Abduli na mama yake. Ni kweli. Walirekodi kikao hicho chote kwa video. Ili...
6 Reactions
69 Replies
3K Views
GTs, Hakika ukiyasikia ya miaka hii ya utumishi wa umma na kustaafu utashangaa hivi kwanini watu wanang’ang’ania ofisini baada ya muda wa utumishi kuisha? Kuna mtumishi mmoja hapa Dar alistaafu...
10 Reactions
27 Replies
1K Views
Makamu mwenyekiti Tundu Lisu kachukua fomu kugombea uenyekiti wa chama. Mwenyekiti anayemaliza muda wake, Freeman Mbowe nae Leo katangaza nia ya kugombea uenyekiti. Ajabu ni kwamba wafuasi...
2 Reactions
8 Replies
523 Views
Mwaka huu chadema waliandaa maandamano Dar el salaam. Ni Mbowe na binti yake tu ndio waliandamana. Hakuna cha Lissu, Mwabukusi, Heche wala Pambalu. Hao wanaojitutumua kwamba wanapenda mabadiliko...
0 Reactions
33 Replies
752 Views
MBOWE wa CHADEMA ametangaza kuendelea kugombea nafasi ya uenyekiti Taifa CHADEMA. Najaribu kujiuliza... (1) Je, akikabidhiwa na wananchi kiti cha urais wa JMT kupitia chama chake atakubali...
2 Reactions
16 Replies
799 Views
Njaa mbaya sana kosa yootee sio njaa KUNA wah walienda kwa mwenyekiti WA chadema wakitaka agombee tenaa. Wale jamaa ukiangalia kuanzia sura zaoo na maneno yao. utaona Hawa jamaa waganga njaa...
5 Reactions
18 Replies
817 Views
Kuendelea kuwa CHADEMA kuipinga CCM inayobadili Mwenyekiti wake wa Taifa kila miaka 10 wakati wangu anamiaka 21 madarakani. Je, nihamie chama gani?
4 Reactions
18 Replies
606 Views
Kuna shida Tena sio kidogo wasomi wameenda wapi miaka 20 taasisi inaburuzwa na mtu aliyefeli shule na kufukuzaa wasomi kwenye chama.? Mtu Kama Dr Slaa na Zitto wanaondoka kihuni na wasomi kibao...
13 Reactions
56 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman A. Mbowe amesema hamuogopi Lissu ambaye anagombea nafasi ya kuwa mwenyekiti wa chama hicho. Amesema hakumuogopa Magufuli aliyekuwa na majeshi na dhamira ya kuua...
6 Reactions
44 Replies
2K Views
Je, ni kweli kwamba hotuba ilitoka CCM ndio maana ilichelewa kufika na kupelekea mkutano kuanza saa 7:19PM badala ya saa 11:00AM?
1 Reactions
6 Replies
371 Views
Mheshimiwa MBOWE ni mkomavu na mwanasiasa aliyeweka maslahi ya Taifa mbele. Sisi wafia CHADEMS hatupaswi kutekwa na propaganda za mtu aliyeweka maslahi yake mbele badala ya nchi yake ya Asili...
1 Reactions
1 Replies
252 Views
Kila mtu anaona na kusikia yanayotokea chama kikuu cha Upinzani CHADEMA. Wanachama wanaumia sana mioyoni mwao kutokana na mnyukano unaoendelea. Saaafi sana. Sisi, kama Wafuasi wa kujitolea wa...
1 Reactions
10 Replies
557 Views
Nguvu ya maridhiano ya kisiasa katika uongozi wa nchi ni kubwa na inaleta mabadiliko chanya. Ina jukumu muhimu katika kukuza umoja wa kitaifa, kuleta utulivu wa kiutawala, kiusalama, kuwezesha na...
2 Reactions
2 Replies
331 Views
Back
Top Bottom