Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar: Maadili kama Mkakati wa Kisiasa
Katika historia ya siasa za Zanzibar, Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) imekuwa ikitangazwa kama suluhisho la migogoro ya...
Lissu started questioning whereabouts of the President on March 7th 2021. As per the Vice President our President Dr. John Magufuli was hospitalized on 6th March 2021.
This clearly shows Lissu...
Wakuu msimamo ni ule ule labda kifo ndio kitatutenganisha samia na gange lake na wakuu wa majeshi lazima wakanyee debe kwa matendo yao.
Hatutawaacha wala kukubali upumbavu wowote kwa naman yoyote...
Ni vema ukayafahamu haya mapema kwa faida yako
Bali wadau wengi wanajiuliza kwamba ni kitu gani ambacho Serikali ya Tanzania inaweza kufanya, maana unaambiwa ni afadhali hata mtoto mwenye Polio...
“Maridhiano yawe baina ya serikali na watanzania, Sio CCM na CHADEMA, Kwa sababu mamlaka yapo mikononi mwa watanzania sio vyama vya siasa” Deus Kibamba, Mchambuzi wa Siasa
Haya mabenki wadau ni tatizo. Yaani nimecheki balance nikakuta hela yangu imefyekwa ikabidi nichukue/nicheki statement fupi kupitia App ya NMB na kukuta nimekatwa shilingi 5, 000 na kitu kama...
Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Njombe, Beatrece Malekela, Januari 24, 2026 wakati wa kikao cha Baraza la UWT Wilaya, amesema;
"Wako wapendwa wetu wengi walipoteza Maisha kwenye vurugu zile...
Kwamba muwekezaji Rashid ni mjinga aamke na kuanza kubomoa kama mwehu bila kuogopa mali za watu? Eneo ni mali ya CCM chama cha mafisadi nawezi.
Kwanini alipokuwa anabomoa hao CCM wapo kimya...
Vinara wa rushwa ndiyo viongozi fake: Samia, Mwigulu, Kikwete na Rostam. Ndiyo maana Polepole hatunaye leo na Lissu kafugwa leo bila hata kuhukumiwa!!!
Bila kuwaondoa hawa Tanzania tutabaki...
Tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi Tanzania Mwaka 1992, safari ya kuelekea demokrasia kamili imekuwa na milima na mabonde.
Mfumo huu ulianzishwa kwa lengo la kutoa uwanja mpana wa mawazo...
Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 nchini Tanzania uliingia kwenye vitabu vya historia si kwa wingi wa Wapiga Kura bali kwa mazingira magumu yaliyozunguka uhuru habari na uhuru wa maoni.
Ibara za 18 na...
Lack of sense. Yaani kukosa akili ya kuweza kug'amua mambo ya msingi kama mtu makini. Ni upumbavu na upuuzi.
Wataalamu waliochini ya halmsahauri wote wanalipoti kwa baraza la madiwani.
Msukuma...
Tangu yalipofanyika maandamano na baadaye vurugu wakati wa uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 na baada ya hapo, kumekuwa na hofu kubwa kwa wananchi kutokana na kuongezwa kwa ulinzi wa polisi na Jeshi la...
Unatudharau sana hasa sisi Wakulima wa Igunga tunalima chakula na kulisha hiyo Ilamba yote na kulipa kodi?
Yaani kiongozi au mtumishi wa umma akijaza fomu za maadili kuwa ana mali aina fulani...
Kumnyanyapaa mtu ni jambo baya sana.
Lakini inadaiwa kuwa tangu Oktoba 29 Watanzania mmekuwa mkimnyanyapaa rais Samia sababu tu ni mwanamke.
Je ni kweli?
Chanzo cha mjadala, soma>> Mwenyekiti...
Salam wanajamvi, kwa namna mambo yalivyo ni wazi ushiriki na imani ya wananchi kwenye mambo ya siasa umepungua, nikiwa na maana ni ngumu kwa mwananchi wa kawaida kuamini nini viongozi wanacho...
Jina lake ni Salome Simon mzazi wa Joshua Zacharia na Daudi Shine Joshua ambao wanasota rumande kwa kosa la mashtaka ya uhaini.
Leo Januari 26, 2026 alifika katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu...
Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka Watanzania kujivunia mifumo ya nchi yao katika kusimamia rasilimali na kusema kuwa Tanzania bado ni "mwalimu" kwa mataifa mengi ya Afrika...
WAZIRI MKUU: SERIKALI IMEIMARISHA TAKUKURU KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.