Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Je, ni kweli kwamba hotuba ilitoka CCM ndio maana ilichelewa kufika na kupelekea mkutano kuanza saa 7:19PM badala ya saa 11:00AM?
1 Reactions
6 Replies
371 Views
Mheshimiwa MBOWE ni mkomavu na mwanasiasa aliyeweka maslahi ya Taifa mbele. Sisi wafia CHADEMS hatupaswi kutekwa na propaganda za mtu aliyeweka maslahi yake mbele badala ya nchi yake ya Asili...
1 Reactions
1 Replies
252 Views
Kila mtu anaona na kusikia yanayotokea chama kikuu cha Upinzani CHADEMA. Wanachama wanaumia sana mioyoni mwao kutokana na mnyukano unaoendelea. Saaafi sana. Sisi, kama Wafuasi wa kujitolea wa...
1 Reactions
10 Replies
557 Views
Nguvu ya maridhiano ya kisiasa katika uongozi wa nchi ni kubwa na inaleta mabadiliko chanya. Ina jukumu muhimu katika kukuza umoja wa kitaifa, kuleta utulivu wa kiutawala, kiusalama, kuwezesha na...
2 Reactions
2 Replies
331 Views
  • Poll Poll
Ni ukweli uliwazi kwamba Mbowe akishinda katika nafasi ya uenyekiti, CHADEMA haitakuwa na nguvu tena ya kupambania dola . Hii ni kutokana na idadi kubwa ya wafuasi kuhitaji mabadiliko ambayo...
0 Reactions
8 Replies
503 Views
watanzania eeeeh embu tuelimike hapa,kweli sisi ni maskini kweli kweli lakini kuna suala linaloendelea katika jiji letu la Dar es salaam mmmh hapana,wataalamu wa afya especially mabwana afya embu...
1 Reactions
2 Replies
257 Views
Wakuu habari.. Naelewa safari ya Lisu hapo CHADEMA Siyo nyepesi kwa kuwa inagusa maslahi ya wengi. Naelewa tiyari ana mawazo mbadala Baada ya hatua hii, Mimi nimtie moyo kuwa anayo nafasi ya...
12 Reactions
36 Replies
1K Views
Zitto Zuberi Kabwe Mwami! Mtu wa watu kijana mkomavu ameamua kuwa mzee angali Bado ni kijana mdogo ili kuipa nafasi demokrasia. Yeye ni Nyerere wa ACT Wazalendo muasisi wa chama mwenye umri...
5 Reactions
14 Replies
719 Views
Mtaani naona kuna pikipiki nyingi zenye nembo ya ccm na picha ya generali mkuu Basi kama Jobless nikawiwa kuomba msaada namna ya kupata hicho kitendea kazi ili nami nijipatie kipato NATANGULIZA...
6 Reactions
25 Replies
1K Views
Wakuu, Inaonekana BAWACHA wametimiza rasmi ahadi yao ya kumlipia Mbowe fomu ya Uenyekiti Soma pia: BAWACHA Pwani kutoa Tsh. Milioni 1.5 kumchangia fomu ya uenyekiti Mbowe Kundi la wanawake...
1 Reactions
7 Replies
428 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kweli Dunia ina maajabu yake,kweli kuna watu wana matatizo sana vichwani Mwao,kweli kuna watu hawajitambui,kweli kuna watu wana uwezo mdogo sana wa kufikiri na kupambanua...
1 Reactions
31 Replies
1K Views
Kwa vyovyote tulitegemea mbowe awe dictator ndani ya chama mana nje ya siasa hana cha kufanya mana hata form four hakumaliza vile vile mnyika alidisco pale udbs alipokuwa anasoma bba. Watanzania...
5 Reactions
13 Replies
591 Views
Mbowe kaahidi ataachia uongozi baada ya miaka mitano ifuatayo endapo atachaguliwa. Inafahamika ahadi ya kuachia uongozi alisha ifanya huko siku za nyuma; lakini kadri miaka ilivyo songa, matokeo...
3 Reactions
6 Replies
506 Views
Nilibahatika kusoma shule ya msingi mbuyuni Iliyopo karibu kabisa na kanisa la St Peter tukiwa pale walimunwengi walikuwa wake wa viongozi, WAPO baadhi tulisoma na watoto wao pale , wapo...
1 Reactions
0 Replies
242 Views
Wakuu! Ndiyo tuseme jamaa nyota yake inangara au kazi yake ni bora sana? Maana hata miezi ajamaliza tangu ameteuliwa tena kwenye nafasi ya kuwa waziri wa Katiba na Sheria au rekodi zake za...
0 Reactions
1 Replies
286 Views
Na huo ndiyo ukweli. Chadema ya sasa imechanganya Chadema sanaa na Chadema wazalendo. Hizi Chadema zilikuwa pamoja. Mbowe ambaye ni kiongozi wa Chadema sanaa ametengana na Lissu ambaye ni...
2 Reactions
22 Replies
890 Views
Wanajukwa! Kwahiyo huyu Kasesela anataka kuwapa jeuri gani au anataka kuwapoteza wenzie? Kila mtu atapita kwa kipimo cha kazi aliyoifanya kama alifanya uozo basi itakula kwake na awamu hii naona...
1 Reactions
2 Replies
355 Views
Wafia Chadema mitandaoni karibu wote wako upande wa LISSU. Watu wanaoikosoa Serikali bila kuwa na mlengo wa chama wako na Lissu. Inaonekana picha ya Upinzani mitandaoni ni chama kisicho na...
1 Reactions
15 Replies
623 Views
Wakuu habari zenu. Nimefuatilia majukwaa ya kijamii kadhaa wa kadhaa na kuona kua,wengi wanaompigia chapuo Mbowe na kumpamba ni wale ambao tulikua tukisuguana wakati tunaipinga CCM. Kwa wale...
0 Reactions
1 Replies
212 Views
Hata ungekuwa wewe ndio mpiga kura utakataa mshiko Ili chadema kama chama kikusaidie nini! Lisu akubali uchaguzi ushaisha Mbowe ni mwenyekiti tena na Wenje makamu Mwenyekiti CCM ni dude Fulani...
10 Reactions
54 Replies
2K Views
Back
Top Bottom