Ww ni jipu lililoiva muda wowote utatumbuka.Naona kuna dalili zoote kuwa Rais wetu ajaye baada ya huyu wa sasa kuwa mwanamke!
Naomba hili liwe reference kwa 2025!
Kaweka angalizo tuWw ni jipu lililoiva muda wowote utatumbuka.
2025 mtifuano utakua mkubwa sana na wa aina yake, suluhisho itakua kwa mwanamke! Na Atashinda!Mkuu kwa nchi yetu bado sana mwanamke kukubalika ktk nafasi hiyo......lakini pia mpaka sasa hv hakuna mwanamke yeyote ktk nafasi yoyote aliyefanya makubwa ili kushawishi uma hususani wanaume kuwakubali kwenye uongozi.
Magufuli mpaka 2050! Kama hulijui.
MLETA MADA ANATAKA TUPIGWE MARUFUKU KUFIKIRIA KAMA WALIVYOPIGWA MARUFUKU WALETA FYOKO NA WANAOMJARIBUNyie mchongeeni tu kwa Mungu, na Mungu hajaribiwi shauri yenu na kufuru zenu hizo.
Pia kwa nchi zetu za ki-Afrika, mkitaka kuchagua rais mwanamke, angalieni ameolewa na nani. Maana huyo mmewe ndiye atakayekuwa rais wenu wa nyuma ya pazia.Mkuu kwa nchi yetu bado sana mwanamke kukubalika ktk nafasi hiyo......lakini pia mpaka sasa hv hakuna mwanamke yeyote ktk nafasi yoyote aliyefanya makubwa ili kushawishi uma hususani wanaume kuwakubali kwenye uongozi.