Mwili haujengwi kwa tofali. Sea never dries

Mwili haujengwi kwa tofali. Sea never dries

Red black

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2019
Posts
16,511
Reaction score
52,887
kula vizuri hata kama life ni ngumu.
Screenshot_20260527-190303~2.jpg
 
Wakuu kiufupi naungana na wewe ila mwili unajengwa na mental stability..

Angalia mimi hapa nilipo nakula vizuri kwa huyu mama mjengo, lakini sina cha ku offer kwake zaidi ya penzi hvo nakuta nalishwa sana ilavmwili haujia.

Mental sipo sawa maana nawaza kila.akitoka kazini ni kazi kazi mpaka sa sita hapo sa 11 atakuamsha kazi inaanza an unachoka.

Ukisema kula mi nakula sana sana sana.
Ushauri kwa vijana wenzangu.
Tuache kutembea na wamama au watu walituzidi umri kisa wana maokoto.
Deep down kuna mateso makali sana
😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥

Nipo bagamoyo kwa sasa ahsanteni
Vishu Mtata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom