Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche atangaza misimamo mikali ya chama hicho baada ya kukamatwa kwa Mwenyekiti wao ndugu Tundu Lissu.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea...
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.........KAZI IENDELEE 🇹🇿 🇹🇿
Naanza na kuishukuru serikali yetu ya Awamu ya 6 chini ya Dr Samia Suluhu Hassan kwa kutujari Watumishi wa umma, na si Watumishi tu...
Habari!!
Sijamsikia kwa muda mrefu kidogo Mh Mch Gwajima, mbunge wa Jimbo la Kawe.
Kuna mwenye taarifa alipo mheshimiwa huyu? Mbona kimya sana? au ni Mimi tu ndiye simsikii?
Nitashukuru sana...
Nimeona huko kanda ya magharibi Makamu mwenyekiti kanda kaachia ngazi
MH. KATIBU Rejea kichwa cha habari hapo juu.
Mimi ni mwanachama wa kadi namba 35530 nimeamua kujitoa nyazifa zangu ni...
Msomi (PhD) na Kiongozi mashuhuri dunian na Mbunge wa Same (M) karibu tena jimboni uhudumie wananchi kipindi cha 2025-2030.
NB: safari hii TOA misaada ya pikipiki 3000 (Kwa mchanganuo ufuatao...
Nyie endeleeni tu. Mnadhani watanzania mmewaokota? Jibu ni hapana. Watanzania wanabadilika. Wakati unawabadilisha. Wanaona matendo yenu.
Na uzuri ni kwamba mnaishi nao katika jamii hii hii. IPO...
Samia anaharakisha na kulazimisha uchaguzi ufanyike bila mabadiliko ltapelekea nchi kwenye machafuko.
Hatuwezi kuingia kwenye uchaguzi vile wewe mtu mmoja unataka uwe bali lazima kuwe na...
Kama kukosolewa ni nongwa, na burudani ya moyo wa mfalume ipo kwenye kusifiwa, na kusifiwa huko kunasababishwa na mkono wenye kugawa vinono, basi utambue unajisumbua tu, wakosoaji hujikita katika...
Utambulisho wa mwanausalama mbele ya raia ni jukumu la kwanza. Na utambulisho wa kwanza wa mwanausalama yoyote ni Sura yake, pili sare zake na tatu kitambulisho chake. Ndio maana kila askari...
Nimeona kada wa chadema singida akipigwa na kupoteza fahamu ndani ya kikao Cha ndani Cha chadema, na wanaompiga wanasikika wakisema huyu ni team Mbowe huyu mshughulikieni !! Sijajua kama CHADEMA...
Katika purukushani za Polisi na Chadema huko Mwanza, ulisikika wimbo ukiimbwa. Huu ni wimbo ambao baadhi yetu tuliimba sana jeshini, na ni wimbo mzuri sana kuhamasisha.
Naapa naahidi mbele ya...
Kumekuwa na mtindo mara mbunge wa pale kachukuliwa fomu mara wa kule amechangiwa na wanachi. Ni kwamba wananchi wanakuwa wana mapenzi sana na wabunge wa hayo maeneo, au wabunge hao wanakuwa...
Hivyo ndivyo tutakuwa na amani.
Tunasikitika kuhusu mateso wanayopata raia wengi wanapogombana na Serikali.
Machawa wanataka tuisifu Serikali kama wao ambao wamepewa zawadi nyingi.
Lakini hiyo...
Bila mihemko na kwa msaada wa historia hii tokea uhuru tunaweza jiuliza hali iliyoko ya nchi ya kuelekea kupoteza umoja imeletwa nani.
1. Samia na Waislam
2. Nyerere na Wakristo
Tukizingatia...
Fanya Utafiti kwa wanasiasa wote wenye mafanikio kuanzia hayati Ben hadi hawa akina Kasesela na Gambo utagundua hilo
Adam alikuwa na mke kabla lakini Mungu akamwambia nitakufanyia Msaidizi...
Majimbo Mapya
1. Mkoani Dar es Salaam-majimbo 2
(a) Jimbo la Kivule lililogawanywa kutoka Jimbo la Ukonga
(b) Jimbo la Chamazi lililogawanywa kutoka Jimbo la Mbagala
2. Mkoa wa Dodoma-jimbo 1...
Kwanza nikiri kuwa mimi nawafahamu vinara wote kwa uzuri, ubaya, madhaifu na skendo zao n.k.
Kwa muda mrefu tangu 2017 niliandika humu kuwa Mh Mbowe amezungukwa na watu wasiokuwa na akili, wezi...
Kutokana na jinsi nchi ya marekani taratibu zake zilivyo tumeona namna haikuwezekana hongo ya Qatari ya ndege ya dola milioni 400 kwa Tramp kua siri na ikabidi iitwe ni zawadi.
Ukifuatilia...
Hili swali huwa najiuliza sana ila sipati majibu nimeona nilisogeze kwenu wajuvi wa mambo kwa msaada zaidi.
Kwa sasa makamu mwenyekiti wa CHADEMA John Heche anaendelea na operesheni ya No...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.