Mwanafalsafa
Platinum Member
- Jun 24, 2007
- 652
- 835
Wana JF,
Kuna huu mradi unaitwa Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kuondoa Umaskini Tanzania (MKUKUTA) ambao sielewi unafanyeje kazi. Ni kweli kuna midocument mingi wamepublish online kuhusu MKUKUTA lakini kwa kweli simple communication imewashinda manaake midocument yao ukiisoma utachanganyikiwa tu na utahisi unapoteza muda.
Kwa mtazamo wangu njia pekee ya kukuza uchumi na kuondoa umaskini ni kutengeneza pesa.
Na kuna njia mbili tu za kutengeneza pesa - uajiriwe (uwe unapata mshahara) au uwe mfanyabiashara (uwe unaingiza mapato kwa vitu unavyouza)
Sasa hawa watu wa MKUKUTA wananisaidia vipi mwananchi kutengeneza pesa?
Kuna huu mradi unaitwa Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kuondoa Umaskini Tanzania (MKUKUTA) ambao sielewi unafanyeje kazi. Ni kweli kuna midocument mingi wamepublish online kuhusu MKUKUTA lakini kwa kweli simple communication imewashinda manaake midocument yao ukiisoma utachanganyikiwa tu na utahisi unapoteza muda.
Kwa mtazamo wangu njia pekee ya kukuza uchumi na kuondoa umaskini ni kutengeneza pesa.
Na kuna njia mbili tu za kutengeneza pesa - uajiriwe (uwe unapata mshahara) au uwe mfanyabiashara (uwe unaingiza mapato kwa vitu unavyouza)
Sasa hawa watu wa MKUKUTA wananisaidia vipi mwananchi kutengeneza pesa?