Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Kwa hakika kama kuna mtu kati yetu asubuhi ya leo kala tunda lolote lile basi ni wale waliolala zile hotel zenye bed n breakfast full course. Wengine wetu kwa uchache mno ni wale wafanya diet na...
43 Reactions
1K Replies
71K Views
Kwanza uta menya ndizi zako kisha andaa hoho, karoti, Kumbuka utumbo mgumu kuiva so uchemshe kwa mda mrefu Baada ya hapo anda sufiria ya kupikia weka mafuta kidogo tu yakipata moto weka ndizi...
4 Reactions
8 Replies
340 Views
Haya wapendwa kher ya mwaka mpya mwaka uwe wenye baraka na rehema kwenye familia zenu na kazi zenu . Leo nikasema nijipikilishe kapilau kangu na nyama
11 Reactions
8 Replies
416 Views
Nyanya zinaharibika haraka? Kwa kutumia mbinu hii rahisi, unaweza kuzihifadhi ziwe fresh hadi miezi sita bila friji. Unachohitaji Nyanya fresh Blender Sufuria kubwa Mitungi ya glass yenye...
2 Reactions
5 Replies
544 Views
Katika kula kwangu mikate nchi hii sijawahi kuona Mikate iliyo bora zaidi ya Supa Loaf, Sunkist na ile ya Iringa inayouzwa kwenye magari. Hii mikate inahitaji heshima nchi hii kwa sababu ina hadhi...
20 Reactions
101 Replies
6K Views
Chips za mtaani zinabaki kuwa chips bora na tamu kuliko chips za sehemu yeyote ile. Though upishi wa chips ni mmoja lakini bado utashangaa radha zinatofautiana au waungwana huweka vidawa. Hasa...
6 Reactions
31 Replies
604 Views
Usiku huu hapakaliki wala hapalaliki kila nikijaribu kupumzika nashindwa kisa hamu ya kitumbua. Kuna hamu ya kawaida halafu kuna ile ambayo mie inanishika nikikitaka kitumbua. Saa tano hii...
11 Reactions
264 Replies
3K Views
Zamani wakati nakuwa nilikuwa nikisikia kutapikiwa chapati hiyo siku nitafanya yote kwa umakini kuhakikisha simkeri bimkubwa maana kaka zangu wasingenielewa, lakini siku hizi chapati zimeshuka...
2 Reactions
3 Replies
358 Views
Well for me natumia hii njia na zinakaa kwa muda mrefu sana, naziweka kwenye container au organizer kama hapo nazijaza maji😊 njia ziko nyingi wewe unafanyaje?
2 Reactions
6 Replies
367 Views
Hello Kwanza andaa mchele wako uchambue usiwe na mawe wala chuya kisha uoshee vizuri kisha loweka mchele mimi nili uloweka kuanzia asubuhi up jion so inategemeana na wewe unataka kuvipika saa...
6 Reactions
23 Replies
497 Views
Hi guys,.hope mko poa Tunavyoendelea kumwomba Mungu kuelekea kesho D9 basi tusisahau kula..... Haya tuanze Ukishaweka mchele wako kwenye rice cooker au vyovyote vile utakavyoupika,. Pembeni...
14 Reactions
59 Replies
1K Views
Inafanana na ule uzi wa vyakula ila ule ni worldwide.. Hapa kwa asilimia 100 ni vyakula tupikavyo na tulavyo kila siku Huku hakuna chopstick, hakuna kuku kwa mrija ama kula na mikono miwili yaani...
19 Reactions
2K Replies
27K Views
Habari zenu wana jamvi, heri ya sikukuu ya ya taifa letu. Naomba kuelekezwa namna ya kupika njegere za nazi na wali wa nazi.
2 Reactions
7 Replies
379 Views
Kwanza utaanda viungo vyako tangawizi kitunguu saumu na pilipili uta visaga kisha uta paka kwenye nyama na uhakikishe imekolea Kisha utaweka nyama kwenye waya hakikisha ume ipaka mafuta kidogo...
7 Reactions
53 Replies
1K Views
Habari! kuna recipes ambazo naona wanatumia “All Purpose flour” na zingine zinatumia “Heavy cream” Je, katika ile mifuko midogo ya Unga wa Ngano wa Azania (mfuko wa rangi ya nyeupe na kijani) na...
0 Reactions
0 Replies
212 Views
Beluga caviar ni chakula ghali sana duniani, na bei yake inaanzia takriban $7,000 hadi zaidi ya $22,000 kwa kilo ($3,200 hadi $10,000 kwa pauni), bei zinatofautiana kulingana na ubora na chanzo...
4 Reactions
43 Replies
1K Views
Blenda ikitumika vizuri hudumu zaidi. Haya ni maelekezo kutoka kwenye manual: Soma kitabu/karatasi ya maelezo (user manual) juu ya namna sahihi ya kuitumia blenda yako husika Hakikisha jug imekaa...
3 Reactions
5 Replies
413 Views
Back
Top Bottom