Mahakama ya Tanzania imeshuka viwango sana

Mahakama ya Tanzania imeshuka viwango sana

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,586
Reaction score
14,911
Mahakama ya Tanzania imeshuka viwango sana. Kesi za kisiasa zinatolewa maelekezo kiasi kwamba hata maamuzi mengi ya mahakimu na majaji ni mpaka wakaongee na wakubwa wao badala ya kufuata sheria . Mahakama ilikuwa sehemu ya wasomi inayo heshimika sasa mahakama imekuwa sehemu ya kisiasa na sio kisheria zaidi. lissu kapigania sana mahakama lakini hawajitambui maana wamejazwa makada kwenye ujaji na uhakimu. Udini udini umekuwa mwingi sana
 
Mfano mstaafu IGP siro kuwa na cheo kikubwa CCM.Ina maana cheo chake kakipata sababu ni mwananchama wa CCM. Ndio maana wanawasapport CCM kwa upuuzi wao.
 
Mahakama ya Tanzania imeshuka viwango sana. Kesi za kisiasa zinatolewa maelekezo kiasi kwamba hata maamuzi mengi ya mahakimu na majaji ni mpaka wakaongee na wakubwa wao badala ya kufuata sheria . Mahakama ilikuwa sehemu ya wasomi inayo heshimika sasa mahakama imekuwa sehemu ya kisiasa na sio kisheria zaidi. lissu kapigania sana mahakama lakini hawajitambui maana wamejazwa makada kwenye ujaji na uhakimu. Udini udini umekuwa mwingi sana
Mahakama ya Tanzania itaendelea kuzingatia misingi ya kisheria na uwazi katika kutoa haki dhidi ya mashauri mbalimbali yanayowasilishwa huko.

Mahakama za Tanzania zitaendelea kua vinara wa kutoa kwa haraka bila kuchelewa wala upendeleo kwa pande zote.

Uhuru wa Mahakama za Tanzania ni wa viwango vya kimataifa gentleman 🐒
 
Mahakama ya Tanzania itaendelea kuzingatia misingi ya kisheria na uwazi katika kutoa haki dhidi ya mashauri mbalimbali yanayowasilishwa huko.

Mahakama za Tanzania zitaendelea kua vinara wa kutoa kwa haraka bila kuchelewa wala upendeleo kwa pande zote.

Uhuru wa Mahakama za Tanzania ni wa viwango vya kimataifa gentleman 🐒
Endelea kulala tuu
 
Mahakama ya Tanzania itaendelea kuzingatia misingi ya kisheria na uwazi katika kutoa haki dhidi ya mashauri mbalimbali yanayowasilishwa huko.

Mahakama za Tanzania zitaendelea kua vinara wa kutoa kwa haraka bila kuchelewa wala upendeleo kwa pande zote.

Uhuru wa Mahakama za Tanzania ni wa viwango vya kimataifa gentleman 🐒


Haya ni maono ya wabenuaji wa kisiasa sio watanzania wengi
 
Ni kama Leo Hakimu anaogopa kutoa amri je kesi iendelee mubashara au sio. Anasema atatoa amri siku ya committal.. Hapo Ina maana anasubiria apigiwe simu ya maelekezo.
 
Mahakama ya Tanzania itaendelea kuzingatia misingi ya kisheria na uwazi katika kutoa haki dhidi ya mashauri mbalimbali yanayowasilishwa huko.

Mahakama za Tanzania zitaendelea kua vinara wa kutoa kwa haraka bila kuchelewa wala upendeleo kwa pande zote.

Uhuru wa Mahakama za Tanzania ni wa viwango vya kimataifa gentleman 🐒
Gentleman hata Mimi naona hasa zinapokuwa ni kesi za chadema uhuru na uwazi unaonekana sana.yaani sanaa
 
Makonda alisema ukiwa na kesi usiende mahakamani hutapata haki yako. Makonda alikuwa sahihi kwa tz mahakamani haki hakuna ni maelekezo tu. Hakimu anakuwepo kutekeleza maagizo
 
Mahakama ya Tanzania itaendelea kuzingatia misingi ya kisheria na uwazi katika kutoa haki dhidi ya mashauri mbalimbali yanayowasilishwa huko.

Mahakama za Tanzania zitaendelea kua vinara wa kutoa kwa haraka bila kuchelewa wala upendeleo kwa pande zote.

Uhuru wa Mahakama za Tanzania ni wa viwango vya kimataifa gentleman 🐒
Power of Gangs & Islamists
 
Mahakama ya Tanzania imeshuka viwango sana. Kesi za kisiasa zinatolewa maelekezo kiasi kwamba hata maamuzi mengi ya mahakimu na majaji ni mpaka wakaongee na wakubwa wao badala ya kufuata sheria . Mahakama ilikuwa sehemu ya wasomi inayo heshimika sasa mahakama imekuwa sehemu ya kisiasa na sio kisheria zaidi. lissu kapigania sana mahakama lakini hawajitambui maana wamejazwa makada kwenye ujaji na uhakimu. Udini udini umekuwa mwingi sana
Sio image nzuri kwa nchi, inaonekana hawawezi kufanya maamuzi mpaka wapigiwe simu, judiciary system inahitaji reforms

Ni hopeless hata kupeleka kesi , ikiwo ulishajua outcome za kesi hiyo
 
Mahakama ya Tanzania imeshuka viwango sana. Kesi za kisiasa zinatolewa maelekezo kiasi kwamba hata maamuzi mengi ya mahakimu na majaji ni mpaka wakaongee na wakubwa wao badala ya kufuata sheria . Mahakama ilikuwa sehemu ya wasomi inayo heshimika sasa mahakama imekuwa sehemu ya kisiasa na sio kisheria zaidi. lissu kapigania sana mahakama lakini hawajitambui maana wamejazwa makada kwenye ujaji na uhakimu. Udini udini umekuwa mwingi sana
Hili suala la mihimili mikuu ya nchi (Mahakama na Bunge) kutekwa na Serikali si jambo jipya. Tatizo ni kwamba tunajifanya hatuelewi na tunaona kinachoendelea sasa kama kitu cha ajabu, ilhali hakuna cha ajabu hapo, kilitarajiwa. Adui anayekumudu atakufanyia lolote atakalo, na huna lolote utakalomfanya. CCM inawamudu Watanzania, na hakuna kitu kitakachofanyika dhidi yao. Watanzania tumebakia kuamini katika miujiza na karma bila kuchukua hatua yoyote. Maumivu yatakapokuja mbeleni yatakuwa makali sana, na bado hatutafanya chochote zaidi ya kusubiri miujiza.
 
Back
Top Bottom