Waziri Kombo amuaga Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na kuagana na Balozi wa...
Ninaungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika kuwapongeza na kuwashukuru wakulima, wafugaji na wavuvi kwa mchango wao mkubwa katika uzalishaji wa chakula...
Rejea aina ya habari kutoka kwa waandishi feki wa mitandaoni kila wanapotoa taarifa kuhusu mkoa wa Arusha huongelea mauaji tu husikii habari za matukio mazuri yanayotokea huko ambayo ni mengi...
Wanabodi,
Angalieni jinsi hawa jirani zetu Wakenya wanavyo tusema vibaya kwenye TV yao kuhusu uchaguzi mkuu wetu, wanamsema vibaya huyu mgombea wetu tegemeo la Watanzania, wanamuita ni dikiteta...
Wanabodi
Hili ni bandiko la swali, japo Mungu ni mmoja, na Tanzania tuna manabii wetu na Kenya wana nanabii wao, iweje Mungu anaongea sana na manabii wa jirani zetu Kenya na kuwapa unabii kuhusu...
Wanabodi
Kiukweli Shetani yuko busy sana kupitia manabii wa Uongo na Unabii wao wa Uongo kuihusu Tanzania!.
Hii ni bandiko la kutoa angalizo kwa Watanzania wanaolitakia mema taifa letu kuwa...
Naona lengo la ccm kuwapumbaza watanzania linaenda kutimia.
Angalieni jinsi baadhi ya wana Mbeya wanavyo kimbilia kupata mgao wa bagia na soda kutoka kwa Mbunge wao kupitia ccm.
Nawausia binadamu watanzania wenzangu kwenye huu ulimwengu kwamba kama unaweza kuishi maisha yenye maadui wachache, punguza maadui.
Usitumie nguvu zako kuongeza maadui wakati dunia tayari ina...
Nyie mnaomcheka ni sababu si ndugu yenu. Kichaa anachekesha kama si ndugu yako. Mambo anayoyafanya ni ya aibu sana. Lakini si wa kumcheka. Lazima mjue ametokea wapi na amepitia hali gani.
Ni...
Kampuni ya Vitol Bahrain E.C., kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Uganda National Oil Company (UNOC), zimeingia makubaliano ya kuendeleza mradi wa ujenzi wa...
Ni takribani mwezi mmoja tu tangu bwana Dangote alipotangaza kuwekeza mradi wake mkubwa wa takribani $16 bilioni nchini Kenya. Hayo yalijitokeza baada ya maneno ya rais wa Kenya kwamba...
Rafiki yangu anaitwa Warioba Josephat Butiku, sote ni Wakazi wa Butiama, Mkoani Mara, juzi alishambuliwa na watu kadhaa kutokana na masuala ya mifugo, alienda kuchukua mifugo sehemu fulani...
Mkuu,
Kama ulikuwa unabet basi umelenga palepale.
Siyo kubet mkuu ! Subiria hata Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakuja Baada ya ziara ya Kusini Katavi, Nape na Makamba wanatemwa
Pia soma...
Vodka na warusi sasa leo waitaliano wameleta hizi
Najiuliza Huyu mgana ambaye wamemwandaa ionekane wanafuatilia anayemfuatilia makamu wa Chama kikuu cha Upinzani kwanini iwe hivi?
Tuko hatua...
Nimevutiwa sana na namna msanii huyu Dudubaya anavyoweza kuvuta watu wa rika zote bila kutumia nguvu.
Msanii huyu anao mvuto wa kipekee kwa miaka mingi.
Nimependezwa na aliyebuni utaratibu wa...
Tabia za Ajuza sometimes
1)kupoteza kumbukumbu
2)Kutofanya kazi kwa ufanisi
3) kutokufuatilia mambo ya msingi,kutegemea watu wengine.
4)kukosa nguvu na Madini kupungua
5)Kukosa Mvuto.
Ccm mna...
Ukiachilia mbali kukosekana discipline katika kueneza itikadi, sera na agenda za vyama hivyo vya siasa vya upinzani nchini, na pengine utamaduni usio na staha wa uropkaji, kutukana na kuporomosha...
Hypothetical budget
Makamishina 6. Kila mmoja posho zooote....ie siting allowance, per diem, "salary "trànsport etc etc... yaani kama wabunge wanavyokula posho na mshahara......combine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.