Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wanabodi, Zawadi yangu kwa Birthday ya Mama nilipanga kumpa wiki ya mwisho ya October 2025, Ili zawadi hii iwe na maana na manufaa kwake, imebidi itolewe mapema, nikisubiri mpaka hiyo 2025, it...
8 Reactions
32 Replies
3K Views
Mzanzibari asijekuwa tena Kiongozi wa Tanganyika
14 Reactions
43 Replies
535 Views
  • Redirect
Huyu mama hata kama anamsapoti Mama Samia hakupaswa kuongea mbele ya umma. Kwanz hakuna mkatoliki anayebeba hii biblia ya kiprotestanti. Pia kakosea kutaja jina la jumuiya yake na mwisho kamaliza...
0 Reactions
Replies
Views
Wakati wa kujadili hotuba ya Rais Samia, Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini mkoani Tanga, Timotheo Mzava amesema "Natambua nihamu ya watanzania lakini ni hamu ya wabunge wa bunge hili kwamba kama...
2 Reactions
21 Replies
461 Views
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amesema serikali itaendelea kuwakamata na kuwachukulia hatua wote wanaotengeneza akaunti kwenye mitandao ya kijamii kisha kuzitumia kutukana na...
5 Reactions
38 Replies
677 Views
SIku zote mwovu huwa ni muoga wa uovu wake, hasa ukijulikana kwa wengi. Toka mwanzo, Tume ile iliyoundwa na mtuhumiwa namba 1 wa Mauaji ya 29 Oktoba, wengi waliistukia na kusema ni tume bandia...
7 Reactions
7 Replies
227 Views
Salaam! Nani hasa hupata usingizi mwororo usiku? 1. Ni Samia mwenye godoro nzuri ,chumba kizuri chenye AC kimezungukwa na askari wa Kila aina wenye silaha mbalimbali? 2. Ni Tundu lissu aliyeko...
2 Reactions
52 Replies
706 Views
Ubalozi wa Tanzania nchini Sweden umeratibu ushiriki wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uzinduzi wa Mkutano wa Afya kati ya nchi za Nodiki na Afrika uliofanyika tarehe 22...
1 Reactions
1 Replies
94 Views
Tunapozungumzia utendaji Serikalini, msisitizo ni uadilifu na uwajibikaji wa Serikali kwa wananchi waliotuchagua ili kuhakikisha wananchi wananufaika na rasilimali za nchi pamoja na kupata huduma...
0 Reactions
1 Replies
73 Views
https://youtu.be/A9g01IWawAs?si=MpgoXABf4N-5Efu-
1 Reactions
8 Replies
254 Views
Jumapili ni tulivu! Pamoja na kwamba Tuna PM wa mchongo, na wakati huo Namba moja na Namba mbili hawapatani wanaogopa kutiliana sumu tuangalie hapa chini Haina ubishi wote mliokuwapo wakati wa...
34 Reactions
28 Replies
763 Views
Hotuba ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ilitoa maelekezo na kubainisha changamoto pamoja na majukumu yanayotupasa kuyatekeleza kwa kushirikiana na wananchi na wadau wengine wa...
0 Reactions
0 Replies
91 Views
Naona kuna dalili zoote kuwa Rais wetu ajaye baada ya huyu wa sasa kuwa mwanamke! Naomba hili liwe reference kwa 2025!
43 Reactions
255 Replies
22K Views
Mwenyekiti wazamani wa CHADEMA Freeman Mbowe akiwa na vijana na makada wa zamani wa CHADEMA ambapo walihamia kwenye chama Cha CHAUMMA . Vijana wanajichekesha tu wenyewee
16 Reactions
58 Replies
1K Views
" Niwaombe watanzania wenzagu hii nuru tuliyonayo si kitu cha bedha wala siyo kitu cha kutikisa na kwenda kujaribu, na wasahili wanasema sumu haijaribiwi kwa kuonja tumejionea sisi wenyewe...
2 Reactions
17 Replies
432 Views
Magufuli yeye aliigeuza chato kuwa IKULU na Kuna siku aliwaapisha mawaziri pale nyumbani kwake alipo zikwa tukahoji tukaambiwa bwana IKULU ya Dsm ni NZITO mno unaitaji kusafishwa. Baadae...
7 Reactions
41 Replies
870 Views
Samia Suluhu Hassan hana cha kutuambia Watanganyika. Yaani atasema nini ambacho kitafanya tumuelewe miezi Miwili baada ya kuua watoto wetu? Uongozi wake umeua watu zaidi 6a Waliokufa vita ya...
20 Reactions
34 Replies
602 Views
Huyu kijana ni miongoni mwa watoto wa viongozi wa Kiafrica waliolewa madaraka ya Baba zao , amejaa dharau , kiburi na Majivuno ya kijinga sana , ana kiburi kuliko hata watoto wa Saddam Hussein ...
29 Reactions
118 Replies
8K Views
Huyu Samia sijui kama yuko sawa kwenye bichwa lake,analinganisha mauaji ya October 29,2025 na mauaji ya Zanzibar yale ya mwaka 2001,huku akidai ni jambo la kawaida, Sawa mauaji ni mauaji lakini...
15 Reactions
29 Replies
985 Views
Kuna Vitetesi fulan japo 2025 ni mbali ila kwa uoga wa Rais Magufuli, endapo akikubali kuachia madaraka basi atauingilia Uchaguzi kuanzia mchakato wa Mgombea ndani ya Chama hadi Uchaguzi Mkuu kwa...
18 Reactions
103 Replies
10K Views
Back
Top Bottom