Wanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafutaji nikajiwazia mengi leo.
Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
Hell kwanza poleni na misuko suko ya uchaguzi mlio poteza wapendwa wenu poleni sana
Hivi ndio viungo vyetu tulivyo tumia
Weka sufuri jikoni mimi leo nilitamani tu kupikia jiko la mkaa so...
Hell
Mliomba sana nipike kashata za nazi hizi hapa
Kwanza kuna nazi yako vzr tu
Ukisha maliza anza kuweka maji kwenye sufuria yako kisha weka sukari pamoja na vanila acha vichemke kiasi iwe...
Aisee msema ukweli mpenzi wa Mungu, utamu wa kitimoto harufu ile.
Sasa siku hizi unakula kitimoto ila ni kama nyama ya ng'ombe tu.
Kipindi sie tunakua, miaka hiyooo, mzee basi akirudi na...
Mwachiluwi
Karibuni wale wote wapenda mapishi mimi napenda sana kujifunza kila leo.
Changamoto yangu maziwa situmii japo hata nikitumia huwa hayana madhara yoyote.
Je naweza kutumia maji...
Wasalaam,
"I'm not saying I'm addicted to coffee, but I don't know what I'd do if I couldn't get my daily cup of caffeine"
I've been up since the crack of dawn, YES! I'm an early bird, not...
Wanabodi,
Sisi binadamu tofauti tofauti tuna hobies mbalimbali, wengine wanapenda kutulia sehemu moja, wengine wanapenda kusafiri safiri.
Mimi hobby yangu ni safari, na kula. yaani travelling...
Hell
Kwanza osha mchicha wako vizuri mimi nime tumia mchicha wa kungo’a kule kwetu tuna uita ivyo una kuwa na michanga mingi so uoshe vizuri kisha ukate au una weza usiukate kisha weka pembeni...
I hope mko vizuri
Na mnaendelea na majukumu
Leo tupike samaki wa nazi(fish curry)
Mahitaji
Samaki waliokaangwa
Karoti,hoho,kitunguu maji 1,tangawizi,kitunguu swaumu punje chache,nyanya...
Kwanza utaanda unga wako wa ngano kisha kitunguu na karoti kama una penda hoho uta weka, kitunguu kisage usikate na hoho saga kwenye vile vidude vinauvyo uzwa buku buku, baada ya hapo uta...
Hello
Huu naona mdio chakula chepesi kupika kwa haraka na kitamu hasa pale unapo kuwa umeshikwa njaa na tumbo lina tetemeka
Uta chukua ndizi zako mimi nimetumia mzuzu nikazimenya vzr kisha...
Linapo kuja swala la number watu wengi ni wavivu sana, na tumebakia kufuata mikumbo tu kwamba Umeme ni ghari sana kupikia na gas ni rahisi sana ila kwenye hesabu ni tofauti kabisa.
Unit 1 kwa...
Kutokana na mazingira machafu ya baadhi ya mama ntilie
Mwanaume nimeamua kupika
Sasa Jana nimenunua pressure cooker ili kupikia maharage na nyama Cha ajabu naona maharege natumia saa moja na...
Wachina ni mojawapo wa mbari inayosifika duniani kwa ubunifu wa vyakula na mapishi.. Lakini pia ni watu wanaokula chochote chenye uhai kinachoonekana kwa macho
Kiwe aridhini
Kiwe angani
Kiwe...
Najaribu kutengeneza bisi kwa popcorn mashine lakini sifanikiwi nyingi zinauungua tu,naweka mafuta kwenye kichombo,yakichemka naweka bisi,sasa shida ni kwamba chache zinapasuka vizuri ila. nyingi...
Hell
Tupike chapati za mayai za kukanda
Kwanza utaweka unga wako ulio chekechwa kwenye bakuri uta weka na blue band then chukua mayai yako yakologe pembeni kisha uweke pia the kanda kama huna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.