Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

On JF:

Kama msichana umeolewa na mwanaume ambaye tayari umemkuta na vitu vyake, I mean may be umemkuta na mali kama Nyumba, magari na vitu kama hivyo, na kila kitu kipo kwenye jina lake. je kwa kisheria...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Assalaam Alleikhum wana JF, Nakuombeni, yeyote anayejua chuo chochote na kutoka popote, kinachotambulika hapa TZ na kinatoa diploma au/na degree za sheria kwa njia ya correspondence/distance...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Watawala wasioheshimu utawala wa sheria, wanatawalaje? Mwandishi Wetu Aprili 29, 2009 Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo KUNA kila dalili kuwa watawala wetu wana tatizo la kuheshimu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
EU judges want Sharia law applied in British courts By Daily Mail Reporter Last updated at 8:01 AM on 27th April 2009 Controversial: An EU plan is calling for family courts across Europe to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wananchi; nahisi sasa hii nchi inaelekea sipo;na kama raisi anashindwa kuwasimamia hawa anaowaajiri basi wananchi imefika saaa ya kuamka na kufanya yale tunayoyaitaji Hivi karibuni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Muswada wa Sheria ya DNA wapitishwa Thursday, April 23, 2009 11:53 AM BUNGE la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania imepitisha muswada wa sheria ya kusimamia matumizi ya Teknolojia ya DNA ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Issue: with technology taking its path in our daily lives, can Bakwata grant a divorce based on the text message? Saudi man divorces wife by text message Thu Apr 9, 10:19 am ET RIYADH...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mbunge wa Simanjiro Christopher Ole Sendeka ameongezewa shitaka la kumtishia kumpiga kwa bastola Mwenyekiti wa umoja wa vijana wa CCM mkoa wa Arusha, James Ole Millya. Shitaka hili liliongezwa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mara nyingi nimekuwa nikiona kwenye 'traffic jam' madreva wa magari ya jeshi la polisi au JWTZ wakiwasha 'emergency lights' na kutanua na halafu wakishapita magari mengine yanawafuata nyuma na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu zangu wenye upeo mkubwa kwenye mambo ya kisheria, naomba mawazo yenu kwenye hii scenario hapa chini: Hapo zamani la kale baba yako kabla ya kufariki analikujulisha kwamba anashare kwenye...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Sheria za kumwajiri mtu,kibarua, mshahara na kadhalika zinaweza kupatikana wapi? Thank you.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Jamani mwenye sheria hizi atuwekee hapa tafadhali
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Who is visiting "Ze Utamu"? Athari za Utandawazi na haki za Utamaduni wa mtanzania Kuna hii web site inayosumbua akili za watanzania wengi sana nimeamua kuitumia kuelezea suala la usimamizi wa...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Move to remove law that bars Catholics from marrying into British royal family Robert Winnett, TELEGRAPH, London March 27, 2009 BRITISH Prime Minister Gordon Brown has opened talks with...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
The government has established a number of Regulatory authorities among others includes: EWURA,SUMATRA,TACRA,TFDA etc.etc... . I am flabagasted by the way they operate! It is understood that...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Although Tanzania expects to have a new mining law adopted before June, the nation's Energy & Mines Minister William Ngeleja said it will not significantly affect existing mining operations...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna jambo linanitatiza kwa muda sasa, nimefikiria sana jibu lake silipati. Nimeona niliweke hapa mbele yenu muweze kunisaidia. Mtu anapoamua kugombea ubunge anakuwa na kazi yake anayoifanya labda...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Inasikitisha sana sikilizeni Dullonet Tanzania | Sikiliza Hekaheka toka mtaani na CloudsFM
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa mtindo huu, mimi nimeshajikatia tamaa wazalendo wenzangu!!!! Tunafinga point watu wachache kumbe jamii nzima imeoza.... origina document should be this Kwa hisani ya Habari Leo Joseph...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wasalaam, Natumaini unakumbuka vizuri sana kuhusiana na suala ulilowahi kuuliza hapo nyuma kuhusu sheria inayohusiana na masuala ya pornography. Napenda kukujulisha ya kwamba sheria Namba 6 ya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Back
Top Bottom