Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Makamu Mwenyekiti Bara CHADEMA, John Heche, amesema kuwa chama hicho ndicho cha siasa kikuu nchini Tanzania na hakipaswi kulinganishwa na CCM, kwa kuwa njia pekee zinazotumika kudhibiti chama...
8 Reactions
18 Replies
271 Views
Akiwahutubia wananchi wa Ikungi mkoani Singida, katika mkutano unaofanyika Kata ya Puma leo Januari 22, 2026, Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, amesema kuwa...
1 Reactions
12 Replies
201 Views
Kuna watu wameishiwa hoja wamegeuka kuwa vyama vya vurugu, nchi yetu inaongozwa kwa misingi ya demokrasia na katiba yetu inatutaka hivyo na chama cha mapinduzi tunaheshimu demokrasia ya vyama...
0 Reactions
2 Replies
117 Views
Mzee Butiku anaitisha Mkutano wa wazee kwa kutumia kigoda cha Mwl Nyerere kujadili matukio ya Octoba 29 sambamba na uchunguzi wa Tume ya Rais inayoongozwa na Jaji Chande kwenye jambo hilohilo...
2 Reactions
25 Replies
476 Views
  • Redirect
𝗧𝗨𝗡𝗔𝗧𝗔𝗞𝗔 𝗞𝗔𝗭𝗜 𝗭𝗔 𝗦𝗘𝗥𝗜𝗞𝗔𝗟𝗜 𝗭𝗜𝗙𝗔𝗡𝗬𝗜𝗞𝗘 𝗠𝗔𝗞𝗔𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗨𝗨 𝗬𝗔 𝗡𝗖𝗛𝗜 - 𝗗𝗞𝗧. 𝗠𝗪𝗜𝗚𝗨𝗟𝗨 Asisitiza Taasisi za Serikali zinapaswa kufahamu kwamba makao makuu ya nchi ni Dodoma WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba...
0 Reactions
Replies
Views
Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ambaye ni kipenzi cha wanachama anatarajia kujitosa katika mbio za kuania uwenyekiti wa CHADEMA. Uchaguzi huo unaitishwa baada ya...
2 Reactions
21 Replies
583 Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefafanua kuwa kuzuiwa kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kufanya shughuli zake za kisiasa hakutokani na uamuzi wa CCM wala Serikali, bali ni maagizo ya...
1 Reactions
36 Replies
894 Views
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema kuwa katika siku za hivi karibuni Tanzania imepitia kipindi kigumu kilichosababisha taifa kutetereka, lakini...
1 Reactions
4 Replies
140 Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Singida kimewaonya baadhi ya wananchi wanaotumia imani za kishirikina kukwamisha miradi ya uchimbaji wa visima vya maji. Kimesema hali hiyo inachangia...
1 Reactions
7 Replies
164 Views
Jana tarehe 21 hapa Mbeya hawa vijana wa Chadema walikuwa na shughuli zao za kumbukumbu ya miaka 33 ya chama chao , kama kawaida walipita pita kwa wadau wao kuomba kuchangiwa na kukaribisha watu...
2 Reactions
16 Replies
236 Views
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amewasili muda huu katika msiba nyumbani kwa marehemu Edwin Mtei, aliyefariki dunia Januari 19. Mtei alikuwa ni...
5 Reactions
11 Replies
608 Views
Akizungumza leo Januari 22, 2026 katika Mkutanao na wazee wa jiji la Dar es Salaam, Mzee Butiku amesitisha mkutano huo kurushwa mubashara akiwataka waaandishi wa habari kuwapisha na kwamba...
5 Reactions
20 Replies
554 Views
"Chama chetu [CHADEMA] kitajenga Chuo cha Kumbukumbu ya Edwin Mtei pale kwenye viwanja vyetu Dar es Salaam, eneo la Soga ili kiwe kinafundisha vijana wetu uadilifu, uongozi, namna ya kupinga...
4 Reactions
12 Replies
225 Views
Kwa asili wanawake wanasengenya na ni wambea haijalishi ni rais. Ukimsengenya rais au akipelekewa umbea kwa rais basi kama ni mteule wake ujue ndio mwisho wako. Nimesema hivyo maana kuna mtendaji...
14 Reactions
143 Replies
9K Views
Nchi kadhaa barani Afrika zinaomba msaada wa kifedha kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), misaada inayoambatana na masharti magumu ya kisera yanayoathiri maamuzi ya kiuchumi na uhuru wa...
1 Reactions
2 Replies
104 Views
Kuna mtu kasema eti PEOPLE'S POWER haina nguvu mbele ya silaha. Sijui anamaanisha nini..,lakini ni wazi anafanya upotoshaji wa wazi na wa makusudi. Sayansi ya siasa na historia vinathibitisha...
1 Reactions
0 Replies
79 Views
Hamjambo wote! 1. Ebana eeeh! Lazima tuseme ule ukweli ili utuweke huru. Tukisema tunamung'unya maneno na kujiumauma tutaishi kwenye kiza na shimo miaka na miaka. 2. Tumefundishwa tangu tukiwa...
2 Reactions
32 Replies
330 Views
Sina shida na ulemavu je huyu bwana ni mlemavu wa macho? Au ana aibu au ni ana makengeza kama ya Hayati mtei? Mwambieni tunapambana kuliponya taifa yeye awakusanye wazee wanao taka kujua mahali...
1 Reactions
3 Replies
244 Views
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi katika Mji wa Serikali, Mtumba–Dodoma, siku ya Alhamisi, Januari 22, 2026, kuanzia saa 3...
0 Reactions
2 Replies
159 Views
Wanachama wa Chama cha CHADEMA mkoa wa Rukwa Wilaya ya Nkasi hii leo Januari 21, 2026 walijitokeza kupanda miche 1,600 ya miti mbali mbali katika wilaya hiyo katika kumbukizi ya miaka 33 ya...
7 Reactions
26 Replies
522 Views
Back
Top Bottom