Kila siku nimekuwa nikila vitu kwenye mzunguko uleule
Wali
Pilau
Nyama za ng'ombe na kitimoto (za kukaanga, kuchoma & kuungwa na nyanya)
Samaki (kuunga na nyanya & wa kukaanga)
Mayai (kukaanga na...
Wanabodi,
Sisi binadamu tofauti tofauti tuna hobies mbalimbali, wengine wanapenda kutulia sehemu moja, wengine wanapenda kusafiri safiri.
Mimi hobby yangu ni safari, na kula. yaani travelling...
Bwana wee, kuna video huwa naona mitandaoni watu wakipika vyakula mbalimbali au kupanga vyakula kwenye sahani kwa namna ambazo zinavutia kweli, zipo ambazo nilijaribu na kufanikiwa ila nyingine...
Mwenzenu maisha ni kama yananichanganya maana suala la mlo limekuwa kizungumkuti.
Najikuta mzunguko wa chakula changu ni ule ule
- wali, samaki, maharage
- Ugali, samaki, dagaa, vegetables...
Hi guys hope mko poa,. Kwa ambao mko na changamoto mbalimbali Mungu awafanyie wepesi mkae sawa,..
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada,. Leo tutengeneze biscuits nzuri na tamu...
Hi guys,. Habari za siku nyingi
Bila kupoteza mda tupike pamoja pilau nazi
Kwenye sufuria yako ya kupikia utaweka mafuta, yakipata moto utaweka vitunguu na ( hoho ni optional)
Utakaanga kwa muda...
Hi guys hope mko poa,.
Tupike pamoja
1. Maharage yako ambayo yashachemshwa na chumvi utaweka maji kidogo na uweke jikoni yapate moto
2. Katakata kitunguu karoti na hoho uweke na uache vichemke...
Habari wakuu,
Kuna jambo limekuwa likinipa mtatizo sana, wakati nakuwa nilikuwa nikipenda sana kusaidia jikoni kwenye mapishi hasa siku ya ubwabwa Maharage, huku nikimuangalia Bi mkubwa akiandaa...
Hi guys hope mko poa,. Tupike pamoja keki hii simpe na tamu sana
1. Utaweka blueband 200g na sukari 150g kwenye bakuli utatumia mixer kuchapa
2. Utachapa mpaka ibadilike rangi iwe inaelekea...
Kila mtu na anavyoonja ladha kinywani mwake, kuna sisi wengine samaki ni samaki tu bora atengenezwe vizuri hatuchagui maji bahari wala chumvi.
Ila kuna watu wanasema mara samaki wa maji chumvi...
Hi guys, habari za siku nyingi??
Bila kupoteza mda tupike ndizi nyama pamoja…
Kwenye sufuria yako ya kupikia utaweka mafuta kidogo sana, yakipata moto utaweka kitunguu hoho na karoti
Utakaanga...
Bila shaka karibu kila kabila hapa Tanzania hutumia ugali, ubwabwa na maharage kama chakula cha heshima, fahali.
Pia ni chakula pendwa, ila vyakula vingine vilivyobaki mara nyingi ni vya...
Mahitaji
1. Samaki
2. Ndizi
3.mchicha
4. Karoti
5.limao
6. Chumvi
Mpalue samaki wako magamba vzr kisha muoshe vizuri baada ya hapo muweke kwenye sufuria weka maji kidogo sana na chumvi kidgo...
Tujuzane kijiwe kipi kizuri kwa hapo ulipo kinapika kitimoto chenye Quality yaani ukigusa utatamani kesho uje tena?
Kama mnavyojua Utamu wa kitimoto upate na ugari au Ndizi za...
Ukitaka samaki awe na ladha nzuri basi fuata maelekezo.
baada ya kumsafisha na kumtengeza samaki wako.
chukua viungo vifuatavyo:
1.Kitunguu swaum
2.pilipili Manga
3.Binzari Nyembamba
menya...
Kwa kiingereza tungeita street food festival).
Hizi karamu sio za msimu bali zimekuwa sehemu ya maisha ya watu daily uswahilini, usijali sana ubora na usalama wake, vina ladha yake fulani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.