Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

https://youtu.be/zJJTDTAdmMA?si=2-OHtOWYBhnzGLZk Anasema; • Ni aibu sana kwa kesi ya Tundu Lissu kujadiliwa Bunge la EU kwa sababu Bunge la Tanzania ndilo lililopaswa kujadili jambo hili na...
26 Reactions
36 Replies
3K Views
Wakuu, Zoezi la kujiandikisha halijaisha! Kuna wale watu ambao walikuwa hawajajiandikisha kwenye awamu ya kwanza zoezi la kusajili wapiga kura. Tume kwa sasa ipo kwenye awamu ya pili ya zoezi...
2 Reactions
6 Replies
476 Views
Ndugu, Katika kutafakari tunayoyaona na kusikia ndani ta Tanzania na majibu au kejeli zinazosemwa tunaona Tanzania hatuna serikali bali tuna madalali. Kwanza imekuwaje UVCCM kujiunga na mashoga...
2 Reactions
5 Replies
366 Views
MKE WA RAIS WA MSUMBIJI AVUTIWA NA HUDUMA ZA KIBINGWA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI Mke wa Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Gueta Selemane Chapo, ametembelea Hospitali ya Taifa Muhimbili...
1 Reactions
5 Replies
665 Views
Baada ya Bunge la Ulaya (EU) kujadili masuala mbalimbali yanayohusu ukiukwaji wa haki za Binadamu Nchini Tanzania ikiwemo mashtaka yanayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu na kutoa azimio...
5 Reactions
4 Replies
729 Views
https://www.youtube.com/watch?v=fnOK-Jm5gpE
1 Reactions
5 Replies
406 Views
Hata wakihama wanachadema wote hawatapunguza hata nukta Moja ya umaarufu wa Tundu Lisu Hivyo nyie Chadema msituchoshe na Visiasa vyepesi vywpesi jifunzeni Siasa makini kutoka chama dume CCM...
0 Reactions
1 Replies
206 Views
Ukistaajabu ya Musa basi utayaona ya Firauni, magazeti yote ya leo ya Tanzania kwenye ukurasa wa mbele habari kubwa kwa ni kujiondowa kwa G55 Chadema. Sasa kuna maswali kila nikijiyliza nakosa...
18 Reactions
49 Replies
3K Views
Anaandika John Mnyika kwenye ukurasa wake wa X: Nimewasiliana na Mwenyekiti Mstaafu Freeman Mbowe amenieleza hana dhamira ya kugombea urais, ubunge au uongozi wa chama chochote cha siasa katika...
4 Reactions
4 Replies
828 Views
Jakaya alipoiongoza nchi alituachia somo la msingi kwa kuonyesha kuwa ukiwa rais unatakiwa kuliongoza taifa, si chama chako. Alitufundisha kuwa kiongozi wa nchi hastahili kuwa na upendeleo...
15 Reactions
55 Replies
2K Views
Hii combination hata CCM wanaomba isitokee. Sina haja ya kuandika wasifu wao kwa kirefu maana sifa zao zinajulikana, Lissu hakopeshi, Heche jasiri, Lema mwanaharakati na hana bei, Mnyika anakijua...
7 Reactions
44 Replies
2K Views
Huenda kinachompata Nay wa Mitego ndio sababu inayowaogopesha wasanii na kuamua kutangaza wao ni CCM kwani ukiwa CCM uko salama dhidi ya mkono hakuna baya litakupata. Ila tumeoma wasanii...
12 Reactions
34 Replies
2K Views
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM, CPA. Amos Mkalla, amepiga goti kuwaomba wakazi Mvomero, wamruhusu aendelee kumsaidia Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dk. Samia Suluhu Hassan na kwamba sasa siyo...
2 Reactions
8 Replies
839 Views
Wana wa Mungu JF ,Mungu mwema siku zote , niwasalim kila mmoja kwa imani yake. Mwanakondoo ameshinda. Rejea mada tajwa hapo juu Nachukua nafasi hii kukipongeza chama cha Chadema tz na watanzania...
18 Reactions
38 Replies
2K Views
Kwanza kabisa napenda kuwasalim wana jf wenzangu mliopo humu. Ama baada ya salam, niende sasa kwenye mada. Ndugu zang leo nimekuja na ushauri, au njia mbadala itakayomsaidia ndugu yetu Lisu na...
4 Reactions
63 Replies
5K Views
Serikali za Tanzania zinakumbatia wanaoendeleza ugahaba na ushenzi, na wanamuziki wote hapa Tz ukifuata mienendo yao hawana isipokuwa kuendeleza tabia chafu, mambo ya haramu kwao wao wanayafanya...
6 Reactions
29 Replies
2K Views
Rais wa bunge la ulaya kuja Tanzania kuleta azimio kwa serikali na bunge la Tanzania kuhakikisha haki inapatikana ikiwemo uchaguzi huru na wa haki. Bunge la ulaya limelaani mauwaji ya kiholela...
47 Reactions
142 Replies
8K Views
Napendekeza Mwenyekiti awe nguli wa Historia na mwalimu wa Tundu Lisu Yule Prof Palamagamba Kabudi Karibu sana 😁
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Kabla ya kuachia Uwenyekiti wa Chama chake, ilikuwa siyo rahisi siku ipite bila kutupiwa dongo! 1. Mara Mwenyekiti wa maisha... 2. Mara CHADEMA ni SACCOS yake... 3. Mara CHADEMA ni Chama cha...
2 Reactions
0 Replies
245 Views
Wanabodi, Sii mara moja wala mbili nimewahi kusema tatizo kubwa la siasa za Tanzania ni ignorance and to some extent stupidity!. CCM na wana CCM wanaongoza kwa politics of supremacy na politics of...
18 Reactions
107 Replies
13K Views
Back
Top Bottom