Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ukiangalia kwa makini sana hii barabara ya Morogoro - Dodoma, hasa eneo ambalo daraja limeng'olewa ni lazima upigwe na bumbuwazi! Hakuna hata mawe wala kingo za maana, ujazo wa lami uliowekwa...
27 Reactions
99 Replies
10K Views
Nataka imfikie mh Raisi, wa Tanzania najua ikulu inayo wahaya, wamtafsillie ILA kwa ufupi Prof Tibaijuka Hana Deni.
3 Reactions
11 Replies
249 Views
Nimepotea kabisa. Msikilize 1. Kuwekwa na Mungu 2. Kujiweka Which is which?
8 Reactions
19 Replies
623 Views
Huwa tunapenda sana kutoa majibu mepesi kwa maswali magumu. Hata hivyo majibu ya namna hiyo hayatibu ugonjwa. Mtaji wa kwanza wa chama cha siasa ni wanachama waaminifu ambao wapo tayari...
2 Reactions
66 Replies
962 Views
Mtu anaitwa Vyombo vya Habari, anasema, HECHE anakula Hela za TONETONE. unakuta Mtu huyo, anajikita ni Katibu wa BAVICHA Nanjilinji. Yaan wewe wa Nanjilinji hukoo maporin, unaanzaje Kufungua...
5 Reactions
5 Replies
112 Views
Wanabodi Mungu na Shetani Hiii ni moja ya Mada zangu za holistic approach zinazotumia dhana dhanifu ya Mungu na shetani ambalo naliendesha kwa hoja za maswali Kwanza hebu msikilizeni nabii huyu...
16 Reactions
50 Replies
3K Views
Taarifa hii imetolewa leo na Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Mh Othman Masoud akiwa ziarani kujitambulisha kwa wanachama wa chama chake cha ACT Wazalendo. Ambapo amedai mpaka leo hakuna nchi...
16 Reactions
187 Replies
24K Views
Huu uzi ukiusikiliza kama wewe ni mpenda haki lazima utavimbiwa na mihasira. Nawaomba tumsikikize Tena wandugu maana wimbo mzuri daima hauchuji.
3 Reactions
10 Replies
247 Views
Wanabodi Watch this https://youtu.be/mjaFkFP3swk?si=HQWWh1DplyU1uuzG Could this be true?. Paskali
7 Reactions
25 Replies
508 Views
Kwenu Waheshimiwa wenye Mamlaka kwenye hii nchi Asalaam aleykum? Bwana Yesu asifiwe? Kristu ? Kwa heshima kubwa, naomba nitoe ushauri kama mwananchi mwenye nia njema kwa mustakabali wa nchi...
1 Reactions
5 Replies
92 Views
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania, taasisi za umma na binafsi, mashirika na wadau wa maendeleo waungane na Serikali katika kuwezesha matibabu ya upandikizaji wa figo na uloto...
1 Reactions
5 Replies
162 Views
…Imebidi niulize hili ili wadau mnisaidie , RC wa Dar es salaam ameonekana akikagua ujenzi wa Barabara ya Chang'ombe - Maduka mawili , ambayo ujenzi wake umefanywa baada ya CCM kung'olewa jijini...
17 Reactions
121 Replies
11K Views
CCM mtalaaniwa milele. Sikiliza clip hii. Wanamrubuni kiongozi wa chadema aseme uongo dhidi ya Heche.
3 Reactions
6 Replies
186 Views
Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim ametoa siku 4 kwa Ofisi ya TAKUKURU Temeke kumfikisha Mahakamani aliyekuwa Mkurugenzi wa zamani wa Wilaya hiyo, Lusubilo Mwakabibi na wenzake kwa tuhuma za...
9 Reactions
86 Replies
12K Views
Ushafunga mkataba wa kiduwanzi na Shetani eti leo ndio unakuja kuona Wazee Tushakustukia.
8 Reactions
30 Replies
614 Views
Wote ni mashahidi miji ya Tanzania ina sifa moja mingi ina squatter zifuatazo ni njia ambazo ntazitumia kuondoa hizi squatter zilizopo kama sehemu ya kuifanya nchi kuwa nzuri kama nchi zilizoendelea
3 Reactions
15 Replies
261 Views
CCM Imefanikiwa sana kulinda amani kwa haya makundi ya watu 1. Mafisaidi 2. Wezi 3. Mapuyanga/mapapai/ mchicha mwiba, madafu. 4. Al munafiqina 5. Wachawi/Machawa Huwezi kuwa katika makundi au...
6 Reactions
4 Replies
102 Views
Karibu Tanzania Mhe. Abdel Fattah El - Sisi, Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri Ziara ya Kitaifa 18 Julai, 2026.
2 Reactions
10 Replies
218 Views
Wadau, jana Chuma Heche ametoa neno linalohitaji fikra tunduizi kwa kusema 'mwenye mpira ndio anayekabwa na akaenda mbali kwa kusema mpira uko chini ya udhibiti wake ndio maana wakabaji wa mpira...
19 Reactions
49 Replies
754 Views
Sheria ni nini? WAJIBU wake kwa jamii, Sheria ni mjumuisho wa kanuni ambazo wananchi na viongozi. wanapaswa kuzifuata katika utekelezaji wa majukumu Yao ya Kila siku. Sheria za nchi hutungwa baada...
8 Reactions
14 Replies
162 Views
Back
Top Bottom