Nicky82
JF-Expert Member
- Mar 14, 2009
- 941
- 64
Ijumaa ya tarehe 15 wiki hii, ilikuwa ni siku mbaya kwa wafanyakazi wa ZAIN TZ kwani ilishuhudiwa wafanyakazi 25 wakipewa barua za kuachishwa kazi kwa stahili ya kudhalilishwa.
Wafanyakazi hao 25 ni sehemu ya wafanyakazi 2000 watakaopunguzwa kutoka kampuni tanzu 22 za zain africa na Mashariki ya kati, tayari kenya 141 walishaachishwa zidi ya miezi miwili iliyopita.
Kibaya hapa sio kuwaachisha lakini ni utaratibu wa jinsi zoezi lilivyoendeshwa kwani hakukuwa na vigezo vilivyoeleweka, wapo waliotumia nafasi hiyo kulipizana kisasi, kwa bosi kusuggest fulani afukuzwe sababu tu walishakosana huko nyuma.
wafanyakazi walifika kazini ijumaa kama kawaida wakiwa hawajui nani ataondoka japo ilijulikana kuwa siku hiyo wapo watakaoorudi nyumbani bila kazi.
walioachishwa kazi walipewa barua zao na hawakutakiwa kurudi tena ofisini, hapo walipo walienda makao makuu kijitonyama na kujaza form za clearance,kurudisha mali zote za kampuni kama line,laptops na vingine. Ilikuwa ni kama staili ya kuwafukuza wahalifu kwa udhalilishaji kabisa.
walilipwa mshahara wa miezi mitatu pamoja na mshahara wa namba ya miezi kulingana na namba ya miaka uliyokaa.Formula ya malipo iliyotumika ni hii:
Wenye mwaka mmoja kazini: Miezi mitatu + Mwezi mmoja
Wenye miaka miwili kazini: Miezi mitatu + miezi miwili
Wenye miaka mitatu kazini: miezi itatu + miezi mitatu
Miaka minne kazini : miezi mitatu + miezi minne
Walioko kwenya probabation: makadirio
Swali langu kwa wadau wanaofahamu taratibu za malipo baada ya kuachishwa kazi huu ndio utaratibu ulivyo??
Wafanyakazi hao 25 ni sehemu ya wafanyakazi 2000 watakaopunguzwa kutoka kampuni tanzu 22 za zain africa na Mashariki ya kati, tayari kenya 141 walishaachishwa zidi ya miezi miwili iliyopita.
Kibaya hapa sio kuwaachisha lakini ni utaratibu wa jinsi zoezi lilivyoendeshwa kwani hakukuwa na vigezo vilivyoeleweka, wapo waliotumia nafasi hiyo kulipizana kisasi, kwa bosi kusuggest fulani afukuzwe sababu tu walishakosana huko nyuma.
wafanyakazi walifika kazini ijumaa kama kawaida wakiwa hawajui nani ataondoka japo ilijulikana kuwa siku hiyo wapo watakaoorudi nyumbani bila kazi.
walioachishwa kazi walipewa barua zao na hawakutakiwa kurudi tena ofisini, hapo walipo walienda makao makuu kijitonyama na kujaza form za clearance,kurudisha mali zote za kampuni kama line,laptops na vingine. Ilikuwa ni kama staili ya kuwafukuza wahalifu kwa udhalilishaji kabisa.
walilipwa mshahara wa miezi mitatu pamoja na mshahara wa namba ya miezi kulingana na namba ya miaka uliyokaa.Formula ya malipo iliyotumika ni hii:
Wenye mwaka mmoja kazini: Miezi mitatu + Mwezi mmoja
Wenye miaka miwili kazini: Miezi mitatu + miezi miwili
Wenye miaka mitatu kazini: miezi itatu + miezi mitatu
Miaka minne kazini : miezi mitatu + miezi minne
Walioko kwenya probabation: makadirio
Swali langu kwa wadau wanaofahamu taratibu za malipo baada ya kuachishwa kazi huu ndio utaratibu ulivyo??
Last edited: