Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Idd Amin na Reich Fuhrer Adolf Hitler walianzisha vikosi hivi nje ya polisi.jeshi usalama wa taifa nk nje ya mifumo yote isipokuwa uwajibikaji ni kwa wao tuu. Ujerumani ilisimamiwa na Heinrich...
4 Reactions
12 Replies
145 Views
Tume ya kwanza haikutosha kumfunga paka kengele! Hii ya pili naona Ina kibwagizo "tujue nani alietoa fedha za kusababisha vurugu za uchaguzi" Kwa kauli hii nadhani Kuna MTU anatafutwa abebeshwe...
5 Reactions
38 Replies
724 Views
JF Video ya sekunde 16 inagoma ku upload hebu na nyie wekeni miundo mbinu yenu vizuri….yaani Video sekunde 16 inagoma ? Wakuu mko serious ?
0 Reactions
3 Replies
116 Views
Tanzania kuna miji iliendelea kabla ya mkoloni na leo ingekuwa mbali lakini ni kama haisogei maendeleo yake yaleyale inasonga kidogo japo nchi imepata uhuru ilikuwa juu. 1. Moshi Huu mji ulianza...
11 Reactions
58 Replies
2K Views
Heshima sana wanajamvi, Kati ya mambo yaliyonisikitisha ni mwaka huu ni mradi wa ujenzi kuhamishiwa Mombasa. Nilimsikia Rais Ruto na baadae Rais Samia. Kauli ya Dangote ya kupeleka mradi Kenya...
3 Reactions
13 Replies
109 Views
Drama zinaendelea drama zinaendelea Wapili kaandikiwa barua ajiuzulu! Wapili kagoma! Je, watamfanya Nini? Je, wanajua kwanini anajiamini? Wanamtandao kazi mnayo mwaka huu mtauana na kumalizana.
11 Reactions
37 Replies
975 Views
Tangu Tundu Lissu ataje orodha ya mashahidi wake, mashahidi kutoka Kenya na Uganda ambao hawakuwepo eneo la tukio (kwenye mkutano ambao Lissu alisema "tutakinukisha") na ambao si hata viongozi wa...
4 Reactions
32 Replies
1K Views
Aliyekuwa mgombea urais wa ACT-Wazalendo katika uchaguzi wa mwaka 2025, Luhaga Joelson Mpina, aliwasilisha taarifa kuhusu hali ya kisiasa Tanzania kwa mjumbe maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya...
2 Reactions
0 Replies
88 Views
Vyama viwili vya upinzani nchini Namibia vimepinga uteuzi wa Naibu Jaji Mkuu wa nchi hiyo, Petrus Tileinge Damaseb, kuwa mmoja wa makamishna wa Tume ya Rais ya Uchunguzi inayochunguza waliohusika...
4 Reactions
8 Replies
279 Views
Binafsi inaenda kuchimba zaidi ya ile tume ya Chande. Mwisho wa siku nani hasa anachunguzwa kwenye hii tume? Na wanaochunguzwa je wapo tayari kuwajibika mintarafu kujiuzuru? Ngoja tuone Soma Pia...
1 Reactions
21 Replies
183 Views
SERENGETI INAWEZA KUIFIKISHA TANZANIA KWENYE HATUA NYINGINE YA UTALII Kuna Serengeti moja tu duniani, na ina sifa za kipekee ambazo hakuna mbuga nyingine inayoweza kuzibeba kwa namna hiyo. Lakini...
4 Reactions
56 Replies
504 Views
Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu Ado, amemwaga povu zito akilaani vikali utekaji, utesaji na ukatili aliofanyiwa kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kazungu Bakari, huku akitahadharisha kuwa...
6 Reactions
42 Replies
554 Views
Rasmi yule dada anayetukana matusi Rasmi yuko kwenye mikono Salama taangu tarehe 30/07/2026 soon atapandishwa kujibu Yanayomkabili au anaweza asionekane kabisa Save huu Uzi serikali ina mkono mrefu.
19 Reactions
176 Replies
5K Views
Taasisi nyingi za serikali zinapitia vipindi vigumu, ikiwa ni pamoja na changamoto mbili kuu: uhaba wa fedha katika kutekeleza majukumu yake na kuacha misingi ya kimuundo kwa taasisi hizo. Mfano...
9 Reactions
41 Replies
2K Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejenga sifa ya kuwa na nidhamu kali ambapo maamuzi yakishafanyika kwenye vikao, sauti ya chama inakuwa moja. Hata hivyo, katika misimu ya hivi karibuni ya kisiasa...
17 Reactions
26 Replies
553 Views
Watu wanadai kikundi kinachoteka na kupoteza watu alikiunda yeye ili kulinda kiti dhidi ya wapinzani wake wa kisiasa. RIP Polepole. Watu wanadai aliyetoa amri ya kupiga risasi za moto wananchi...
23 Reactions
26 Replies
516 Views
Leo imezinduliwa tume nyingine kuhusu kilichotokea Oktoba 29! Sijui hizo tume zinazohusu Oktoba 29 zimefika ngapi na sijui ngapi zitaendelea kuundwa. Hii ya leo inaitwa “Tume ya Rais ya...
25 Reactions
25 Replies
481 Views
04 August 2026 Kyela, Mbeya Tanzania KATIBAKITAA - Mbunge Mstaafu wa G-55 Anafunguka Juu ya Katiba Mpya na Maridhiano Mbunge mstaafu wa Jimbo la Kyela Mzee Alipipi Lumuli Kasyupa akifanya...
8 Reactions
12 Replies
267 Views
07 Agosti 2026 Kinondoni, Dar es Salaam Tanzania SAAD MTABULE : WANAFUNZI MKAWAAMBIE WAZAZI JUU UHAMIAJI HARAMU KINONDONI https://m.youtube.com/watch?v=d7oFRuKVK-w Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni...
2 Reactions
12 Replies
309 Views
Back
Top Bottom