Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu, Hapa ilikuwa kwenye sherehe ya Birthday ya Mama Diamond Sanura Kassim (Mama Dangote) siku 3 zilizopita. Akimama hawana vifaa tiba hospitali, wanafunzi wanakaa chini, nchi iko hoi lakini...
4 Reactions
56 Replies
1K Views
Polisi, Serikali na CCM pamoja na magenge yao kutwa wanaimba kuna watu wanataka kuvurugu, sasa unajiuliza hili limetoka wapi? Wananchi wamesema wanaandama kwa Amani nyie habari za maanadamano...
13 Reactions
33 Replies
816 Views
Sikiliza mazungumzo ya kumshawishi kiongozi wa Bawacha amchafue Heche, naye akaingia mkenge. It is a pity na Selasini anajiunga na uhayawani huu Erythrocyte Kwa hivi hakuna haja ya kumpa Selasini...
9 Reactions
31 Replies
897 Views
DC MWENDA AKABIDHI MAGARI 4 YA KUBEBEA WAGONJWA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA IRAMBA Mkuu wa Wilaya ya Iramba mkoani Singida, Alhaj Suleiman Yusuph Mwenda, Jumatano Julai 15, 2026, amekabidhi magari...
0 Reactions
1 Replies
75 Views
WAZIRI KOMBO AMUAGA BALOZI WA SWEDEN HAPA NCHINI. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb), tarehe 17 Julai, 2026 amekutana na kufanya...
1 Reactions
1 Replies
91 Views
Mfanyabishara na Mmiliki wa Kampuni ya PAP, Habinder Seth akiwa katika hafla ya harambee ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuchangia fedha za Uchaguzi Mkuu
24 Reactions
291 Replies
15K Views
Katika misitu mikubwa, si kila mti huwa na thamani sawa. Kuna miti inayojulikana kwa ukubwa wake, lakini kuna mingine inayoheshimika kwa ubora wake. Miongoni mwa hiyo ni gogo la udi—mti wenye...
5 Reactions
14 Replies
593 Views
Ndugu Wakuu, Katika uzi wangu uliopita, tulijadili jinsi mzunguko usio na tija wa kodi ya mvuja jasho unavyoishia kufadhili anasa za wachache huku mtaani vijana wakipambana na ukata wa mitaji...
6 Reactions
10 Replies
408 Views
CHADEMA wakusanya Sh120 milioni kwa siku tano- Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ameyasema hayo leo alipozungumza na wazee wa Mkoa wa Mara leo Julai 17.
10 Reactions
8 Replies
252 Views
WAZIRI MKUU AKAGUA MAANDALIZI YA SIKU YA MASHUJAA Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Julai 17, 2026 amekagua na kupokea taarifa ya maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yanayotarajiwa...
0 Reactions
0 Replies
81 Views
Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam kwa kushirikiana na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wameanza oparesheni maalum ya kuondoa spika na vipaza sauti vinavyotumiwa na...
3 Reactions
13 Replies
248 Views
Wanabodi Hili ni bandiko la pongezi kwa serikali yetu ikifanya jambo lolote zuri la kustahili pongezi, tuipongeze, na ikifanya jambo lolote baya la kustahili kukosolewa tuikosoe kwa...
16 Reactions
132 Replies
2K Views
Shikamooni wakubwa zangu wote. Naomba kujua Balozi wa Tanzania nchini Russia, alitumiaje fursa ya kombe la dunia 2018 katika kuitangaza vema nchi yetu? Kwa maana ninajua fika mashindano yale...
2 Reactions
84 Replies
12K Views
Katika mahojiano na NijuzeNews, Dk Nshala atema nyongo! https://www.youtube.com/watch?v=E1YHABa2SGc
0 Reactions
0 Replies
57 Views
Kuna tetezi zimegaa mitaani kuwa serikali ya CCM inataka kuanza kufanya figisu. Figisu zenyewe ni kutaka kuifuatlia michango ya Cdm ambayo mpaka sasa imefikia Tsh 90 mil+ Wanataka kuleta zengwe...
4 Reactions
10 Replies
254 Views
Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Kigoma muda mfupi uliopita leo, Alhamisi tarehe 16/07/2026 Mahakama imeifuta kesi ya uchaguzi iliyokuwa imefunguliwa Mahakamani hapo na wananchi...
5 Reactions
22 Replies
451 Views
Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Nigeria, Dkt. Benson Alfred Bana, amesema "Sioni watu wenye hekima kama walivyokuwa kina Mzee Warioba wakati ule, au kama tunavyomchukulia Mzee Obasanjo sasa...
5 Reactions
16 Replies
457 Views
Katika mahojiano yake na Kituo cha Redio cha East Africa radio, Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa CHADEMA Taifa, Brenda Rupia Jonas, amedai kuwa wana ushahidi wa kutosha, ikiwemo rekodi za...
2 Reactions
8 Replies
232 Views
Sikiliza Wakili Madeleka akimkamusha Profesa kuhusiana na kutaja majina ya watu katika tume zinazoundwa na Rais Ni Profesa nani huyo
6 Reactions
12 Replies
356 Views
Taarifa ambayo imepatikana kwenye Mkutano wa Hadhara wa Chadema Jimbo la Kyela inaelezwa kwamba, jimbo hilo linaongoza kwa idadi ya waliouawa kwenye kilichoitwa uchaguzi wa Octoba 29 Idadi kamili...
11 Reactions
29 Replies
677 Views
Back
Top Bottom