Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hii ilikuwa mbaya sana
0 Reactions
0 Replies
300 Views
Polis wamepata ajali wananchi wamegoma kuwasaidia kisa ni polisi kutumika na serikali kukandamiiza wananchi...Uganda
24 Reactions
88 Replies
5K Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), makamu wake akiwa ni Kiongozi wa Chama Cha...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Itakumbukwa kuwa kabla ya Tanzania kuingia rasmi katika mfumo wa vyama vingi mwaka 1992, palikuwa na jitihada za wazi zilizofanywa na wanaharakati mbalimbali katika kudai Mfumo wa Vyama Vingi vya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kuna vitu huwa havichezewi Uumbaji wa Mwenyezi Mungu Ardhi Damu ni kimiminika chenye nguvu sana na hubeba uhai hata ikiwa imekauka kau! Damu zinatofautiana nguvu.. Kina damu kali na kina damu...
7 Reactions
16 Replies
971 Views
Je ni kweli kwamba wenye akili wako mtaani na wengine ndio wako kwenye mamlaka walioaminiwa na kukasimiwa madaraka makubwa ya maamuzi? Je ni kweli na pengine ni sahihi kusema kwamba wana maono...
11 Reactions
56 Replies
2K Views
Mhe. Jaffo kuna sehemu amekosea au amejielekeza vibaya kuhusu sakata la Kariakoo. Kama anataka kupambana na Wachina Kariakoo yampasa kwanza afuatilie mambo mawili makuu 1. Je, kuna kifungu cha...
2 Reactions
6 Replies
581 Views
Ameandika wakili msomi: Kikao cha dharura kinafanyika leo, Mei 7, 2025, kujadili suala la Kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA MH.WAKILI MSOMO Tundu Lissu Wabunge wamewasilisha mapendekezo ya...
13 Reactions
23 Replies
3K Views
Sote ni mashuhuda, chama hicho cha siasa nchini kimeanza kuishi kwenye athari za siasa za kiharakati kama vile kususa, kuendesha mambo yake kwa kuombaomba pesa na sasa hata press conference za...
9 Reactions
123 Replies
4K Views
kujiunga na chama chetu,” alisema Kabutali katika mazungumzo maalum na Nipashe Digital. Aliongeza kuwa wanaendelea na maandalizi kuelekea Juni 27, 2025, ambapo tutatangaza majina ya wagombea wetu...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari za ndani kabisa kutoka vyanzo vya uhakika zinasema CCM wako katika mkakati wa kupitisha na kubariki kwenda kutekelezwa kwa mpango wa 'nusu mkate' utakaowezesha kuwagawia ushindi wapinzani...
6 Reactions
43 Replies
2K Views
Mwisho wa zama za siasa za Chawa wa Mbowe (maarufu kama G55, njaa55) huenda zimefikia tamati siku ya leo baada ya wao wenyewe kupitia wawakilishi wao kuamua kutangaza kujitoa Chadema. Soma Pia...
10 Reactions
26 Replies
2K Views
"Sisi Viongozi wa dini, Viongozi wa kiroho tunahitaji kuhimiza pamoja na haya mambo haya ya kisiasa au mambo yanayohusu uchaguzi Mkuu, Kuhimiza maboresho katika utoaji wa huduma muhimu kwa jamii...
3 Reactions
6 Replies
822 Views
GT Mara zote kwenye uongo ukweli hujitenga pia mafuta na maji havichangamani. Nachoshukuru hawa virusi na vibaraka wa CCM wataondoka mmoja baada ya mwingine hadi tuwajue wote Chini ya...
1 Reactions
1 Replies
292 Views
Leo nimembuka hotuba iliyosononesha sana mwaka 2011. Hotuba ya aliyekua kiongozi wa Libya Kanali Mu'uammar Qaddafi. Aliiandika siku chache kabla ya kifo chake. Hotuba hii nilipresent darasani...
108 Reactions
618 Replies
102K Views
RAIS WA MSUMBIJI AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KITAIFA Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Daniel Chapo, amewasili nchini kwa ziara ya Kitaifa ya siku tatu kuanzia tarehe 7 hadi 9 Mei, 2025 kufuatia...
0 Reactions
3 Replies
578 Views
Papa mpya amshindwa kupatikana kwenye raundi ya kwanza na hivyo umetoka moshi mweusi Tuongeze maombi hakuna kulala unono Ahsanteni sana BBC
1 Reactions
18 Replies
930 Views
Mpango mkuu wa wanadamu dhidi ya Chadema na Lissu, ni kuhakikisha chama anachokiongoza kinakuwa kwenye mgogoro mkali wa wao kwa wao ndani ya Chadema ili tu, mwenyekiti wake na timu yake yenye...
13 Reactions
20 Replies
2K Views
Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amewakaribisha kujiunga na CCM Wajumbe wa Sekretarieti ya CHADEMA iliyomaliza muda wake...
1 Reactions
9 Replies
826 Views
Katibu wa NCCR Mageuzi Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, Robert Busumabu na mwenzake Mwenyekiti wa Vijana wilaya hiyo, Mathayo Ndalahwa wamehamia chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) huku...
1 Reactions
2 Replies
382 Views
Back
Top Bottom