Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,430
- 61,341
Hi guys, habari za siku nyingi??
Bila kupoteza mda tupike ndizi nyama pamoja…
Kwenye sufuria yako ya kupikia utaweka mafuta kidogo sana, yakipata moto utaweka kitunguu hoho na karoti
Utakaanga vikilainika utaweka ndizi zako ambazo ulishamenya na kuzikwangua vizuri
Utazikaanga kwa dakika mbili au tatu halafu utaweka nyama yako ambayo ulishaichemsha na kitunguu saumu tangawizi na chumvi,. Then utaongea chumvi kidogo
Utakaanga tena kidogo then utaweka supu ya nyama pamoja na tui la nazi vikombe viwili,. Then utafunika uache zipikike kwa dakika tano hadi kumi
Then utafunua utageuza kwa kuzungusha sufuria ili ndizi zisijikate kate,. Then utaziacha zipikike zikiwa wazi kwa dakika 1 au mbili ,. Na ndizi zako zitakua tayari zimeiva
Utaserve and ready to chop
Hope you enjoyed 😍😋😘 min -me
Bila kupoteza mda tupike ndizi nyama pamoja…
Kwenye sufuria yako ya kupikia utaweka mafuta kidogo sana, yakipata moto utaweka kitunguu hoho na karoti
Utakaanga vikilainika utaweka ndizi zako ambazo ulishamenya na kuzikwangua vizuri
Utazikaanga kwa dakika mbili au tatu halafu utaweka nyama yako ambayo ulishaichemsha na kitunguu saumu tangawizi na chumvi,. Then utaongea chumvi kidogo
Utakaanga tena kidogo then utaweka supu ya nyama pamoja na tui la nazi vikombe viwili,. Then utafunika uache zipikike kwa dakika tano hadi kumi
Then utafunua utageuza kwa kuzungusha sufuria ili ndizi zisijikate kate,. Then utaziacha zipikike zikiwa wazi kwa dakika 1 au mbili ,. Na ndizi zako zitakua tayari zimeiva
Utaserve and ready to chop
Hope you enjoyed 😍😋😘 min -me