Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wadau doctrine ya persona non-gratia inamaanisha kuwa ofisa wa kidiplomasia mfano Balozi anapokuwa anawakilisha Nchi flani, Nchi hiyo inaweza kumtangaza kuwa ni mtu asiyefaa kuwa kwenye office...
2 Reactions
3 Replies
104 Views
Hili ni kero kubwa sana kwa wananchi, kwa sababu simu za ofisi za Serikali zinapaswa kuwa moja ya njia rahisi za mwananchi kupata huduma bila kulazimika kufika ofisini. Tatizo linapojitokeza...
2 Reactions
8 Replies
200 Views
Wanabodi, Naomba kulianza bandiko hili kwa kutoa elimu kwa umma,kuhusu gender differences betwen ME na KE, sio vile viungo vya uzazi, ni uwezo wa kufikiri, thinking ability, na namna ya kufikia...
7 Reactions
50 Replies
844 Views
Nmb hawachukui hatua yoyote kusaidia wateja wao. Kama mtu umesahau kadi na uko safarini inakula kwako. Nmb mnafeli wapi?
6 Reactions
60 Replies
1K Views
SGR Ina shida mahali , unapofanya booking unakuta karibia siti zote zimejaa ila unapokuja kuingia ndani ya behewa unakuta nusu ya siti hakuna watu mwanzo mpaka mwisho wa safari hii imekaaje ?
8 Reactions
56 Replies
1K Views
Haya Bwana lakini kwa Mungu hakuna tweeter (X)
0 Reactions
3 Replies
82 Views
CHADEMA ni chama chenye sera nzuri sana, maono ya juu na ya mbali ya karne ya 21 na watu wenye akili kubwa sana ila kwa bahati mbaya wamekuwa wa upande mmoja zaidi wa Ukristo. Ni nadra kukuta...
20 Reactions
202 Replies
2K Views
Kutokana na kile kinachoonekana kwamba viongozi wa imani fulani wameenda kumuona Maza na kuendelea kutoa ufafanuzi wa mazungumzo yao na maza;kuna kila dalili kwamba Mwaipopo ataruka tena hewani ku...
6 Reactions
16 Replies
378 Views
YERICKO NYERERE ALIA NA UNAFIKI WA PROF. ANNA TIBAIJUKA. HII NI COPY AND PASTE WADAU, ... NINAWASILISHA! Yericko Nyerere kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika: · Nchi hii unafiki ni asili...
2 Reactions
22 Replies
379 Views
Huenda Namba za simu pekee zinazopatikana na kupikelewa ni AZAM MEDIA, na Makampuni ya Mitandao ya Simu ( Kwa UFUPI Sekta Binafsi Iko vizuri). Njooo kwenye Taasisi za Serikali; Kwanza Picha...
11 Reactions
33 Replies
283 Views
Nimefurah SANA Sana kusikia Baraza la Maaskofu kupitia Rais wao Tec akitoa maazimio ya kikao kilichofanyika ikulu ya DODOMA Kwanza nawapongeza maaskofu pamoja na Rais kwa kuridhiana. Dhidi ya...
6 Reactions
24 Replies
541 Views
Ni sababu zipi hasa, hufanya mwanasiasa anaetoka upinzani na kujiunga CCM kufaidika, kushamiri na kuneemeka kisiasa, kijamii na kiuchumi, tofauti na mwanasiasa anaetoka CCM na kujiunga upinzani...
0 Reactions
2 Replies
45 Views
Jarida la Indegazette.be, katika makala yake iliyochapishwa Agosti 13, 2026, limeangazia Tume mpya ya Uchunguzi ya Tanzania inayoongozwa na Jaji Shabani Ally Lila, likisema jukumu kubwa la tume...
2 Reactions
12 Replies
241 Views
  • Redirect
Wakili Peter Madeleka amekamatwa muda huu na watu waliojitambulisha kuwa ni Polisi akiwa katika Mahakama ya uhujumu uchumi (maarufu kama Mahakama ya Mafisadi) iliyopo Mikocheni jijini Dar es...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Inasemekana amekamatwa na watu waliojitambulisha kuwa ni polisi. Soma chini tujuzane kama ni kweli
0 Reactions
Replies
Views
Lissu: Kulikua na amri mliyoitoa mwaka jana siwezi kukumbuka tarehe, kwamba upande wa mashitaka ulete mashahidi wawili kila kesi inaposikilizwa, na hii amri mmeirudia tena juzi jumatano mmeirudia...
10 Reactions
18 Replies
394 Views
Walimu msituhusiahe na matatizo yenu maana mfumo mnaujua wenyewe,haya manunguniko msinungunike hizani, Uchaguzi uliisha mnapaswa kuchapa kazi siyo fimbo,maana sheria na kanuni mnazijua wenyewe...
0 Reactions
2 Replies
51 Views
Ndugu zangu wapinzani, hebu mnisaidie kuwaelewa kidogo. Kila siku tunasikia nchi imeharibika, maisha hayaendi, watu hawana furaha, hakuna kinachowezekana… lakini sisi huku maisha yanaendelea...
5 Reactions
38 Replies
355 Views
Ikiwa hali itaendelea kua kama ilivyo, huenda likakosa sifa ya kua jimbo la kiimani ndani ya kanisa hilo, kama yalivyo majimbo mengine ya kanisa katoliki nchini. Kuna zaidi ya ugumu katika...
1 Reactions
52 Replies
584 Views
Look at this energy
8 Reactions
22 Replies
339 Views
Back
Top Bottom