Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Toa mchango wako jinsi unavyoifahamu sheria ya ndoa ya Tanzania na utendaji wake?
Dondoo
at which grounds ndoa itavunjwa na mgawanyo wa mali uko vipi.
je mali zinazokuwa zimeandikwa katika jina...
Waziri wa sheria akiri kasoro katika katika kesi za madai
Na Exuper Kachenje
WAZIRI wa Sheria na Katiba, Mathias Chikawe, amesema serikali inaangalia uwezekano wa kuondoa utaratibu wa...
Serikali inaanda rasimu ya sheria ya kudhitibi umuliki wa vyombo vya habari. Katika mapendekezo ya awali ya sheria hii yanalenga kuzuia mtu (au taasisi?) mmoja kutomiliki zaidi ya chombo kimoja...
Wabunge waache kuendekeza vitendo vya uvunjaji wa sheria
Na Mhariri
29th May 2009
Jana vyombo kadha vya habari, viliripoti habari zikiwanukuu baadhi ya Wabunge wa Kamati ya Fedha na Uchumi...
Wadau wa habari wayakataa mapendekezo ya sera mpya ya habari Tanzania
WADAU wa sekta ya habari nchini jana walikataa mapendekezo ya sera mpya ya habari na kuunda kamati itakayokusanya maoni...
Mjeshi aliyemchapa Trafiki,anyea debe!
Jeshi letu la Wannanchi (JWTZ), limenasa na kumtupa lupango Koplo Steven Sagana, kwa kuhusika na kosa la kuongoza kichapo kwa askari wa Usalama...
Naomba kujua kama naweza kumfungulia mtu mashtaka kwa niaba ya NCHI/JAMHURI.
Nasema hivyo baada ya kuchoshwa na ngonjera za serikali,kuwa ushahidi haujakamilika kumfikisha mtuhumiwa mahakamani
Ndugu,
Idara ya habari inaandaa mabadiriko ya sera ya utangazaji. Sera inapendekeza kikomo cha umiliki wa vyombo vya habbari. Ukimiliki kituo cha kurusha matangazo ya radio, basi ni radio tu...
kutoka hapa
Wash. state has first death under new suicide law - Yahoo! News
Demokrasia gani hii?
OLYMPIA, Wash. A 66-year-old woman with terminal cancer has become the first person to die...
Habari zetu wana JF;
Naombeni msaada wenu katika suala zima la sheria za jinai.
Ninasikia kwamba sheria huwa zinabadilishwa kutokana na sababu moja ama nyingine. Kwamba kitendo fulani huenda...
Ijumaa ya tarehe 15 wiki hii, ilikuwa ni siku mbaya kwa wafanyakazi wa ZAIN TZ kwani ilishuhudiwa wafanyakazi 25 wakipewa barua za kuachishwa kazi kwa stahili ya kudhalilishwa.
Wafanyakazi hao 25...
Kukatika na kurudi kwa kasi kwa umeme kumesababisha fridge na jiko tulilonalo liungue. Nifanyeje kuwa shitaki kwa ajili ya kutulipa fidia hawa Tanesco?! Inauma sana kuona hivi vifaa vinaharibika...
EAC Presidents pose for a photograph. Tanzania is seeking reputable local and international consultancy firms to identify key legal areas for harmonisation of the national ID management system...
Nimepata taarifa rasmi kutoka kwa source yangu ndani ya LST kampasi ya DUCE kusitishwa kwa masomo pale kampasi ya DUCE kutokana na mgomo ulioanza wiki mbili zilizopita. Taarifa zinasema kwamba...
SerikaliI inatarajia kuandaa muswada wa sheria kwa lengo la kuwahakikishia hifadhi na usalama zaidi watu wenye ulemavu nchini wakiwamo maalbino.
Kwa sasa iko katika mchakato huo ambao baada ya...
Washington DC city council has voted to recognise same-sex marriages conducted in other US states.
Because Washington DC is not a state, the decision will now have to be approved by Congress...
Mpaka sasa wananchi wameweza kuona ni kwa jinsi gani matatizo yanayoikumba nchi yetu yanazidi kuongeza licha ya kuwepo sheria, vyombo na taasisi mbalimbali za kisheria zenye nguvu na mamlaka ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.