Maandamano yakitokea ina maana rasilimali nyingi zitatumika kuwaamnisha hasa WHO ARE YOU kuwa mambo yapo shwari, wananchi wanampenda Rais wao mpaka wanabujijikwa machozi ya maziwa na asali. Kwa...
Mahakama ya Tanzania ni mali ya watanzania inayohudumiwa na watanzania wote kwa manufaa ya watanzania wote kama ilivyo kwa Serikali na Bunge. Serikali, Bunge na mahakama ni mihimili ambayo lazima...
Anaandika Hilda Newron Chadema huko Facebook
‼️HABARI MBAYA KUTOKA MBEYA‼️
Julai 4, 2026 Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya liliwakamata Viongozi wa CHASO watatu wa Mkoa wa Mbeya kila mmoja...
Baada ya kufanya uchunguzi wa kina na timu yetu toka Lumumba tumegundua kuwa wanaharakati, magaidi na CHADEMA ndio walionzisha zomea zomea wakati mwana FA alipotaka kuwasilisha salamu za serikali...
Niliwaza kabla haijapendekezwa na wengine,kumbe NAMI niliwaza kama wengine walivyowaza.
Kua kama wanasema Heche ni mwizi wa Hela za michango ya tonetone,basi nilitamani sana atokee mtu aombe namba...
Katika waraka wa maridhiano uliowasilishwa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi, Zena Ahmed Mohamed, pande zote mbili zimekubaliana kuzingatia misingi saba muhimu itakayoongoza...
Zengwe walilobuni mfumo la kumzushia Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Ndg. John Heche limemnufaisha zaidi yeye na chama chake baada ya wananchi kukataa "Kununua huo uzushi".
Badala yake sasa...
Kuna matukio nikiyaunganisha kuna picha naipata kwamba kuna watu 'underground' wapo serious mno na mustakabali mwema wa nchi yetu.
Tazama kwa mfano,
1.Kuchaguliwa kwa Lissu kuwa Mwenyekiti wa...
Lema ni mjumbe wa Kamati Kuu Chadema, kwanini aseme atajitetea mwenyewe, kwani hakuwepo kwenye kikao, kwani maazimio ya KK ni ya kumtetea yeye au chama.
Ina maana akijitetea atakuwa anajitetea...
Habari Wana Jf,Nimetafakari Sana juu ya Maisha yetu wanadamu hapa Dunia!
_Fedha inaweza kununua chakula sio hamu ya kula
_Fedha inaweza kununua Dawa sio Afya!
_Fedha inaweza kununua vitu vya...
Tambua kwamba katazo batili la Mikutano ya hadhara lililotolewa na Bwanamdogo Katambi, limesababishwa na Wakazi wote wa Kanda ya Nyasa kuhudhuria Mikutano hiyo
Jambo lililoumiza sana Machawa...
Mimi si mfuasi wa CHADEMA, lakini hilo halimaanishi nikubali kila tuhuma inayotolewa dhidi ya viongozi wake bila kutumia akili na kuhoji. Katika suala la madai kwamba Heche amekula fedha, binafsi...
Ndugu zangu Watanzania,
Huu ni UKWELI MCHUNGU ambao ningependa kuwaambia wana CHADEMA wote kuwa kamwe na katu hakuna kitu cha aina yoyote ile ambacho watakifanikisha na kukipata kwa nguvu zao na...
Kuna kauli ilitokewa kwenye kikao Cha genge la wanaccm walioitwa wazee wa daresalama inayosema 'who are you ' sasa swali langu je kauli hiyo inafanya kazi? Hapa zingatia hatua ambazo US...
Nakutakia nguvu, hekima na uvumilivu katika majukumu yako ya uongozi. Endelea kusimamia unachoamini kwa kufuata sheria, sheria maadili maslai ya wananchi kutetea haki na kuhimiza uwajibikaji...
Ni ngumu sana kupata mwekezaji atakajenga kiwanda cha kuongeza thamani ya madini na rasilima zinazochimbwa afrika
Kama nchi kuna sehemu tumekosea unamkataaje mwekezaji wa usd billion 17 sababu...
Ni Bashite aliye nyuma ya hili nn??…
Maana Kwa FAIDA ya Media, hii ni HABARI kubwa ambayo ingepelekea kupata Wafuatiliaji wéngi sana na Watu wangetaka kujua nn kilichotokea??.
Lkn Media...
..Kichwa cha habari kinahusika.
..Kwa kweli kauli ya Jaji Mkuu imenishangaza.
..Lakini zaidi imenisikitisha, na kuniudhi.
..Hivi Wakili ktk nchi zetu za Kiafrika, anayetetea HAKI za watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.