Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo mkoa wa Iringa Mwl. Joseph Ryata amewaomba Watanzania kujitokeza kujiandikisha kwenye zoezi la kupata vitambulisho vya Mpiga Kura kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu...
0 Reactions
0 Replies
311 Views
Wakuu, Tunaendelea kumywa mtori tukifiatilia hili kwa karibu. Bado ni mbinu ya kuichanganya CCM?? ==== Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya Masaga Kaloli, amesema anaamini bado Mwenyekiti wa...
7 Reactions
46 Replies
3K Views
Jana Tundu Lisu, kwa kutekeleza matakwa, uhuru na haki ambayo chama chake kinatoa kwa wanachama wote, alitangaza nia yake ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Chama Chake Ngazi ya Taifa. Wakati...
3 Reactions
3 Replies
507 Views
Mbowe , wewe ni mfanyabiashara mkubwa unamiliki Biashara kadhaa wewe na familia yako. Hivyo kuendelea kushirikiana na Ccm (serikali) inakufaidisha sio tu kisiasa bali hadi kiuchumi. Hivyo...
5 Reactions
9 Replies
459 Views
Mkuu sana Mhe. Regia Mtema, Heshima mbele!. Kwanza samahani kuchelewa kuomba radhi, nilikuwa nasubiri ile hansard uliyoahidi, ili nijiridhishe, nilimwelewa vibaya Mhe. Mbowe. Baada ya kusoma...
2 Reactions
117 Replies
12K Views
Kwa jinsi alivyo hawezi kukataa kupokea rushwa, wala hawezi kupambana na rushwa kwa namna yoyote ile. Kwanza ni mbinafsi na amezongwa na shida za kifamilia sana. Na, ni mtu wa tamaa na uchu...
0 Reactions
5 Replies
524 Views
Alitoa saa 48 eti kutafakari na kuangalia mwenendo na akiona vipi ataingia kutetea CHAMA CHAKE, elewa kutetea chama chake. Je, kwanini asingewahimiza vijana wa BAVICHA kutetea chama chao kwa...
5 Reactions
22 Replies
900 Views
Ma Keybord worriour wenzangu, kwa katiba mbovu tulio nayo still bado hata bila chama unaweza anzisha harakati zako kikubwa uwe na watu nyuma yako. Unaweza hata ingiza watu Barabarani wakinukishe...
2 Reactions
4 Replies
353 Views
Tumeona tuje tena tuliweke Vizuri suala hili ili Wadau wa JF na kwingineko Waelewe. Alichotangaza kugombea Tundu Lissu na ambacho Katiba ya Chama chake cha CHADEMA inamruhusu ni Uenyekiti wa...
24 Reactions
90 Replies
4K Views
Nimeona SEHEMU ati Fujo za chadema zitansaidia MH SAMIA kupitia kiurahisi Kwa kifupi hakuna chama cha kupambana na ccm wapendwa Kwa sasa wanachofanya n kupambania ruzuku tu YAAN ukisikia HATA...
0 Reactions
8 Replies
342 Views
TL Kabeba Maono na Anasimami na kulinda Maono.Wengine wamebeba chama chao na kusimamia na kulinda chama .Twende na Chama au Maono. Tundu Antipas Mugwai ni mtu mwenye misimamo thabiti na mwenye...
21 Reactions
43 Replies
2K Views
Hulu zoezi la mjumbee WA kamati kuu kujitoa rasmi Moto umeanza kuwaka huko Kwa ndugu ZETU Na habari za chinichini. KUNA kundi KUBWA la watu wakiwemo wenyeviti kadhaa wakanda na derkl za mitaa...
0 Reactions
3 Replies
268 Views
Baada ya mwenyekiti wao na wafuasi wake kusema amekipambania chama nikatafakari na kujua wafuasi wa iko chama ni manyumbu Iv kupambania maana yake katumia garama au pesa , kwa mfanya biashara...
0 Reactions
6 Replies
315 Views
Wadau ... Nipende kumshauri mpinzani wa kweli na Muumini wa Demokrasia Mh Tundu A. Lisu kuwa ni busara kujiengua mapema kwenye kiini macho kinachosubiriwa cha uchaguzi CDM, watu ambao wanaenda...
8 Reactions
25 Replies
1K Views
Hali ya barabara za mkoa mzima wa Mbeya ,hali yake ni Mbaya!
0 Reactions
0 Replies
227 Views
CCM hakuna mtu anawanyima usingizi kama Lissu. Hata siku ile Lissu anachukua fomu CCM walipata taabu sana. Wanamjua Lissu kuwa si mwepesi wa kukubali ujinga kwa lugha yoyote ile. Wakati ule...
3 Reactions
6 Replies
328 Views
Soma hii sehemu ya ripoti ambayo imetolewa uone kwanini IPTL hawaondoki hapa nchini. Despite similarities, the two power projects were quite different in nature. IPTL originated in a visit to...
2 Reactions
35 Replies
3K Views
CCM kama chama dola nchini Tanzania kimefanikiwa sana kujitengenezea upinzani wake na wapinzani wake ambao kwa uhalisia nao ni Ccm nje ya Ccm. Mmoja wao ni Mbowe na chama chake cha Chadema...
16 Reactions
113 Replies
4K Views
Ukosoaji wake dhidi ya viongozi waandamizi ndani ya CHADEMA hususani kuhusu mambo ya rushwa na uchaguzi wa serikali za mitaa, ulionekana kama usaliti, hujuma, dharau na utovu wa nidhamu kwa...
1 Reactions
5 Replies
494 Views
❇️NEMBO (LOGO) RASMI YA UVCCM KIJANI AWARDS NA UVCCM ALUMNI FORUM! Tunaweka msingi wa kuwatambua vijana walio mstari wa mbele katika kufanikisha maono ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa mustakabali...
0 Reactions
0 Replies
469 Views
Back
Top Bottom