Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,525
- 1,523
NImeona hii picha ninayoambatanisha hapa chini, nikajiuliza, ni mamlaka gani na sheria zipi ambazo zinawapa mgambo nguvu kama polisi?
[SIZE=-2]Mgambo wa Manispaa ya Ilala, wakimpeleka Kituo Kidogo cha Polisi Kisutu, Dar es Salaam, mkazi wa Jiji ambaye walimkamata kwa kukasirishwa na kitendo cha kumsaidia mchuuzi aliyekuwa akinyang'anywa toroli lililokuwa limesheheni machungwa aliyokuwa akiuza katikati ya Jiji jana. (Picha na Richard Mwaikenda) [/SIZE]
[SIZE=-2]Mgambo wa Manispaa ya Ilala, wakimpeleka Kituo Kidogo cha Polisi Kisutu, Dar es Salaam, mkazi wa Jiji ambaye walimkamata kwa kukasirishwa na kitendo cha kumsaidia mchuuzi aliyekuwa akinyang'anywa toroli lililokuwa limesheheni machungwa aliyokuwa akiuza katikati ya Jiji jana. (Picha na Richard Mwaikenda) [/SIZE]