Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mzee wangu upo humu na ninajua unapenda sana kutembelea hili Jukwaa nitakachokiandika hapa sio kipya maana nishakuambia mara kadhaa. Nilimwambia Mzee Kila nikipima Upepo naona kabisa SAMIA...
13 Reactions
35 Replies
627 Views
Ndugu zangu mimi nauliza tu ni kwanini UVCCM tarehe ya Leo hawajaonekana kufanya kongamano la vijana maana leo ni siku ya vijana bali naona online tvs nyingi Kuna Bavicha na kwa mbali ile ngome ya...
2 Reactions
16 Replies
141 Views
Mpasuko was chinichini na wa ndani kwa ndani huko CCM kwa sasa unaashiria mwanzo wa dhoruba kubwa ya kisiasa. Kutumia mfano wa kibiblia wa "Mene, Mene, Tekeli na Peresi," ni wazi kuwa "maandishi...
21 Reactions
85 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Hivi Benki KUU ya Mtanzania Yaani BOT Inasubiri Nini Kuiweka picha ya Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu...
3 Reactions
118 Replies
1K Views
“......Mbali na mauaji ya Vita vya Maji Maji chini ya utawala wa Kijerumani, mauaji yaliyotokea 29 Oktoba 2025 ndiyo makubwa zaidi katika historia ya nchi yetu. Hakuna awamu yoyote ya utawala...
14 Reactions
20 Replies
621 Views
https://x.com/AP/status/2087444402880831521/photo/1 hong wa tatu kulia na kampani yake, kaangushwa na David Crowley, why it matters? kwa sababu D.Crowley is black, thats all kama ulitaka kujua...
0 Reactions
4 Replies
67 Views
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, amesema Katiba inapaswa kuhakikisha mwananchi anakuwa na haki zaidi juu ya ardhi, akieleza kuwa sehemu kubwa ya Watanzania...
3 Reactions
9 Replies
157 Views
Imekuwa nadra kwa viongozi wa serikali ya tanzania kutamka neno haki,hata akitokea kiongozi kutamka neno haki anashambuliwa sana kias unaweza kushangaa kwani haki ni sumu kwa viongozi hawa...
3 Reactions
10 Replies
75 Views
12 August 2026 Tanzania Yafungua Soko la Dhamana za Serikali kwa Wawekezaji wa Kimataifa Tanzania relaxes forex rules to draw foreigners to bonds. 'The reform aims to broaden access to the...
0 Reactions
2 Replies
70 Views
Naibu Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, amesema hajawahi kushuhudia Serikali inayokiuka sheria na Katiba kwa kiwango anachodai kufanyika katika Awamu ya Sita. Amesema katika...
4 Reactions
10 Replies
169 Views
Mbunge Ado Shaibu wa jimbo la Tunduru Chama cha ACT-Wazalendo amewasilisha hoja nzito akibainisha kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan...
0 Reactions
5 Replies
78 Views
Wakuu wa jukwaa hili, Mkutano wa tarehe 10 Agosti 2026 kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) huko Dodoma haupaswi kuchukuliwa kama kikao cha kawaida cha...
3 Reactions
6 Replies
118 Views
  • Featured
Tanzania imeporomoka kwa nafasi 20 katika Ripoti ya Kipimo cha Amani Duniani (Global Peace Index - GPI 2026), na sasa inashika nafasi ya 98 kati ya nchi 163 zilizotathminiwa duniani. Kwa mujibu...
3 Reactions
23 Replies
906 Views
Aliyekuwa Mgombea Urais 2025 na Naibu Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, amesema aliyekuwa nyuma ya vikwazo alivyokutana navyo katika mchakato wa uchaguzi ndiye “aliyeishiwa pawa”...
0 Reactions
3 Replies
149 Views
  • Redirect
Naibu Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, amemjibu Rais Samia baada ya kudai kuwa Luhaga Mpina na Tundu Lissu, wameishiwa pawa, akisema kauli hiyo si sahihi na kwamba “aliyeishiwa...
0 Reactions
Replies
Views
Ile Taasisi bora ya vijana Duniani, BAVICHA, iko Dodoma nchini Tanzania kwa shughuli ya Kidunia upande wa vijana Picha hiyo ni Maandalizi ya Ukumbi kutakapoadhimishwa shughuli hiyo ya Kidunia...
4 Reactions
8 Replies
129 Views
Kundi la madikiteita waliowahi kutokea duniani.... As first lady of the Philippines, Imelda Marcos shared power in a "conjugal dictatorship" with her husband, Ferdinand Marcos, marked by severe...
2 Reactions
2 Replies
74 Views
SIO KOSA WALA DHAMBI MTU KUWA CCM AU CHAUMMA; NI USHENZI NA UKATILI KULAZIMISHA WATU KUWA CHAMA KIMOJA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Hii tabia wako nayo wafuasi na wanachama wengi wa...
3 Reactions
17 Replies
87 Views
CCM hebu show some seriousness kwenye hizi pichapicha zenu mnacheza. Hamuwezi kufanya ujinga ulio quite obvious. Mmetengeneza viakaunti vya kumsifia Mama sawa ila zisiwe copy and paste. Lipeni...
2 Reactions
20 Replies
353 Views
*Maneno yake kabla ya lolote kutokea, *maneno yenye nia na dhamira ovu, -Tutakinukisha -Uchaguzi tutauvuruga -Uchaguzi hautafanyika. -Tunajua tutauzuiaje! *Outcomes yake! -Uchaguzi ulikuwa na...
2 Reactions
125 Replies
2K Views
Back
Top Bottom