Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,425
- 61,320
Hi guys,. Habari za siku nyingi
Bila kupoteza mda tupike pamoja pilau nazi
Kwenye sufuria yako ya kupikia utaweka mafuta, yakipata moto utaweka vitunguu na ( hoho ni optional)
Utakaanga kwa muda utaweka kitunguu saumu na tangawizi utaendelea kukaanga kwa mda kidogo
Utakaanga kwa mda tena kidogo utaweka pilau masala kijiko kimoja na garam masala nusu kijiko
Utakaanga tena kidogo utaweka nyama yako ambayo imeshachemshwa
Utakaanga kidogo then utaweka viazi na nyanya kidogo,. (Hadi hapa harufu iliwafanya waliochelewa kunywa chai waache watunze njaa kwajili ya pilau😹 )
Utakaanga tena hadi nyanya zilainike kidogo,. Utaweka chumvi halafu utaweka mchele ( mie nimetumia basmati) ila wakawaida ingekua poa sana😍
Utakaanga kwa mda kidogo ili viungo vishikane vizuri,. Then utaweka supu ya nyama utaweka na tui la nazi vikombe viwili au vitatu,.
Utakoroga taratibu taratibu then Utafunika utapunguza moto uache upikike kwa moto mdogo mdogo kwa dakika 25 au hadi nusu saa.
Then utafunua ugeuze na pilau yetu itakua tayari kama hivi
Utatengeneza na kachumbari kidogo,. ( mie niliweka carrot 🥕 hoho kitunguu nyanya na ndimu )
Tukala tukashushia na mirinda nyeusi ya baridi ( pepsi ziliisha )
Hope you enjoyed 😋😍😘
Bila kupoteza mda tupike pamoja pilau nazi
Kwenye sufuria yako ya kupikia utaweka mafuta, yakipata moto utaweka vitunguu na ( hoho ni optional)
Utakaanga kwa muda utaweka kitunguu saumu na tangawizi utaendelea kukaanga kwa mda kidogo
Utakaanga kwa mda tena kidogo utaweka pilau masala kijiko kimoja na garam masala nusu kijiko
Utakaanga tena kidogo utaweka nyama yako ambayo imeshachemshwa
Utakaanga kidogo then utaweka viazi na nyanya kidogo,. (Hadi hapa harufu iliwafanya waliochelewa kunywa chai waache watunze njaa kwajili ya pilau😹 )
Utakaanga tena hadi nyanya zilainike kidogo,. Utaweka chumvi halafu utaweka mchele ( mie nimetumia basmati) ila wakawaida ingekua poa sana😍
Utakaanga kwa mda kidogo ili viungo vishikane vizuri,. Then utaweka supu ya nyama utaweka na tui la nazi vikombe viwili au vitatu,.
Utakoroga taratibu taratibu then Utafunika utapunguza moto uache upikike kwa moto mdogo mdogo kwa dakika 25 au hadi nusu saa.
Then utafunua ugeuze na pilau yetu itakua tayari kama hivi
Utatengeneza na kachumbari kidogo,. ( mie niliweka carrot 🥕 hoho kitunguu nyanya na ndimu )
Tukala tukashushia na mirinda nyeusi ya baridi ( pepsi ziliisha )
Hope you enjoyed 😋😍😘