Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
Ninapenda kutibitisha hizi habari kwamba ni kweli wananchi wamefanya Uhalifu huo . Nasema ni uhalifu kwa kuwa ni mali za Ballali no matter what lakini kisheria ni mali yake .
Kuna habari kwamba wananchi wa Mbweni wamevamia mashamba ya Ballali na kugawana. Polisi wameenda kuwatimua.
Hii kali kweli, wananchi wanachukua kilicho chao.
Wenye habari zaidi tujulisheni.
Naona watanzania mnajifunga magoli wenyewe. Mnavyomsulubu Balali, attention inaondoka kwenye issue kubwa. Na big fish wataendelea kupeta tu.
There is a lot of pending issues hazina majibu .Buzwagi hadi sasa ni kimya. Yaani haraka Ballali kaondolewa kaachwa Karamagi mwenye ushahidi wa kutosha wa kuweka sahihi kule UK . Jamani ama kweli kama kama wewe si mwanamtandao.Sasa Watanzania wanasahau yote soon wataimba sifa kwa JK na kusahau kwamba wanachezewa tu na hakuna wa kushitakiwa wala nini .