Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

What are you waiting for? When will you be ready to say anything? :confused: two years, three years or 10 years? These inefficient officials they don't deserve to be in those important positions...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Msanii Mapunda aitosa CCM na Agnes Mlundachuma MSANII wa muziki wa Kiafrika, Fullgency Mapunda 'Mwana Cotide' ameamua kujitoa katika bendi ya Tanzania One Theatre inayomilikiwa...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Kuna habari kwamba wananchi wa Mbweni wamevamia mashamba ya Ballali na kugawana. Polisi wameenda kuwatimua. Hii kali kweli, wananchi wanachukua kilicho chao. Wenye habari zaidi tujulisheni.
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Ndugu Zangu wana JF siku zote nimekuwa ni msikilizaji tu wa mambo humu ndani zaidi ya kuchangia threats zinazowekwa na wanamapambano wenzangu. Labda nianze kwa kusema kuwa wengi wenu mnaifahamu...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Source ITV News, Wananchi waishio eneo la Mbweni wamevamia mashamba ya Dr.Balali na kuanza kugawana kwa madai kuwa yanatokana na pesa za ufisadi pesa ambazo wameziita kuwa ni mali yao...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Nakuuliza mheshimiwa JK....JF members na wa-TZ wenzangu wote HAKUNA MZANZIBARI MWENYE SIFA YA KUCHAGULIWA KUWA GAVANA WA BoT???? haaaaaa ametoka,dr idrissa rashid(mtanganyika) amekuja...
0 Reactions
47 Replies
6K Views
2008-01-17 09:43:23 By Correspondent Felister Peter President Jakaya Kikwete has called upon donors to continue providing assistance to Tanzania, saying that the billions of shillings...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Nimewaza sana na kujiuliza nini Tofauti ya Mtanzani na Mhindi(Mtanzania mwenye asili ya India).Inaonekana Serikali na makampuni mengi ya yamekuwa yakipiga deal na wahindi kuibia fedha na mali za...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mawaziri wahojiwa Mwandishi Wetu Januari, 16, 2008 Raia Mwema HALI si shwari ndani na nje ya Serikali kuhusiana na matukio ya Benku Kuu (BoT) na sasa imebainika kwamba baadhi ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
2008-01-16 09:15:23 By Guardian Reporter The Minister of Finance, Zakia Meghji, has appointed an eleven-member board of directors for the Bank of Tanzania (BoT). In her appointment made...
0 Reactions
32 Replies
7K Views
Maneno ya J.Ulimwengu ----------------------------------------------------------------- UKWELI wa vyama vyetu kuwa bandia umedhihirishwa na matendo ya wanasiasa wetu wenyewe. Ukitazama mwenendo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kikwete ampa John Cheyo milioni 120/- Hivi kuna ndoa gani kati ya John Cheyo na serikali ya CCM? Na Gladness Mboma SERIKALI imetoa sh. milioni 126 kama mchango wake kwa ajili ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu nimeona nije na hii issue kwa sababu naona hili ni tatizo kubwa kuliko wengi wetu tunavyoliona. Sasa hivi kumezuka wimbi la biashara ya vyuma chakavu ambavyo vinasafirishwa kwenda Kenya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Peter Temba in Moshi Daily News; Sunday,January 13, 2008 MOSHI Urban MP Philemon Ndesamburo has purchased a 5-acre plot at Kiboriloni area, to relocate over 1,000 traders currently shuffled at...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Clinton Plays Flight Attendant Thursday January 17, 2008 2:48 AM By BETH FOUHY Associated Press Writer LAS VEGAS (AP) - Democrat Hillary Rodham Clinton welcomed her traveling press...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kubena is back & doing fine. Ndio kafika airport kutokea india alipokwenda kutibiwa. Stay tunned
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wana JF, Kuna huu mradi unaitwa Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kuondoa Umaskini Tanzania (MKUKUTA) ambao sielewi unafanyeje kazi. Ni kweli kuna midocument mingi wamepublish online kuhusu MKUKUTA...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
NHC bid for tax exemption rejected Daily News; Sunday,November 18, 2007 @00:05 PRESIDENT Jakaya Kikwete yesterday said that the National Housing Corporation (NHC) as a corporate body would not...
0 Reactions
40 Replies
7K Views
Wakuu mnafahamu nini kuhusu hii tume? Tume ya Mkandara yawachanganya mawaziri *Ni ile inayochunguza utendaji wao wa kazi *Wasema inawakatisha tamaa katika kazi zao Na Waandishi Wetu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…