Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wanabodi, Kufuatia Chama cha Democrasia na Maendeleo, Chadema, kukumbwa na migogoro, mitafaruku na sintofamu kadhaa wa kadhaa za hapa na pale haswa kuhusiana na hatma ya timua timua kwa baadhi...
13 Reactions
121 Replies
13K Views
Nilikuwa sijawahi kuchangia CHADEMA 'good money' zaidi ya vimichango vya hapa na pale. Sasa kwa kuwa maCCM yanataka kututoa kwenye reli hili viongozi wetu waache kushughulikia mambo ya msingi ya...
6 Reactions
5 Replies
81 Views
Yaaan Maelefu ya Vijana wameuwawa Oktoba 29 . Lissu yupo Gerezani. Unaibananga CHADEMA . Utekaji, Mauaji ya wakosoaji . Alafu kirahisi kabisaa kabisaa, Samia anasema 'Marudhiani sio Udhaifu '...
0 Reactions
9 Replies
109 Views
Kuna vyama vilishiriki uchaguzi Mkuu, vinalalamika kwamba CHADEMA Asifanye maridhiano na CCM bali maridhiano yafanywe na vyama vyote. CHADEMA anataka uwajibikaji kabla ya maridhiano na Msamaha...
5 Reactions
10 Replies
229 Views
"Kuna, kuna, kuna, kuna unafiki ule unaofanyika Zanzibar wa kusema kitu tofauti na kufanya tofauti. Na mimi nasema mzungumzo ni moja ya nyenzo ambayo sisi kama Chadema tunaamini katika...
2 Reactions
6 Replies
231 Views
Unapokua Kiongozi uliyeitwa Kuwahudumia Wananchi, Huwa Kuna feeling Fulani hivi ,unapo achieve kitu Fulani kwa ajili ya Wananchi wako, na Wananchi wakakifurahia. Kwakweli ukiwa kama Kiongozi...
0 Reactions
0 Replies
58 Views
Tumewazoea viti maalum wetu akina Kabati, Shonza nk kutokana uswahilini sasa hawa Viti maalum wa ushuani wanaweza kuzinguana sana na mawakili Hasa ukizingatia 2030 tutachagua Rais mpya Wote...
1 Reactions
9 Replies
359 Views
Mfanyabiashara tajiri nchini Tanzania, Mohammed Dewji, amesema ana mpango wa kuwekeza dola milioni 100 za Marekani [TZS bilioni 263] katika mradi wa ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta...
0 Reactions
7 Replies
191 Views
Kwasababu ni wazi kwenye baraza kuu la Chadema taifa lililoitishwa kufanyika mwezi September 2026, pataibuka mambo mazito na maazimio magumu sana ambayo yanaweza kupelekea kuitishwa kwa mkutano...
0 Reactions
33 Replies
359 Views
Huyu naye inasakiwa amepotezwa. 👇 Julius Mbalile Erick (pichani), alikuwa ni Katibu Mwenezi wa CHADEMA Kata ya Murongo Jimbo la Kyerwa mkoani Kagera. Kwa mujibu wa taarifa ya aliyekuwa Mbunge wa...
1 Reactions
5 Replies
243 Views
Ukiona adui yako anakusifia jiangalie mara mbili mbili, lkn ukiona vilio vimezidi jua umewashika panapostahili. Hawa unaowasikia ni vispika tu endelea kukaza kamba hadi mwenye spika atokeze pua...
14 Reactions
20 Replies
461 Views
Kwahiyo wale ambao mmejichotea mihela ya Abdul basi jaribuni kutunga UONGO mwingine ili mueleweke Mali za Chadema zikiwemo hela ziko Chini ya Ofisi ya Katibu Mkuu na Baraza la Wadhamini na si...
24 Reactions
73 Replies
988 Views
Mwanasiasa asiye mwanaharakati ni tapeli anayesaka tonge kupitia kauli-mbiu na utambulishi wa vyama. Mwanaharakati ana lake jambo la kulisimamia kokote aliko hadi mwisho wake. Ukiniuliza mie...
7 Reactions
5 Replies
179 Views
Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Arusha, Elisa Mungure amesema licha ya kutokuwa mwanachama wa CCM, anamkubali Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Emmanuel Nchimbi kutokana na msimamo...
2 Reactions
18 Replies
290 Views
Mwl Nyerere aliwahi kuwaambia Wananchi kuhusu nguvu ya CHAMA cha siasa, alisema hivi, nanukuu, "CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI" Mwisho wa kunukuu Hoja ya Nyerere hapa ilikuwa ni...
5 Reactions
27 Replies
357 Views
Haka kajamaaa, kametwit Jana ukiwa una ujinga KICHWAN , unaweza kadhania kwamba kenyewe kanawapenda akina Lissu na Heche na kwamba hamna wa kuwatoa. Tundu A.M Lissu na John Heche walichaguliwa na...
10 Reactions
55 Replies
878 Views
Akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 10, 2026 wakati akiwasilisha maadhimio ya Kamati kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Katibu Mkuu wa Chama, John Mnyika, ametoa ufafanuzi...
5 Reactions
7 Replies
350 Views
ACT imesaliti damu za Watanzania, harakati za mabadiliko, Maneno anayosema Mnyika kwa maandishi "Kwa hiyo Katiba inaonekana ni sahihi, kuleta watu wa nje kushughulikia mgogoro. Lakini...
2 Reactions
7 Replies
228 Views
Jaji Mkuu George Mcheche Masaju ashangaa vikundi vya mabaunsa, 'Kuna mtu anaweza kuunda majeshi zaidi ya Serikali?'
16 Reactions
80 Replies
1K Views
Kama kuna mtu anafikiri kazi ya kudai HAKI ni ya muda mfupi, huyo atakuwa hajui maana ya kupambania haki. Maandamano ya siku moja au mbili hayawezi kuleta mabadiliko, hasa toka mikononi mwa watu...
18 Reactions
69 Replies
959 Views
Back
Top Bottom