Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Wanasema kupanga ni Kama kuichungulia kesho yako. Nami Kama mwana harakati katika utafutaji nikajiwazia mengi leo. Ni chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa bilionea?
19 Reactions
482 Replies
16K Views
Hell kwanza poleni na misuko suko ya uchaguzi mlio poteza wapendwa wenu poleni sana Hivi ndio viungo vyetu tulivyo tumia Weka sufuri jikoni mimi leo nilitamani tu kupikia jiko la mkaa so...
9 Reactions
69 Replies
2K Views
Hell Mliomba sana nipike kashata za nazi hizi hapa Kwanza kuna nazi yako vzr tu Ukisha maliza anza kuweka maji kwenye sufuria yako kisha weka sukari pamoja na vanila acha vichemke kiasi iwe...
8 Reactions
32 Replies
883 Views
Hakikisha una shiba vizuri welcom
8 Reactions
31 Replies
1K Views
Aisee msema ukweli mpenzi wa Mungu, utamu wa kitimoto harufu ile. Sasa siku hizi unakula kitimoto ila ni kama nyama ya ng'ombe tu. Kipindi sie tunakua, miaka hiyooo, mzee basi akirudi na...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Mwachiluwi Karibuni wale wote wapenda mapishi mimi napenda sana kujifunza kila leo. Changamoto yangu maziwa situmii japo hata nikitumia huwa hayana madhara yoyote. Je naweza kutumia maji...
3 Reactions
22 Replies
598 Views
Jinsi ya kutengeneza maziwa ya mgando, msaada jamani..
0 Reactions
25 Replies
49K Views
Wasalaam, "I'm not saying I'm addicted to coffee, but I don't know what I'd do if I couldn't get my daily cup of caffeine" I've been up since the crack of dawn, YES! I'm an early bird, not...
8 Reactions
23 Replies
1K Views
Wanabodi, Sisi binadamu tofauti tofauti tuna hobies mbalimbali, wengine wanapenda kutulia sehemu moja, wengine wanapenda kusafiri safiri. Mimi hobby yangu ni safari, na kula. yaani travelling...
25 Reactions
119 Replies
11K Views
kuna mchongo nausikilizia apa wakuu
0 Reactions
1 Replies
196 Views
Hell Kwanza osha mchicha wako vizuri mimi nime tumia mchicha wa kungo’a kule kwetu tuna uita ivyo una kuwa na michanga mingi so uoshe vizuri kisha ukate au una weza usiukate kisha weka pembeni...
8 Reactions
66 Replies
2K Views
I hope mko vizuri Na mnaendelea na majukumu Leo tupike samaki wa nazi(fish curry) Mahitaji Samaki waliokaangwa Karoti,hoho,kitunguu maji 1,tangawizi,kitunguu swaumu punje chache,nyanya...
12 Reactions
48 Replies
1K Views
Kwanza utaanda unga wako wa ngano kisha kitunguu na karoti kama una penda hoho uta weka, kitunguu kisage usikate na hoho saga kwenye vile vidude vinauvyo uzwa buku buku, baada ya hapo uta...
8 Reactions
19 Replies
631 Views
Hello Huu naona mdio chakula chepesi kupika kwa haraka na kitamu hasa pale unapo kuwa umeshikwa njaa na tumbo lina tetemeka Uta chukua ndizi zako mimi nimetumia mzuzu nikazimenya vzr kisha...
15 Reactions
159 Replies
2K Views
Linapo kuja swala la number watu wengi ni wavivu sana, na tumebakia kufuata mikumbo tu kwamba Umeme ni ghari sana kupikia na gas ni rahisi sana ila kwenye hesabu ni tofauti kabisa. Unit 1 kwa...
67 Reactions
268 Replies
29K Views
Kutokana na mazingira machafu ya baadhi ya mama ntilie Mwanaume nimeamua kupika Sasa Jana nimenunua pressure cooker ili kupikia maharage na nyama Cha ajabu naona maharege natumia saa moja na...
8 Reactions
88 Replies
5K Views
Wachina ni mojawapo wa mbari inayosifika duniani kwa ubunifu wa vyakula na mapishi.. Lakini pia ni watu wanaokula chochote chenye uhai kinachoonekana kwa macho Kiwe aridhini Kiwe angani Kiwe...
13 Reactions
205 Replies
5K Views
Najaribu kutengeneza bisi kwa popcorn mashine lakini sifanikiwi nyingi zinauungua tu,naweka mafuta kwenye kichombo,yakichemka naweka bisi,sasa shida ni kwamba chache zinapasuka vizuri ila. nyingi...
4 Reactions
51 Replies
2K Views
Hell Tupike chapati za mayai za kukanda Kwanza utaweka unga wako ulio chekechwa kwenye bakuri uta weka na blue band then chukua mayai yako yakologe pembeni kisha uweke pia the kanda kama huna...
8 Reactions
30 Replies
1K Views
Back
Top Bottom