Pretty
JF-Expert Member
- Mar 19, 2009
- 2,575
- 552
Kama msichana umeolewa na mwanaume ambaye tayari umemkuta na vitu vyake, I mean may be umemkuta na mali kama Nyumba, magari na vitu kama hivyo, na kila kitu kipo kwenye jina lake. je kwa kisheria hivyo vitu vitahesabika vya wote kama mmeoana? Au kuna uwezekano wa yy kubadili jina hati zote na kuandika jina lake na mkewe?
Nahitaji kujua kama hii sheria ipo.
Nahitaji kujua kama hii sheria ipo.