Baada ya Russia Rais Samia aende Marekani kwa ziara

Baada ya Russia Rais Samia aende Marekani kwa ziara

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
40,005
Reaction score
51,115
Baada ya kutoka Russia samia aende Marekani.

Watamwalika kwakuwa Russia na Marekani ni mahasimu.

Marekani naye atataka kupata vile ambavyo Tanzania na Russia walikubaliana.

Aombe ziara ya hata siku moja itatosha, Lazima Marekani wampokee.
 
Aende akatubu kwa Paroko Trump, maana anadhambi za makusudi za kusema "who are you?" na kujifanya anatubu kwamba sisi na marekani tuna uhusiano wa mda mrefu. Sasa akipata nafasi hiyo aende akatubu.
 
Baada ya kutoka Russia samia aende Marekani.

Watamwalika kwakuwa Russia na Marekani ni mahasimu.

Marekani naye atataka kupata vile ambavyo Tanzania na Russia walikubaliana.

Aombe ziara ya hata siku moja itatosha, Lazima Marekani wampokee.
AOMBE! ziara ya hata siku moja itatosha, Lazima Marekani wampokee.😂😂😂
 
Afanye mdahalo live na D. Trump wamualike na E.Musk
 
Back
Top Bottom