2mbaku
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 316
- 67
1. Januari 5, mwaka jana, saa tano wakati Jeshi la Polisi mkoani Arusha lilipoamua kutawanya maandamano ya wafuasi na mashabiki wa Chadema walioandamana kilomita moja kutoka Hotel ya Mount Meru kwenda Viwanja wa NMC. Wakati wakiwatawanya maandamano hayo, vijana watatu akiwamo mmoja kutoka Kenya walifariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa.
2. Wiki iliyopita, polisi mkoani Morogoro walisababisha kifo cha mtu mmoja, Ally Zona na wengine wawili kujeruhiwa katika harakati za kuvunja maandamano ya Chadema.
3. Kifo cha kutisha cha Mwangosi kilichotokea Mkoani Iringa.
nk.
Tume zimeudwa.
Asante kwa hilo.Lakini haziaminiki.
Vipi kuhusu ripoti za tume hizo mbona kimya, na mbaya zaidi wauaji wako wazi?
Damn Tanzania!!!!
2. Wiki iliyopita, polisi mkoani Morogoro walisababisha kifo cha mtu mmoja, Ally Zona na wengine wawili kujeruhiwa katika harakati za kuvunja maandamano ya Chadema.
3. Kifo cha kutisha cha Mwangosi kilichotokea Mkoani Iringa.
nk.
Tume zimeudwa.
Asante kwa hilo.Lakini haziaminiki.
Vipi kuhusu ripoti za tume hizo mbona kimya, na mbaya zaidi wauaji wako wazi?
Damn Tanzania!!!!