Hamjambo!
1. Kuna nyumba hapa mwaka mpya na Christmas hawakusherehekea.
2. Hawakupika chakula cha maana.
3. Lakini Kila wakisikia taarifa msiba ya kiongozi wa kiserikali wanafanya tafrija...
Vyombo vyetu vya habari vimekaa kimya. Japo Mimi sio CCM ila Mwambe ni Hazina ya taifa. Ni mwanasiasa anayejali watu wa vyama vyote. Mtanzania halisi asiye na unafiki
Kwa mara ya kwanza nilionana...
GT
Hawa CCM na Samia wao bado hatujamalizana nao pitia hii report kwa makini.
Kiufupi ni kwamba yale ya M029 dunia inajua kila kitu technology is power.
Hii Document ni ripoti ya shirika la...
ASKOFU MWAMAKULA APATA WITO KUFIKA MBELE YA TUME YA RAIS!
Ndugu Watanzania!
Kama mtakumbuka, Rais Samia aliunda Tume ya Uchunguzi kuhusu machafuko ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
Siku ya...
Yawezekana usinielewe wewe UNAE soma hapa, lakini nahisi Lile kundi alilolitema ndo lingemsaidia KUMSAFISHA na kusafisha anga la tarehe 29.10 kinyume chake Hali ni mbaya mbaya mbaya na Nina hakika...
Katika hukaha, kutapatapa na kuhanyahanya, Samia aliunda timu, siyo tume ya maridhiano.
Kwanza, anaridhiana na nani?
Pili, pesa ya kuendesha zoezi hili inatoka kwenye bajeti gani?
Tatu, ni kiasi...
Katika hukaha, kutapatapa na kuhanyahanya, Samia aliunda timu, siyo tume ya maridhiano.
Kwanza, anaridhiana na nani?
Pili, pesa ya kuendesha zoezi hili inatoka kwenye bajeti gani?
Tatu, ni kiasi...
Ni usiku wa SAA kumi, Sina hakika kama Rais umelala usingizi WA pono, Sina hakika waziri mkuu kama umesinzia usingizi WA pono, MAKAMU je nawe umeupiga usingizi?
Mkuu wa MAJESHI wewe ni jirani...
Ujumbe wa wataalam kutoka TANROADS Makao Makuu kupitia Kitengo cha Ushauri wa Kihandisi (TECU), kwa kushirikiana na TANROADS Mkoa wa Mbeya, umefanya ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa Daraja la Sungwe...
Fatma Karume alisimamishwa kufanya kazi za uwakili kwa upande wa Tanzania bara tangu mwaka 2019 akipinga uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG) Dkt Adelarus Kilangi aliyeteuliwa na rais John...
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Kenani Kihongosi amesema kuwa tangu kuanza kwa mikutano ya kampeni za Urais kupitia CCM kwa mgombea...
Taasisi ya Mwalimu Nyerere (Mwalimu Nyerere Foundation) imeandaa mkutano wa mazungumzo kuhusu amani, umoja, haki na maendeleo ya watu, mkutano unaotarajiwa kufanyika Alhamisi ya Januari 22 mwaka...
https://youtu.be/L2GVEcJT2vs?si=ZwNrFhMEKZN3Z1e9
Taasisi nne zinazoheshimika duniani zimekusanya uthibitisho wa ushahidi usio na shaka juu ya uhusika wa vyombo vya ulinzi na usalama vya Tanzania...
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amesema ushindi wa chama hicho katika uchaguzi unatokana na nguvu na mizizi iliyoanzia ngazi za chini...
Umofia kwenu wakuu. Kuna taarifa za kutoka Chanzo cha kuamimika kwamba Halimashauri ya wilaya ya Karatu imempatia mtoto wa Samia, Abdulu eneo la mnada wa Karatu ili ajenge Hoteli.
Kwa mlio wahi...
Mzee Butiku anasema usalama walimfata wakamwambia waende nae wakamfiche walikoficha V.I.P wenzake mkoa wa Mara siku ya tarehe 29 Oktoba, 2025
Ameenda mbali zaidi anadai akawauliza V.I.P ni nani...
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 19, 2026 amefanya mazungumzo na Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Dkt. Maimbo Mndolwa na ujumbe wake katika ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.