Wakuu,
Hapa ilikuwa kwenye sherehe ya Birthday ya Mama Diamond Sanura Kassim (Mama Dangote) siku 3 zilizopita.
Akimama hawana vifaa tiba hospitali, wanafunzi wanakaa chini, nchi iko hoi lakini...
Polisi, Serikali na CCM pamoja na magenge yao kutwa wanaimba kuna watu wanataka kuvurugu, sasa unajiuliza hili limetoka wapi? Wananchi wamesema wanaandama kwa Amani nyie habari za maanadamano...
Sikiliza mazungumzo ya kumshawishi kiongozi wa Bawacha amchafue Heche, naye akaingia mkenge.
It is a pity na Selasini anajiunga na uhayawani huu Erythrocyte
Kwa hivi hakuna haja ya kumpa Selasini...
DC MWENDA AKABIDHI MAGARI 4 YA KUBEBEA WAGONJWA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA IRAMBA
Mkuu wa Wilaya ya Iramba mkoani Singida, Alhaj Suleiman Yusuph Mwenda, Jumatano Julai 15, 2026, amekabidhi magari...
WAZIRI KOMBO AMUAGA BALOZI WA SWEDEN HAPA NCHINI.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb), tarehe 17 Julai, 2026 amekutana na kufanya...
Mfanyabishara na Mmiliki wa Kampuni ya PAP, Habinder Seth akiwa katika hafla ya harambee ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuchangia fedha za Uchaguzi Mkuu
Katika misitu mikubwa, si kila mti huwa na thamani sawa. Kuna miti inayojulikana kwa ukubwa wake, lakini kuna mingine inayoheshimika kwa ubora wake. Miongoni mwa hiyo ni gogo la udi—mti wenye...
Ndugu Wakuu,
Katika uzi wangu uliopita, tulijadili jinsi mzunguko usio na tija wa kodi ya mvuja jasho unavyoishia kufadhili anasa za wachache huku mtaani vijana wakipambana na ukata wa mitaji...
CHADEMA wakusanya Sh120 milioni kwa siku tano-
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ameyasema hayo leo alipozungumza na wazee wa Mkoa wa Mara leo Julai 17.
WAZIRI MKUU AKAGUA MAANDALIZI YA SIKU YA MASHUJAA
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Julai 17, 2026 amekagua na kupokea taarifa ya maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yanayotarajiwa...
Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam kwa kushirikiana na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wameanza oparesheni maalum ya kuondoa spika na vipaza sauti vinavyotumiwa na...
Wanabodi
Hili ni bandiko la pongezi kwa serikali yetu ikifanya jambo lolote zuri la kustahili pongezi, tuipongeze, na ikifanya jambo lolote baya la kustahili kukosolewa tuikosoe kwa...
Shikamooni wakubwa zangu wote.
Naomba kujua Balozi wa Tanzania nchini Russia, alitumiaje fursa ya kombe la dunia 2018 katika kuitangaza vema nchi yetu?
Kwa maana ninajua fika mashindano yale...
Kuna tetezi zimegaa mitaani kuwa serikali ya CCM inataka kuanza kufanya figisu.
Figisu zenyewe ni kutaka kuifuatlia michango ya Cdm ambayo mpaka sasa imefikia Tsh 90 mil+
Wanataka kuleta zengwe...
Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Kigoma muda mfupi uliopita leo, Alhamisi tarehe 16/07/2026 Mahakama imeifuta kesi ya uchaguzi iliyokuwa imefunguliwa Mahakamani hapo na wananchi...
Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Nigeria, Dkt. Benson Alfred Bana, amesema "Sioni watu wenye hekima kama walivyokuwa kina Mzee Warioba wakati ule, au kama tunavyomchukulia Mzee Obasanjo sasa...
Katika mahojiano yake na Kituo cha Redio cha East Africa radio, Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa CHADEMA Taifa, Brenda Rupia Jonas, amedai kuwa wana ushahidi wa kutosha, ikiwemo rekodi za...
Taarifa ambayo imepatikana kwenye Mkutano wa Hadhara wa Chadema Jimbo la Kyela inaelezwa kwamba, jimbo hilo linaongoza kwa idadi ya waliouawa kwenye kilichoitwa uchaguzi wa Octoba 29
Idadi kamili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.