Nunua maarage masafi kabisa ambayo hayajakaa sana store
Ambayo hayajakaa sana store bado yana rangi yake kama soya njano unakuta unjano umekolea sana
Ila kama yamekaa store yanaanza kuwa kahawia...
Mwenyezi Mungu ametupatia aina lukuki za matunda lakini ukipita mitaani au ukitembelea kwenye nyumba zetu, juice maarufu ni ya Pasheni,Parachichi na embe.
katika kusaka maarifa huku na kule...
Kijana mimi leo nakupa connection hii hakuna mtu jf hapa ata kuja kukupa hii conenction kabisa nakwambia acha ubishoo tafuta chako si vyema kujiita jobless vyeti weka pembeni fanya hii kitu...
Hell
Nimekimbia mbio kwenda likizo nilipofika home nikaona niwaandalie maandazi kuepuka kuchomoana hela ya vitafuno morng
So nikaanda unga wa ngano wa PPF kisha hamira, sukari, sodabik...
Nimeileta hii mada huku kwa makusudi kwakuwa inahusika na mapishi lakini vile vile na afya zetu kwakuwa mapishi na afya haviachani
Sehemu kubwa ya mboga za Darisalama zinatoka mabonde ya Mto...
Wakuu, pork ni miongoni mwa nyama zinazopendwa sana hapa Tanzania, lakini maandalizi yake yanawapa tabu watu wengi na hivyo kupelekea wengi kuifuata katika Bar au sehem zingine wanazochoma...
Imezoeleka siku za siku kuu watu hula pilau, biriani, chipsi kwa familia nyingi, siku ya sikukuu harufu za vyakula hushabiiana kwa nyumba nyingi kwani wengi hula vyakula vya aina moja.
Ni kama...
Tulia hapa nikuelekeze jinsi ya kupika kitimoto kizuri cha geto na ugali
Kwanza tafuta chainizi au mchicha ukate kama hivi nilivyo kata mimi
Kisha anza kukaanga kitimoto chako usiwek mafuta na...
Sijawahi kuelewa kuna tofauti gani ya maana kati ya supu na kinachoitwa mchemsho mpaka unakuta supu unauziwa elfu tano halafu mchemsho unauziwa elfu nane.
Kwanza kinachoitwa mchemsho ndio supu...
Natumaini mkopoa
Tujifunze namna ya kupika chapati za maji Kwa njia rahisi na haraka pia ni moja ya vitafunwa ambavyo havina mambo mengi
Mahitaji
Ngano robo au kias unachopenda Kulingana na...
Kwa hakika kama kuna mtu kati yetu asubuhi ya leo kala tunda lolote lile basi ni wale waliolala zile hotel zenye bed n breakfast full course. Wengine wetu kwa uchache mno ni wale wafanya diet na...
Kwanza uta menya ndizi zako kisha andaa hoho, karoti,
Kumbuka utumbo mgumu kuiva so uchemshe kwa mda mrefu
Baada ya hapo anda sufiria ya kupikia weka mafuta kidogo tu yakipata moto weka ndizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.