Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Nunua maarage masafi kabisa ambayo hayajakaa sana store Ambayo hayajakaa sana store bado yana rangi yake kama soya njano unakuta unjano umekolea sana Ila kama yamekaa store yanaanza kuwa kahawia...
6 Reactions
21 Replies
368 Views
Mwenyezi Mungu ametupatia aina lukuki za matunda lakini ukipita mitaani au ukitembelea kwenye nyumba zetu, juice maarufu ni ya Pasheni,Parachichi na embe. katika kusaka maarifa huku na kule...
0 Reactions
11 Replies
11K Views
Kijana mimi leo nakupa connection hii hakuna mtu jf hapa ata kuja kukupa hii conenction kabisa nakwambia acha ubishoo tafuta chako si vyema kujiita jobless vyeti weka pembeni fanya hii kitu...
57 Reactions
185 Replies
6K Views
Hell Nimekimbia mbio kwenda likizo nilipofika home nikaona niwaandalie maandazi kuepuka kuchomoana hela ya vitafuno morng So nikaanda unga wa ngano wa PPF kisha hamira, sukari, sodabik...
18 Reactions
112 Replies
3K Views
Habari Wamama naomba mnielekeze jinsi ya kupika Vinamba please 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Monetary doctor
6 Reactions
70 Replies
755 Views
Nimeileta hii mada huku kwa makusudi kwakuwa inahusika na mapishi lakini vile vile na afya zetu kwakuwa mapishi na afya haviachani Sehemu kubwa ya mboga za Darisalama zinatoka mabonde ya Mto...
11 Reactions
152 Replies
28K Views
Wakuu, pork ni miongoni mwa nyama zinazopendwa sana hapa Tanzania, lakini maandalizi yake yanawapa tabu watu wengi na hivyo kupelekea wengi kuifuata katika Bar au sehem zingine wanazochoma...
11 Reactions
56 Replies
50K Views
Imezoeleka siku za siku kuu watu hula pilau, biriani, chipsi kwa familia nyingi, siku ya sikukuu harufu za vyakula hushabiiana kwa nyumba nyingi kwani wengi hula vyakula vya aina moja. Ni kama...
0 Reactions
1 Replies
124 Views
Tulia hapa nikuelekeze jinsi ya kupika kitimoto kizuri cha geto na ugali Kwanza tafuta chainizi au mchicha ukate kama hivi nilivyo kata mimi Kisha anza kukaanga kitimoto chako usiwek mafuta na...
18 Reactions
115 Replies
1K Views
Sijawahi kuelewa kuna tofauti gani ya maana kati ya supu na kinachoitwa mchemsho mpaka unakuta supu unauziwa elfu tano halafu mchemsho unauziwa elfu nane. Kwanza kinachoitwa mchemsho ndio supu...
25 Reactions
58 Replies
1K Views
Wakuu nataka kuongeza uzito kidogo ushauri wenu muhimu. Hivi nile vyakula vipi kwa wingi niongeze walau kilo 5 in 2 weeks
8 Reactions
53 Replies
1K Views
Karibuni daku huu ndioda wake ukila saa kumi au kumi na moja ni sawa kuwa ujafunga maana siku mpya ina kuwa ishaanza
11 Reactions
61 Replies
652 Views
Kwa anayejua,naomba contacts za duka linalouza vifaa vya keki kwa Mwanza au Dar es salaam.
2 Reactions
5 Replies
378 Views
Na vipi, uliishia kuwa mpenzi wa kahawa au hukuipenda?
7 Reactions
75 Replies
2K Views
TAHADHARI KUU Kama una njaa na uko mbali na maeneo au mfuko hauko njema kaa mbali na huu uzi.. 😂 sitaki lawama
10 Reactions
149 Replies
4K Views
Natumaini mkopoa Tujifunze namna ya kupika chapati za maji Kwa njia rahisi na haraka pia ni moja ya vitafunwa ambavyo havina mambo mengi Mahitaji Ngano robo au kias unachopenda Kulingana na...
26 Reactions
175 Replies
10K Views
Kwa hakika kama kuna mtu kati yetu asubuhi ya leo kala tunda lolote lile basi ni wale waliolala zile hotel zenye bed n breakfast full course. Wengine wetu kwa uchache mno ni wale wafanya diet na...
43 Reactions
1K Replies
69K Views
Kwanza uta menya ndizi zako kisha andaa hoho, karoti, Kumbuka utumbo mgumu kuiva so uchemshe kwa mda mrefu Baada ya hapo anda sufiria ya kupikia weka mafuta kidogo tu yakipata moto weka ndizi...
4 Reactions
8 Replies
263 Views
Haya wapendwa kher ya mwaka mpya mwaka uwe wenye baraka na rehema kwenye familia zenu na kazi zenu . Leo nikasema nijipikilishe kapilau kangu na nyama
11 Reactions
8 Replies
372 Views
Back
Top Bottom