Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,679
- 62,427
Hi guys hope mko poa,. Kwa ambao mko na changamoto mbalimbali Mungu awafanyie wepesi mkae sawa,..
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada,. Leo tutengeneze biscuits nzuri na tamu Sana,. Ingredients nilizotumia ni Corn flour, maziwa ya unga, condensed milk, butter pamoja na cocoa powder
1. Hatua ya Kwanza utaweka corn flour 500g kwenye bakuli Safi,. Utaongezea maziwa ya unga 100g , condensed milk 300g na butter 100g then utaanza kukanda
2. Utakanda kwa dakika kama nne hivi au tano hadi ulainike na uache kushika mikononi,. Then utaugawanya madonge mawili,. Moja dogo utaweka cocoa powder vijiko viwili vidogo halafu utaendelea kukanda hadi libadilike rangi to chocolate color
3. Ukishakanda yote vizuri utaandaa meza yako ya kukatia,. Utakata donge ambalo Lina rangi kidogo utakata na ambalo haina rangi liwe kubwa kuzidi kidogo halafu utayaunganisha usukume kwa pamoja
4. Sukuma kwa urefu then utakata kwa shapes unazopendelea,. Mie nilikatakata shape ya Love, ua star na duara,. Ila kila mtu na shapes zako unavyoweza kukata
5. Utaandaa baking trays zako ziwe Safi utaweka baking paper halafu utazipanga na kuzipaka butter tena juu kidogo
6. Utabake kwa Moto wa 150 juu na chini kwa muda wa dakika15,. Ila make sure oven yako iko preheated dakika 5 kabla hujaziweka... Zikiwa tayari utazitoa uziache zipoe na zitakua tayari kuliwa ..
Ni laini na tamu sana
Muwe na mchana mwema🤗🤗
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada,. Leo tutengeneze biscuits nzuri na tamu Sana,. Ingredients nilizotumia ni Corn flour, maziwa ya unga, condensed milk, butter pamoja na cocoa powder
1. Hatua ya Kwanza utaweka corn flour 500g kwenye bakuli Safi,. Utaongezea maziwa ya unga 100g , condensed milk 300g na butter 100g then utaanza kukanda
2. Utakanda kwa dakika kama nne hivi au tano hadi ulainike na uache kushika mikononi,. Then utaugawanya madonge mawili,. Moja dogo utaweka cocoa powder vijiko viwili vidogo halafu utaendelea kukanda hadi libadilike rangi to chocolate color
3. Ukishakanda yote vizuri utaandaa meza yako ya kukatia,. Utakata donge ambalo Lina rangi kidogo utakata na ambalo haina rangi liwe kubwa kuzidi kidogo halafu utayaunganisha usukume kwa pamoja
4. Sukuma kwa urefu then utakata kwa shapes unazopendelea,. Mie nilikatakata shape ya Love, ua star na duara,. Ila kila mtu na shapes zako unavyoweza kukata
5. Utaandaa baking trays zako ziwe Safi utaweka baking paper halafu utazipanga na kuzipaka butter tena juu kidogo
6. Utabake kwa Moto wa 150 juu na chini kwa muda wa dakika15,. Ila make sure oven yako iko preheated dakika 5 kabla hujaziweka... Zikiwa tayari utazitoa uziache zipoe na zitakua tayari kuliwa ..
Ni laini na tamu sana
Muwe na mchana mwema🤗🤗