Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hakuna reforms, hakuna uchaguzi utakaofanyika; mageuzi hayaletwi na malaika, mageuzi yataletwa na sisi. — John Heche
17 Reactions
67 Replies
3K Views
According to the Affidavit sworn by ACP AMIN MAHAMBA, during the investigation, he received information from the intended prosecution witnesses that the Respondent's associates are planning to...
3 Reactions
53 Replies
3K Views
Wapinzani wa Tanzania bila polepole kuongea hawana hoja, zamani walikuwa wanamfatilia Mange kimambi Sasa naona wameona hoja zake ni zakitapeli, Mpina sijui wameishia wapi 🤣 CCM inaingia kwenye...
2 Reactions
25 Replies
714 Views
Katika uhalisia samia alianza vizuri na alikuwa na njia zote za kujenga akubalike kama raisi ambapo hata tungeweka tume huru angeshinda lakini amefanya makosa na amechagua njia mbaya inayomchafua...
2 Reactions
2 Replies
362 Views
Wakili Mkuu wa Serikali amewekà mezani kwa Hakimu kwamba kesi inatoendelea ya Lisu anayeshtakiwa mbele ya Mahakama za Tanzania isioneshwe live, inaleta tafsiri gani kwetu wananchi? Mtazamo wangu...
10 Reactions
28 Replies
2K Views
Hamjambo! Unajua kuna watu wanadunia ya peke Yao. Hasa kwenye hawa Vituko Show, au Futuhi. Kina Yericko Nyerere na wenzake ni watu wenye vipaji bora sana katika ufutuhi na standup comedy. Coy...
17 Reactions
43 Replies
1K Views
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Samandito Gombo, akiambatana na Mgombea wake mwenza Husna Abdallah, leo Agosti 13, 2025, amechukua fomu ya...
0 Reactions
3 Replies
421 Views
Kwa hali ilivyo na 'maandalizi' ya uchakachuaji uchaguzi, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilishashinda uchaguzi hata kabla ya kupiga kura. Ili kuepuka kutupotezea fedha na muda, nashauri Tume Isiyo...
5 Reactions
7 Replies
420 Views
Mtafuteni Prince Bagenda anajua vizuri historia ya vyama vingi hapa nchini, masuala yanayohusu usalama wa nchi hayawezi kugeuzwa kwa namna ya kisiasa halafu watawala wakakaa kimya, Mimi...
10 Reactions
50 Replies
2K Views
Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa, Sisty amesema Sheria ya Gharama za Uchaguzi haijaweka ukomo wa kuchangia fedha za uchaguzi na kwamba sio lazima fedha walizochangisha CCM zote zitumike kwenye...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Kada wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), James Mbowe, amewataka Watanzania kumtanguliza Mungu na kukemea vikali mwenendo unaoanza kuenea wa kushangilia vifo vya viongozi wa kisiasa...
1 Reactions
26 Replies
1K Views
Ukifika Dsm pale mbezi wewe km ni usalama wa taifa unaweza kulia, yaani Kuna wachungaji wengi wanaubili injili pale na wanakili wazi kabla ya kuokoka walikuwa majambazi, na waliisha us sana watu...
2 Reactions
0 Replies
275 Views
Nimeona katika Channel Ten polisi wametoa ripoti kwamba marehemu Ally aliyeuawa katika maandamano ya Chadema Morogoro amefariki kutokana na kugongwa na kitu kizito sio risasi, hiyo ni baada ya...
0 Reactions
145 Replies
13K Views
Vijana wengi wa umri huu watakuwepo Tanzania kwa miaka 40! Sasa serikali ikifanya hivi inatengeneza jamii gani kwa miaka 40 ijayo. Samia hazidishi miaka 5 anaondoka !! tafakari hili. Kuna ambao...
2 Reactions
11 Replies
583 Views
Kwa namna walivyokomaa Nadhani Chadema wanaweza kupata ufuasi mkubwa kwenye chaguzi ndogo Nakumbuka ya Lyatonga Mrema na Cisco pale Temeke Tuzidi kuwaombea Ahsanteni sana 🙏
0 Reactions
6 Replies
336 Views
Asante mungu leo ni wiki moja toka tumemaliza uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Kalenga nikiwa salama kabisa ,tofauti na watu wengi wanavyodhani uchaguzi mdogo uwe wa udiwani ama ubunge hapa kwetu...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
1. Januari 5, mwaka jana, saa tano wakati Jeshi la Polisi mkoani Arusha lilipoamua kutawanya maandamano ya wafuasi na mashabiki wa Chadema walioandamana kilomita moja kutoka Hotel ya Mount Meru...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu! Harambee za kisiasa zimekuwa sehemu ya kawaida katika kampeni, na Tanzania hatuko mbali na hilo. Hofu yangu michango mikubwa, hasa inapokusanywa na chama kimoja, huibua mjadala iwapo...
0 Reactions
3 Replies
345 Views
Wakuu, ==== katika kipindi hiki cha uchaguzi baadhi ya vyama vimekuwa vikigawa vyakula kama vile (Ubwabwa) vinywaji na zawadi zingine kama vitenge tisheti, baisketi, pikipiki kwa wananchi...
0 Reactions
1 Replies
403 Views
Mahakama ya Tanzania imeshuka viwango sana. Kesi za kisiasa zinatolewa maelekezo kiasi kwamba hata maamuzi mengi ya mahakimu na majaji ni mpaka wakaongee na wakubwa wao badala ya kufuata sheria ...
6 Reactions
16 Replies
774 Views
Back
Top Bottom