Ili mrushe picha za innocent victims kwenye mitandao while mnakula alawanzi za kuchochea vurugu sio?Wazalendo wenzangu jamani 7/7 imekaribia. Tuko tayari kwa maandamano. Ni na toa onyo kwa wale wanataka kuleta hofu. Lazima tuikomboe nchi yetu.
Hivi kwa nini mnataka kutuaminisha kuwa maandamano ni dhambi, ni jinai. Anyway katika ukombozi wowote lazima kuna watu watakata tamaa na kuwavunja wengine moyo.Mnatafuta matatizo tu. Achaneni na maandamano bhn
Tumemiss milio 😀😀😀Ngoja tuone
Usinikumbushe now ningekua zangu akhera nime chill 😎Tumemiss milio 😀😀😀
Hata Kodi ulipi alafu unachongoa mdomo eti nchi yetu, we una nchi!!? Andamana tukuvunje kibofu chako iko.Wazalendo wenzangu jamani 7/7 imekaribia. Tuko tayari kwa maandamano. Ni na toa onyo kwa wale wanataka kuleta hofu. Lazima tuikomboe nchi yetu.
Masikini wanawaza kufa tuIli mrushe picha za innocent victims kwenye mitandao while mnakula alawanzi za kuchochea vurugu sio?
Enough is enough
Safari hii tunaandamana kwa amani ila sio kinyonge. Sasa wewe jidanganye1 Ni bora uwe sehemu ya mabadiliko utaishi salama kwa amani baada ya ukomboziHata Kodi ulipi alafu unachongoa mdomo eti nchi yetu, we una nchi!!? Andamana tukuvunje kibofu chako iko.
Hayo ni mawazo finyu sana. Sidhani kama ni rahisi kutuogopesha!!October 29 wanasiasa na wanaharakati wote walikuwa wamejificha na wengine waliondoka nchini. Vijana wamekufa wamerudi na kauli mbiu WATU WASIOKUWA NA HATIA WAMEULIWA. Mchongo ungetiki kauli mbiu ingekuwa MASHUJAA WAMEIKOMBOA NCHI.
Hizi harakati zote mtu wa kwanza kunufaika nazo ni mwanasiasa, Yani kabla wewe hujapata katiba mpya na hujapata tume huru ya uchaguzi yeye atakuwa amenufaika kwanza kupata mamlaka makubwa ya kisiasa, mshahara mzuri, ulinzi, posho mlima na uhakika wa mambo mengine mengi.
Hawa watu wanapaswa kuwa msitari wa mbele kwenye haya maandamano, wao ndio wanufaika wakubwa wa hizi harakati. Mwananchi hadi upate unafuu wa kupata ajira, huduma za afya kwa gharama nafuu, elimu Bora ni hadi huyu Heche akae madarakani miaka mitatu hadi mitano ndipo atakuwa na uwezo wa kukupa hivyo vitu, ila yeye atakuwa kanufaika na mengi sana kabla yako
Jambo gani?This time tufanye lile jambo letu kabla hatujauawa huko kwenye maandamano 😎
Hakuna mtu anakuogopesha, nimekumbusha tu wanasiasa wanaojipanga kuchukua nchi baada ya maandamano makubwa wawe sehemu ya haya maandamano, wawe sehemu ya haya mapambano, wasikimbie.Hayo ni mawazo finyu sana. Sidhani kama ni rahisi kutuogopesha!!