Makamu Mwenyekiti Bara CHADEMA, John Heche, amesema kuwa chama hicho ndicho cha siasa kikuu nchini Tanzania na hakipaswi kulinganishwa na CCM, kwa kuwa njia pekee zinazotumika kudhibiti chama...
Akiwahutubia wananchi wa Ikungi mkoani Singida, katika mkutano unaofanyika Kata ya Puma leo Januari 22, 2026, Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, amesema kuwa...
Kuna watu wameishiwa hoja wamegeuka kuwa vyama vya vurugu, nchi yetu inaongozwa kwa misingi ya demokrasia na katiba yetu inatutaka hivyo na chama cha mapinduzi tunaheshimu demokrasia ya vyama...
Mzee Butiku anaitisha Mkutano wa wazee kwa kutumia kigoda cha Mwl Nyerere kujadili matukio ya Octoba 29 sambamba na uchunguzi wa Tume ya Rais inayoongozwa na Jaji Chande kwenye jambo hilohilo...
𝗧𝗨𝗡𝗔𝗧𝗔𝗞𝗔 𝗞𝗔𝗭𝗜 𝗭𝗔 𝗦𝗘𝗥𝗜𝗞𝗔𝗟𝗜 𝗭𝗜𝗙𝗔𝗡𝗬𝗜𝗞𝗘 𝗠𝗔𝗞𝗔𝗢 𝗠𝗔𝗞𝗨𝗨 𝗬𝗔 𝗡𝗖𝗛𝗜 - 𝗗𝗞𝗧. 𝗠𝗪𝗜𝗚𝗨𝗟𝗨
Asisitiza Taasisi za Serikali zinapaswa kufahamu kwamba makao makuu ya nchi ni Dodoma
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba...
Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ambaye ni kipenzi cha wanachama anatarajia kujitosa katika mbio za kuania uwenyekiti wa CHADEMA.
Uchaguzi huo unaitishwa baada ya...
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefafanua kuwa kuzuiwa kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kufanya shughuli zake za kisiasa hakutokani na uamuzi wa CCM wala Serikali, bali ni maagizo ya...
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema kuwa katika siku za hivi karibuni Tanzania imepitia kipindi kigumu kilichosababisha taifa kutetereka, lakini...
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Singida kimewaonya baadhi ya wananchi wanaotumia imani za kishirikina kukwamisha miradi ya uchimbaji wa visima vya maji.
Kimesema hali hiyo inachangia...
Jana tarehe 21 hapa Mbeya hawa vijana wa Chadema walikuwa na shughuli zao za kumbukumbu ya miaka 33 ya chama chao , kama kawaida walipita pita kwa wadau wao kuomba kuchangiwa na kukaribisha watu...
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amewasili muda huu katika msiba nyumbani kwa marehemu Edwin Mtei, aliyefariki dunia Januari 19.
Mtei alikuwa ni...
Akizungumza leo Januari 22, 2026 katika Mkutanao na wazee wa jiji la Dar es Salaam, Mzee Butiku amesitisha mkutano huo kurushwa mubashara akiwataka waaandishi wa habari kuwapisha na kwamba...
"Chama chetu [CHADEMA] kitajenga Chuo cha Kumbukumbu ya Edwin Mtei pale kwenye viwanja vyetu Dar es Salaam, eneo la Soga ili kiwe kinafundisha vijana wetu uadilifu, uongozi, namna ya kupinga...
Kwa asili wanawake wanasengenya na ni wambea haijalishi ni rais. Ukimsengenya rais au akipelekewa umbea kwa rais basi kama ni mteule wake ujue ndio mwisho wako.
Nimesema hivyo maana kuna mtendaji...
Nchi kadhaa barani Afrika zinaomba msaada wa kifedha kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), misaada inayoambatana na masharti magumu ya kisera yanayoathiri maamuzi ya kiuchumi na uhuru wa...
Kuna mtu kasema eti PEOPLE'S POWER haina nguvu mbele ya silaha. Sijui anamaanisha nini..,lakini ni wazi anafanya upotoshaji wa wazi na wa makusudi. Sayansi ya siasa na historia vinathibitisha...
Hamjambo wote!
1. Ebana eeeh! Lazima tuseme ule ukweli ili utuweke huru. Tukisema tunamung'unya maneno na kujiumauma tutaishi kwenye kiza na shimo miaka na miaka.
2. Tumefundishwa tangu tukiwa...
Sina shida na ulemavu je huyu bwana ni mlemavu wa macho? Au ana aibu au ni ana makengeza kama ya Hayati mtei? Mwambieni tunapambana kuliponya taifa yeye awakusanye wazee wanao taka kujua mahali...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi katika Mji wa Serikali, Mtumba–Dodoma, siku ya Alhamisi, Januari 22, 2026, kuanzia saa 3...
Wanachama wa Chama cha CHADEMA mkoa wa Rukwa Wilaya ya Nkasi hii leo Januari 21, 2026 walijitokeza kupanda miche 1,600 ya miti mbali mbali katika wilaya hiyo katika kumbukizi ya miaka 33 ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.