Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Kila siku nimekuwa nikila vitu kwenye mzunguko uleule Wali Pilau Nyama za ng'ombe na kitimoto (za kukaanga, kuchoma & kuungwa na nyanya) Samaki (kuunga na nyanya & wa kukaanga) Mayai (kukaanga na...
16 Reactions
90 Replies
2K Views
Wanabodi, Sisi binadamu tofauti tofauti tuna hobies mbalimbali, wengine wanapenda kutulia sehemu moja, wengine wanapenda kusafiri safiri. Mimi hobby yangu ni safari, na kula. yaani travelling...
26 Reactions
120 Replies
11K Views
Bwana wee, kuna video huwa naona mitandaoni watu wakipika vyakula mbalimbali au kupanga vyakula kwenye sahani kwa namna ambazo zinavutia kweli, zipo ambazo nilijaribu na kufanikiwa ila nyingine...
0 Reactions
3 Replies
210 Views
Mwenzenu maisha ni kama yananichanganya maana suala la mlo limekuwa kizungumkuti. Najikuta mzunguko wa chakula changu ni ule ule - wali, samaki, maharage - Ugali, samaki, dagaa, vegetables...
15 Reactions
49 Replies
573 Views
Hi guys hope mko poa,. Kwa ambao mko na changamoto mbalimbali Mungu awafanyie wepesi mkae sawa,.. Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada,. Leo tutengeneze biscuits nzuri na tamu...
17 Reactions
24 Replies
376 Views
Hi guys,. Habari za siku nyingi Bila kupoteza mda tupike pamoja pilau nazi Kwenye sufuria yako ya kupikia utaweka mafuta, yakipata moto utaweka vitunguu na ( hoho ni optional) Utakaanga kwa muda...
17 Reactions
47 Replies
793 Views
Hi guys hope mko poa,. Tupike pamoja 1. Maharage yako ambayo yashachemshwa na chumvi utaweka maji kidogo na uweke jikoni yapate moto 2. Katakata kitunguu karoti na hoho uweke na uache vichemke...
20 Reactions
89 Replies
837 Views
Habari wakuu, Kuna jambo limekuwa likinipa mtatizo sana, wakati nakuwa nilikuwa nikipenda sana kusaidia jikoni kwenye mapishi hasa siku ya ubwabwa Maharage, huku nikimuangalia Bi mkubwa akiandaa...
1 Reactions
2 Replies
206 Views
Hi guys hope mko poa,. Tupike pamoja keki hii simpe na tamu sana 1. Utaweka blueband 200g na sukari 150g kwenye bakuli utatumia mixer kuchapa 2. Utachapa mpaka ibadilike rangi iwe inaelekea...
7 Reactions
9 Replies
247 Views
Kila mtu na anavyoonja ladha kinywani mwake, kuna sisi wengine samaki ni samaki tu bora atengenezwe vizuri hatuchagui maji bahari wala chumvi. Ila kuna watu wanasema mara samaki wa maji chumvi...
2 Reactions
29 Replies
455 Views
kula vizuri hata kama life ni ngumu.
15 Reactions
125 Replies
1K Views
Hi guys, habari za siku nyingi?? Bila kupoteza mda tupike ndizi nyama pamoja… Kwenye sufuria yako ya kupikia utaweka mafuta kidogo sana, yakipata moto utaweka kitunguu hoho na karoti Utakaanga...
9 Reactions
20 Replies
394 Views
Bila shaka karibu kila kabila hapa Tanzania hutumia ugali, ubwabwa na maharage kama chakula cha heshima, fahali. Pia ni chakula pendwa, ila vyakula vingine vilivyobaki mara nyingi ni vya...
4 Reactions
16 Replies
293 Views
Step by step atanifahamu mrembo huyu na ipo siku atafungua prime minister (PM) yake. Sikati tamaa
18 Reactions
277 Replies
3K Views
Mahitaji 1. Samaki 2. Ndizi 3.mchicha 4. Karoti 5.limao 6. Chumvi Mpalue samaki wako magamba vzr kisha muoshe vizuri baada ya hapo muweke kwenye sufuria weka maji kidogo sana na chumvi kidgo...
12 Reactions
70 Replies
1K Views
Tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo kinapika kitimoto chenye Quality yaani ukigusa utatamani kesho uje tena? Kama mnavyojua Utamu wa kitimoto upate na ugari au Ndizi za...
50 Reactions
1K Replies
141K Views
Ukitaka samaki awe na ladha nzuri basi fuata maelekezo. baada ya kumsafisha na kumtengeza samaki wako. chukua viungo vifuatavyo: 1.Kitunguu swaum 2.pilipili Manga 3.Binzari Nyembamba menya...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Kwa kiingereza tungeita street food festival). Hizi karamu sio za msimu bali zimekuwa sehemu ya maisha ya watu daily uswahilini, usijali sana ubora na usalama wake, vina ladha yake fulani...
47 Reactions
303 Replies
22K Views
Back
Top Bottom