Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Chadema wakikubali mtego wa CCM kuingia kwenye maridhiano yasiyo na tija watakuwa wamejimaliza wenyewe, madai yao yote yatafunikwa na blanketi la maridhiano. Chadema itakuwa imejiziba mdomo kwa...
11 Reactions
19 Replies
285 Views
Serikali iliyojiweka madarakani baada ya vyombo vya ulinzi na usalama kuratibu wizi wa kura, kuua raia na kumuapisha ndani ya kambi ya jeshi.... wamekuja na drama kabambe iitwayo TUNATAKA...
3 Reactions
7 Replies
159 Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amebainisha kuwa serikali haitayumba kiuchumi kufuatia hatua ya Bunge la Ulaya kuzuia msaada wa Euro milioni 156 (takriban...
7 Reactions
33 Replies
561 Views
Kwa sasa huwezi kumwambia kitu mtanzania yoyote mwenye kiu ya mabadiliko na mwenye chuki dhidi ya ufisadi na uharamia juu ya CHADEMA. Ndio chama pekee ambacho kitawaletea ukombozi watanzania kama...
1 Reactions
12 Replies
141 Views
Kuna haka ka Tabia ka kubeza nguvu na sacrifice za watu! Hasa jasho kwenye vyama! Naona CHADEMA mmeanza kujisahau kisa tu mtu mmoja ambaye anataka ambition zake zitimie Mimi ni CCM mfu niwe wazi...
25 Reactions
30 Replies
716 Views
Kuna jambo ambalo Watanzania tunapaswa kulitafakari kwa kina. Katika kipindi hiki, mjadala mkubwa umeibuka kuhusu tuhuma zinazomhusisha kiongozi wa CHADEMA, John Heche, kuhusu fedha za michango ya...
4 Reactions
10 Replies
199 Views
  • Redirect
ACT Wazalendo imefuatilia kwa karibu mchakato wa uchaguzi wa viongozi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) na imebaini kuwepo kwa maswali mazito yanayohitaji majibu ya haraka kuhusu uhalali, uwazi...
1 Reactions
Replies
Views
Nimefuatilia kwa makini mwenendo wa mijadala ya Tiktok nikagundua huwa hawatoki online. Nadharia yangu miongoni mwao hizo live kuna Mapolisi na maafisa vipenyo ambao wanafanya kazi ya kuzirekodi...
1 Reactions
3 Replies
126 Views
Waliomteka Humphrey Polepole. Waliombambikia Tundu Lissu kesi ya kizushi. Watu wasiojulikana. Walioua Watanzania Oktoba 29. Wanaokiuka katiba na kuiita ‘kijitabu’. Wanaodai kuwa mauaji ya...
37 Reactions
41 Replies
655 Views
TL;DR (Kwa ufupi): Wito kwa Mange Kimambi kuwa makini na vyanzo vyake vya habari kwani CCM wanatumia mbinu ya "Diversion" na masalia ya wasaliti wa ndani ya CHADEMA (aina ya kina Yericko)...
1 Reactions
1 Replies
121 Views
Natoa maana ya Serikali ya Kigaidi, ili kila mwenye akili timamu na mwenye uwezo wa kutafakari, aone, Serikali ya Tz inapungukiwa na nini ili kupata sifa ya kuitwa "Serikali ya Kigaidi": STATE...
3 Reactions
6 Replies
117 Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema ana matumaini makubwa kuhusu mafanikio ya mchakato wa maridhiano kutokana na dhamira ya Wananchi ya...
2 Reactions
11 Replies
257 Views
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 10, 2026, amesema Kamati kuu ya Chama imepitia Bajeti kuu ya serikali ya mwaka...
2 Reactions
3 Replies
153 Views
Swali ambalo Watanzania wengi wanapaswa kujiuliza ni hili: Maridhiano yanayoshinikizwa na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi yana faida gani ikiwa hayatajibu hoja za msingi kuhusu haki, uhuru wa...
9 Reactions
13 Replies
266 Views
Kama ameshindwa mwenyewe kutumia maarifa, nguvu, akili na bidii yake alio jaaliwa na Mungu kujikomboa kiuchumi yeye binafsi na familia yake, na badala yake ana fisidi fedha za chama kujikomboa...
2 Reactions
67 Replies
419 Views
Mwandishi : Kwanini Sugu, Lema na Boni Yai walisusia mkutano wa Makamu Heche Iringa. John Mnyika : Nakiri kweli hawakuja, ila sikuwauliza kwanini hawajaja, japo hilo jambo tumeomba Baraza la...
3 Reactions
15 Replies
333 Views
Siasa ya Tanzania ni ngumu sana, CHADEMA itapitia migorgoro mengi sana KWA sbb mapandikizi ya ccm yapo mengi sana. Nani angeweza kujua kuwa mbowe ni pandikizi wa ccm zaidi ya miaka 30? Na je...
2 Reactions
19 Replies
277 Views
Leo Ndugu Lema kafunguka mengi sana kuhusu hali ya kisiasa nchini. Miongoni mwa aliyoyazungumza leo ni kuwa katika watu hatari kwa mustakbali wa CHADEMA ni Wenje. Amesema kipindi Wenje kachukua...
43 Reactions
148 Replies
11K Views
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, akizungumza na Waandishi wa habari leo Julai 10, 2026, amesema Kamati kuu ya Chama hicho imerejea uamuzi wake wa awali...
6 Reactions
9 Replies
163 Views
Back
Top Bottom