Badala ya kuendelea kupambana na ukweli uliowazi, bora mngeanza kujipanga mtaishi vipi ndani ya vikwazo kama mgonjwa wa ukimwi anavyoishi na virusi.
Kama kuna MwanaCCM ana watoto au ndugu wanasoma USA anza kutafuta shule mapema lkn sio EU, kama ulikuwa unaenda vacation US au nchi za EU sahau, na kama una biashara uza hisa, kama una nyumba huko uza, na kama una pesa kwenye benki zao fanya mpango wa kuzihamisha lkn sio Oman wala CRDB Dubai, utanishukuru baadae.
Kama kuna MwanaCCM ana watoto au ndugu wanasoma USA anza kutafuta shule mapema lkn sio EU, kama ulikuwa unaenda vacation US au nchi za EU sahau, na kama una biashara uza hisa, kama una nyumba huko uza, na kama una pesa kwenye benki zao fanya mpango wa kuzihamisha lkn sio Oman wala CRDB Dubai, utanishukuru baadae.