Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Chips za mtaani zinabaki kuwa chips bora na tamu kuliko chips za sehemu yeyote ile. Though upishi wa chips ni mmoja lakini bado utashangaa radha zinatofautiana au waungwana huweka vidawa. Hasa...
6 Reactions
31 Replies
489 Views
Usiku huu hapakaliki wala hapalaliki kila nikijaribu kupumzika nashindwa kisa hamu ya kitumbua. Kuna hamu ya kawaida halafu kuna ile ambayo mie inanishika nikikitaka kitumbua. Saa tano hii...
11 Reactions
264 Replies
3K Views
Zamani wakati nakuwa nilikuwa nikisikia kutapikiwa chapati hiyo siku nitafanya yote kwa umakini kuhakikisha simkeri bimkubwa maana kaka zangu wasingenielewa, lakini siku hizi chapati zimeshuka...
2 Reactions
3 Replies
285 Views
Well for me natumia hii njia na zinakaa kwa muda mrefu sana, naziweka kwenye container au organizer kama hapo nazijaza maji😊 njia ziko nyingi wewe unafanyaje?
2 Reactions
6 Replies
308 Views
Hello Kwanza andaa mchele wako uchambue usiwe na mawe wala chuya kisha uoshee vizuri kisha loweka mchele mimi nili uloweka kuanzia asubuhi up jion so inategemeana na wewe unataka kuvipika saa...
6 Reactions
23 Replies
397 Views
Hi guys,.hope mko poa Tunavyoendelea kumwomba Mungu kuelekea kesho D9 basi tusisahau kula..... Haya tuanze Ukishaweka mchele wako kwenye rice cooker au vyovyote vile utakavyoupika,. Pembeni...
14 Reactions
59 Replies
917 Views
Inafanana na ule uzi wa vyakula ila ule ni worldwide.. Hapa kwa asilimia 100 ni vyakula tupikavyo na tulavyo kila siku Huku hakuna chopstick, hakuna kuku kwa mrija ama kula na mikono miwili yaani...
19 Reactions
2K Replies
25K Views
Habari zenu wana jamvi, heri ya sikukuu ya ya taifa letu. Naomba kuelekezwa namna ya kupika njegere za nazi na wali wa nazi.
2 Reactions
7 Replies
308 Views
Kwanza utaanda viungo vyako tangawizi kitunguu saumu na pilipili uta visaga kisha uta paka kwenye nyama na uhakikishe imekolea Kisha utaweka nyama kwenye waya hakikisha ume ipaka mafuta kidogo...
7 Reactions
53 Replies
949 Views
Habari! kuna recipes ambazo naona wanatumia “All Purpose flour” na zingine zinatumia “Heavy cream” Je, katika ile mifuko midogo ya Unga wa Ngano wa Azania (mfuko wa rangi ya nyeupe na kijani) na...
0 Reactions
0 Replies
182 Views
Beluga caviar ni chakula ghali sana duniani, na bei yake inaanzia takriban $7,000 hadi zaidi ya $22,000 kwa kilo ($3,200 hadi $10,000 kwa pauni), bei zinatofautiana kulingana na ubora na chanzo...
4 Reactions
43 Replies
1K Views
Blenda ikitumika vizuri hudumu zaidi. Haya ni maelekezo kutoka kwenye manual: Soma kitabu/karatasi ya maelezo (user manual) juu ya namna sahihi ya kuitumia blenda yako husika Hakikisha jug imekaa...
3 Reactions
5 Replies
363 Views
Pika kande lako liive vizuri ,nunua maarage mazuri (mapya) ambayo hayajakaa dukani sana ambayo ni ya zamani yana rangi ya kahawi hayatakupa matokeo mazuri Ukishayapika yakiiva unga kawaida weka...
7 Reactions
17 Replies
1K Views
Tupunguze stress na hii Ugali na nyama choma pili pili kwa uwingi ivyo apo kimekosekana nini mtindi upo ongezea kingine
4 Reactions
2 Replies
358 Views
Je hapa una ongeza nini ili usiku wako uende vzr kuliko janaaa
3 Reactions
14 Replies
711 Views
Wanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafutaji nikajiwazia mengi leo. Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
19 Reactions
482 Replies
16K Views
Hell kwanza poleni na misuko suko ya uchaguzi mlio poteza wapendwa wenu poleni sana Hivi ndio viungo vyetu tulivyo tumia Weka sufuri jikoni mimi leo nilitamani tu kupikia jiko la mkaa so...
9 Reactions
69 Replies
2K Views
Hell Mliomba sana nipike kashata za nazi hizi hapa Kwanza kuna nazi yako vzr tu Ukisha maliza anza kuweka maji kwenye sufuria yako kisha weka sukari pamoja na vanila acha vichemke kiasi iwe...
8 Reactions
32 Replies
845 Views
Hakikisha una shiba vizuri welcom
8 Reactions
31 Replies
1K Views
Aisee msema ukweli mpenzi wa Mungu, utamu wa kitimoto harufu ile. Sasa siku hizi unakula kitimoto ila ni kama nyama ya ng'ombe tu. Kipindi sie tunakua, miaka hiyooo, mzee basi akirudi na...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Back
Top Bottom