Ndugu zangu , nawasalim tena , kila mmoja kwa imani yake wanajf popote mlipo.
Ndugu zangu, mada hapo juu yajieleza.
Binafsi sikukuu kwangu ni jambo muhim sana, ila nimejikuta nimekua zezeta...
Uchaguzi ndani ya vyama vyote kugombea uenyekiti ni mgumu kuliko urais sababu unatakiwa kuwa na network kubwa ndani ya chama kuku support upite uongozi wa chama
Lakini ugombea uraisi waweza okota...
Vyama vya siasa asilimia kubwa vimekuwa na uongo mwingi sana, je, serikali haioni umuhimu wa kuwa na mgombea huru, ambaye hana chama cha siasa.
Nimepitia CV ya mtu anajiita Tundu Lissu nimeona...
Nape amefutahishwa na ukiri wa Mwenyekiti wa Chadema Mh mbowe kuwa Maridhiano yameleta Faida kubwa sana Kwa Wananchi
Nape amemquote Mbowe " mtu ambaye baba yake alifungwa Jela maisha Leo...
Moja ya mambo ambayo huwa ni ngumu kwa mwanadamu, " ni kujua muda na nyakati sahihi kwenye kutofanya au kufanya aina Fulani ya mambo.
Nyakati au muda Fulani uamua kifanyike kipi na kipi...
Mwisho wa mwaka huo unaelekea ukingoni. Leo tutaangalia baadhi ya wanasiasa waliojitahidi kuzingatia miiko ya siasa kwa kutanguliza maslahi ya raia (wananchi) mbele bila kuzingatia maslahi yao...
Mwenyekiti wa Kitongoji cha Kitowo Kijiji cha Mengwe Juu wilayani Rombo mh Augusta Lyakurwa kupitia Chadema amekihama chama hicho na kutimiza CCM
Lyakurwa amesema Upweke ndio umemfanya ahame...
Ezekia Wenje amekiri mwenyewe kwamba kuna video recording ya mjadala wa tuhuma dhidi yake na wenzake kupokea pesa za Abduli na mama yake. Ni kweli. Walirekodi kikao hicho chote kwa video.
Ili...
GTs,
Hakika ukiyasikia ya miaka hii ya utumishi wa umma na kustaafu utashangaa hivi kwanini watu wanang’ang’ania ofisini baada ya muda wa utumishi kuisha?
Kuna mtumishi mmoja hapa Dar alistaafu...
Makamu mwenyekiti Tundu Lisu kachukua fomu kugombea uenyekiti wa chama. Mwenyekiti anayemaliza muda wake, Freeman Mbowe nae Leo katangaza nia ya kugombea uenyekiti.
Ajabu ni kwamba wafuasi...
Mwaka huu chadema waliandaa maandamano Dar el salaam. Ni Mbowe na binti yake tu ndio waliandamana.
Hakuna cha Lissu, Mwabukusi, Heche wala Pambalu. Hao wanaojitutumua kwamba wanapenda mabadiliko...
MBOWE wa CHADEMA ametangaza kuendelea kugombea nafasi ya uenyekiti Taifa CHADEMA.
Najaribu kujiuliza...
(1) Je, akikabidhiwa na wananchi kiti cha urais wa JMT kupitia chama chake atakubali...
Njaa mbaya sana kosa yootee sio njaa
KUNA wah walienda kwa mwenyekiti WA chadema wakitaka agombee tenaa.
Wale jamaa ukiangalia kuanzia sura zaoo na maneno yao. utaona Hawa jamaa waganga njaa...
Kuna shida Tena sio kidogo wasomi wameenda wapi miaka 20 taasisi inaburuzwa na mtu aliyefeli shule na kufukuzaa wasomi kwenye chama.?
Mtu Kama Dr Slaa na Zitto wanaondoka kihuni na wasomi kibao...
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman A. Mbowe amesema hamuogopi Lissu ambaye anagombea nafasi ya kuwa mwenyekiti wa chama hicho. Amesema hakumuogopa Magufuli aliyekuwa na majeshi na dhamira ya kuua...
Mheshimiwa MBOWE ni mkomavu na mwanasiasa aliyeweka maslahi ya Taifa mbele. Sisi wafia CHADEMS hatupaswi kutekwa na propaganda za mtu aliyeweka maslahi yake mbele badala ya nchi yake ya Asili...
Kila mtu anaona na kusikia yanayotokea chama kikuu cha Upinzani CHADEMA. Wanachama wanaumia sana mioyoni mwao kutokana na mnyukano unaoendelea. Saaafi sana.
Sisi, kama Wafuasi wa kujitolea wa...
Nguvu ya maridhiano ya kisiasa katika uongozi wa nchi ni kubwa na inaleta mabadiliko chanya. Ina jukumu muhimu katika kukuza umoja wa kitaifa, kuleta utulivu wa kiutawala, kiusalama, kuwezesha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.